Waafrika wawajia juu wanaopendekeza chanjo ya COVID-19 kufanyiwa majaribio Afrika

Waafrika wawajia juu wanaopendekeza chanjo ya COVID-19 kufanyiwa majaribio Afrika

Yaan waafrica tunapenda lawama sana/ sasa mtoa mada kaanza vizuri lakin mwishoni unaleta chuki zako za waziwazi.
Mimi nadhani ilitakiwa mafamasia wa ki afrika nao wangewachukua hata wahindi wawafanyie majaribio ya kinga
 
Sasa kama atuwezi kufanya utafiti wa kugundua dawa, kwa nini tusitumike kwenye majaribio😀😀😀 itakuwa ni sehemu ya mchango wetu😂😂
😂😂 Dah! Hii komenti kiboko
 
Kwako Rais wangu mpendwa Dr John Magufuli,

Nakuomba sana na nakusihi sana kwa unyenyekevu mkubwa kama raia wako.

Tumesikia kuna kuna ma Profesor wawili wa Ufaransa wamependekeza kwamba chanjo ya Civid 19 ianze kufanyiwa majaribio Africa.

Sie kama Tanzania naomba Mh Rais Magufuli usikubali hili swala abadan.

Pili,Tunaomba kupitia AU mje na Azimio la pamoja kukataa mpango huu wa uovu na uonevu dhidi ya Africa.

Nawasilisha

Alex Fredrick

Dar es Salaam.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu utakuta mke wako ametoka kumtoa mtoto Kliniki na amepata chanjo ya Kwashakoo..Pepopunda..Kifaduro na mengine mengi.
Kwamaana hiyo wewe unataka wenzako wafanye ugunduzi na kila kitu ila Africa wawe wanatumia tu dawa bila kuchangia chochote?
Akili mgando kweli; yaani CORONA ndo ionekana mbaya kuliko tafiti zingine? Basi Afrika ifanye tafiti ili tuache kulialia.
Binafsi siwezi kufanyiwa majalibio.
Ww kma umekuwa maabala ya hzo ulizo zitaja ni maisha yako. Akili zako na ujinga wako!
Endelea kumwona mzungu kma Mungu wako!
 
TANMO,
Hio ni tabia ya mtu binafsi na sio tabia jumuishi ya waafrika.
Hata kwenye familia kila mtu anatabia zake na sio tabia za kifamilia. Tupilia mbali viongozi bado wananchi ni tatizo pia.

Ujinga milapotofu n.k na kuendelea kuamini serikali ni suluhisho la hatima ya maisha yake. Fanya kazi utatoka kwenye umasikini@
 
Wanaotusaliti Afrika ni Wasomi na wanasiasa.

Mpaka Leo Tanzania kuna Malaria lakini miaka zaidi ya 30 kuna madaktari wanafanya tafiti na miradi ya malaria kwa mabilioni ya fedha.
Dawa ya haya yote ni kudhibiti haya maduka binafsi ya dawa ili yasiwe mawakala wa mabeberu ya kusambaza dawa.

Kuweka mkataba na watafiti wa miradi hiyo.
Kuacha tabia ya wataalam wa afya kutumia miradi kama sehemu ya kujitajirisha .

Inabidi sasa kuanza Kuwalipa wale wanaofanya utafiti Mara baada ya kukamilisha tafiti zao na kutoa matokeo chanya yenye tija kwa jamii.
Haiwezekani miaka zaidi ya 30 bado kuna mbu Tanzania.
Watu wanawaza eti miradi ya kutokomeza malaria badala ya kutokomeza Mbu.

Wataalam wetu wa afya wanafeli sana kwa sababu ya ubinafsi.

Leo hii ni vijana wa mitaani tu wanaounda vikundi vya kunyunyiza na kupuliza dawa za kutokomeza mbu; hawa ndio kidogo wamefanikiwa kupunguza mbu japo wanatumia tafiti duni na vifaa duni kwa gharama ndogo.

