Waafrika wazuiwa kuingia katika treni inayo elekea Poland

Waafrika wazuiwa kuingia katika treni inayo elekea Poland

Ni haohao watu weusi wanalalamika kuzuiwa kuondoka wakati wa vita wakisema wanabaguliwa . Je vita ikiisha harafu wa Ukraine wakasema hatuwataki watu weusi kwa sababu walitukimbia wakati wa vita hamtarudi kulalamika tena?. ACHENI KULIA BAKINI MPAMBANE.
Kwani nchi yao 🤣🤣🤣 wengi wamekuwa fanya kazi ,kuna wasomi ,watu wa biashara na hao wanaondoka nao ambao ni wa ukraine ndoa wanatakiwa wabaki
 
Halafu Watanzania tunawakumbatia wazungu. Na mbaya zaidi Wachina na Wahindi wanavyotunyanyasa.
 
Serikali ishasema wanaume wote wabaki Wapambanie nchi Yao.

Hao waafrika mbona Ni wanaume na wanataka kuikimbia nchi?

Huo Ni uhaini,
Waonyeshe uzalendo, ukipenda boga penda na UA lake
Uzalendo kwa Waafrika hua unaishia kwenye pombe, muziki na mademu basi.
Che Aguevara alilishtukia hilo mapema tu baada ya kutua Congo.
Waafrika sisi kazi yetu ni kulialia tu kua tunabaguliwa ila ubaguzi tunaofanya sisi ni mkubwa kuliko tunaofanyiwa.
Hao kenge wote warudishwe Kiev, wakikataa kubeba silaha basi wabebeshwe hata fire extinguisher wasaidie kuzima moto wa makombora ya Warusi.
 
big point mkuu. Wapenda vya bure hao. Rais kasema wote tupambane wao wanakimbia .

Wengi wao walipata scholarship kufika kule hivo huhudumiwa na serikali ya Ukrain wametumia sana pesa za waukrain lazima nao wapambane
 
Walitaka kuvuka bila vibali jamaa wakakataa maana wanawajua hao watazamia mazima
 


Waafrika waishio Ukraine wamekataliwa kuingia katika treni inayoelekea Poland ambayo inabeba raia wanaokimbia vita.


Wale wa pray for Ukraine [emoji1255] wako wp[emoji1787][emoji1787][emoji1787] waona ndugu zao wanavyobaguliwa
 
Ni haohao watu weusi wanalalamika kuzuiwa kuondoka wakati wa vita wakisema wanabaguliwa. Je vita ikiisha halafu wa Ukraine wakasema hatuwataki watu weusi kwa sababu walitukimbia wakati wa vita hamtarudi kulalamika tena? ACHENI KULIA BAKINI MPAMBANE.

Mbona ndugu zao pia wana kimbia ni Afrika Ndio abaki?! Uko sawa Kweli huko juu
 
Back
Top Bottom