Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwarabu yeye ndio alimwachia dini ya kweli, haya bhana ndg mwarabu.Mzungu hana upendo na mwafrica. Ni dini feki tu ndicho alichomwachia muafrica
Tusiwe wanafiki, hakuna race inayompenda mtu mweusi, si mwarabu, si muhindi, weusi wenyewe hatupendani, Kenya, TZ ni mfano tosha.Mzungu hana upendo na mwafrica. Ni dini feki tu ndicho alichomwachia muafrica
Kenya wapo katika mchakato mzima wa #PrayForUkraineYule balozi wa Kenya hajaona hii atoe tamko kali.
Hawa jamaa ujinga wa kushobokea Wazungu sijui wataacha liniKenya wapo katika mchakato mzima wa #PrayForUkraineView attachment 2133092
Hao wabeba mabox watu wa hovyo sana. Walienda kutafuta maisha huko kimenuka wanataka kukimbia washike silaha wapambane kama wenzao wanavyopambana.Tusiwe wanafiki,hakuna race inayompenda mtu mweusi,si mwarabu,si muhindi,weusi wenyewe hatupendani,Kenya,TZ ni mfano tosha.
Kipindi Cha JPM chuki ya wasukuma kwa wachaga iliongezeka maradufu