Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Waafrika wameambiwa wabaki wapambane na Russia
Zote za uongoMwarabu yeye ndio alimwachia dini ya kweli, haya bhana ndg mwarabu.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Kenge sana hawa.Hawa jamaa ujinga wa kushobokea Wazungu sijui wataacha lini
Mwafrika ananyanyapaliwa na race zote awe mchina, mwarabu, mjapani hata mashombeshombe wanatubagua acha kujipendekeza tukipende wenyewe hakuna mweupe ataekupenda ni unafiki tuMzungu hana upendo na mwafrica. Ni dini feki tu ndicho alichomwachia muafrica
kabisa mkuu. Ongezea na kupenda vya mterezo . unakuta lijitu limetoka tandale likakimbia ulaya linasema limekimbia maisha magumu.Waafrika ni watu wa kulalamika lalamika tu...hiyo ndio culture yao
Ile ni proof ya umbuzi tulionao waafrika.Yule balozi wa Kenya hajaona hii atoe tamko kali kulaani..
Big point.ni muda wa kulipa gharama za kodi za watu....tumekimbia shida Africa baada ya kupambana nazo na kuifanya kama Ulaya, tunakwenda kwa watu kuenjoy maisha wakati wa shida tena tunataka kukimbia baada ya kusaidia....
Weka unafiki pembeni, ikitokea vita hapa bongo ikachachamaa (Mungu aepushie mbali), halafu ikaja treni kubeba watu kuwapeleka Zambia, unadhani nafasi ya wahindi kungia kwa treni itakuaje? Wataruhuiswa kirahisi?Mzungu hana upendo na mwafrica. Ni dini feki tu ndicho alichomwachia muafrica
Bg point mkuu. Wapenda vya bure hao. Rais kasema wote tupambane wao wanakimbia.Safi sana zuia hao watu wapiganie hiyo nchi kwanza