Sasa tujiulize wataalam wetu wako wapi? Wataalam walioshindwa kutokomeza mbu mpaka sasa ! Watawezaje kutokomeza Chinise Virus aina ya Covid 19?
Hawa wataalam wetu watatusaliti hata kwa mbinu nyingine pale tu mifuko yao itakapotunishwa na mapesa kutoka kwa mabeberu.

Zika haijapatiwa jibu mpaka sasa.
Homa ya ini bado inatamkwa kama mradi.
Ukimwi bado ni fimbo ya mabeberu .
Mabusha bado hawajatuambia hasa yanatokana na kitu gani na kwa nini hawamalizi chanzo cha tatizo.
Kuna magonjwa mengi ni tatizo sana lakini yanatumika kama miradi ya watu kuneemeka badala ya kumaliza tatizo.






Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi siwezi kufanyiwa majalibio.
Ww kma umekuwa maabala ya hzo ulizo zitaja ni maisha yako. Akili zako na ujinga wako!
Endelea kumwona mzungu kma Mungu wako!
Sasa mkuu tumesaidi tafiti gani za kisayansi? Kifaa unayotumia kufanya mawasiliano na kukuwezesha maisha yako kwenda kwa wakati wameleta wao na hapo bado unawadharau.

Unaonekana kama wewe ndo mjinga kama hauna shukrani kwa wazungu.
 
Nakubaliana na wewe kabisa wasomi wetu tatizo kubwa sana na kibaya kwenye hizo tafiti zao wakubwa ndio wanaofadhili hizo tafiti zao.

Kwahiyo alimpae mpiga zumari ndio mchagua ngoma. Africa bado tupo kwenye mkwamo wa masafa marefu kifikra na kimaono

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alex Fredrick,
Mabeberu wakiamua sisi Watanzania wenyewe tutaweza?. Mbona Deppo Provera tuliletewa na tukakubali?

Mbona family planning pills za kwa msaada wa watu wa Marekani, tunapokea, what difference does it make?

Africa tumshukuru tuu Mungu atunusuru janga hili litupitie mbali.
P
 
Ni kweli miaka ya nyuma tulikuwa tunakubali kwasababu magonjwa hayo mengi yalikuwa yanatushambulia sana Africa,Sasa sasa hivi hiyo hivyo virus vya Corona vinashambulia sana Asia,Ulaya na Marekani.

Hoja ya msingi ilikuwa waanze kufanya huko kwenye maambukizi mengi kuliko huku
Mabeberu wakiamua sisi Watanzania wenyewe tutaweza?. Mbona Deppo Provera tuliletewa na tukakubali?.
Mbona family planning pills za kwa msaada wa watu wa Marekani, tunapokea, what difference does it make?.

Africa tumshukuru tuu Mungu atunusuru janga hili litupitie mbali.
P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda wametumia njia shirikishi maana nadhani hatukushiriki kutafiti, kuweka fedha kwa hiyo sisi uwezo wetu umeangukia kwenye majaribio. Njia pekee ya kukwepa haya ni kujitawala kiuchumi, kisayansi na kisiasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alex Fredrick,
Hoja nzuri. Kama Marais wa nchi za Kiafrika wakitoa tamko kuhusu suala hili, jamaa wataipata kwamba haya majitu hayatanii. Tusikae tukijinung'unikia wenyewe tu kimyakimya.

Naunga mkono kumwomba Rais wetu aanzishe hilo. Mbali na hayo, ashawishi wenzake ili AU itoe kauli ya bara zima kushutumu maoni ya kutaka kutufanyia majaribio, sawa na walivyokata vichwa vya viongozi wetu, kama Mkwawa, kwenda kuvifanyia uchunguzi.

Tusikae tunasubiriana Rais wa nchi nyingine ndiye aanze.
 
Hongera Eto'o,umeonyesha msimamo wako

Hatuna shida kiukweli,kwa hiyo hatuhitaji chanjo.Hata hii inayoitwa Corona huku kwetu nadhani ni misrepresentation tu,ni matatizo mengine.
 
Back
Top Bottom