Waafrika wazuiwa kuingia katika treni inayo elekea Poland

Waafrika wazuiwa kuingia katika treni inayo elekea Poland

Tukisema acha wachapane utasikia wewe ni pro Russia mara Put In wa mtogole. Wachijane na hivi Rais wa Judo amesema Nuclear commandat iwe kwenye high alert kwa ajili anachokuana NATO wanafanya wapige fire tu. Si huku mbona limao zilutuokoa na COVID 19 na maombi kwa Mungu asiyebagua

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 


Waafrika waishio Ukraine wamekataliwa kuingia katika treni inayo elekea Poland ambayo inabeba raia wanao kimbia vita.

Kuna yule aliyesema hajaona chuo cha kusoma Tanzania na hajui majina ya vyuo vya Tz...Huyu naona kajikubali kuwa ana mkosi na akirudi Bongo ndiyo atajua hajui! Nchi za Jumuiya ya Soviet siyo za kwenda kuishi kwa muda mrefu! Nielewe kwa sasa ila unishukuru baadaye.
 
Weka unafiki pembeni, ikitokea vita hapa bongo ikachachamaa (Mungu aepushie mbali), halafu ikaja treni kubeba watu kuwapeleka Zambia, unadhani nafasi ya wahindi kungia kwa treni itakuaje? Wataruhuiswa kirahisi?
Utashangaa sasa Wahindi, Wazungu ndio watakaopata first class treatment na kuondoka bila shida yoyote, wao ndio wenye pesa 🐒
 
Weka unafiki pembeni, ikitokea vita hapa bongo ikachachamaa (Mungu aepushie mbali), halafu ikaja treni kubeba watu kuwapeleka Zambia, unadhani nafasi ya wahindi kungia kwa treni itakuaje? Wataruhuiswa kirahisi?
wahindi na wenye pesa ndo watapanda iyo treni
 
kabisa mkuu. Ongezea na kupenda vya mterezo . unakuta lijitu limetoka tandale likakimbia ulaya linasema limekimbia maisha magumu.
Likienda huko linakuta nchi za huko maisha fresh linawasahau huku ndugu zake. Huko kikinuka linataka kurudi linalalamika Mara "oooh!!.. huku kuna machafuko. oohh!!!. huku tunabaguliwa "yaan full kulalamika .
Si bora likimbilie ulaya..likija kwako ndio utakoma, mara shem aniachii chakula, mara ananiachia chakula kidogo...mara bro anijali hanitafutii kazi wakati kazini kwao naona kuna mishe kibao...hehehehee
 
Pengine wanawake, watoto na wazee ndiyo wanapewa kipaumbele, maana wanaume wote wenye nguvu hawatoki sasa bila shaka wanaotoka wengi wao ni wanawake na watoto, wagonjwa wazee nk. Tusiwe wepesi kujudge.
 
Una hakika hapa kwenu hamshobokei wazungu? Jaribu kufuatana na mzungu kutafuta huduma au connection kwenye taasisi za umma na za binafsi hapa Tz kisha ulete mrejesho wa yaliyojiri.
Bongo Zozo kaitwa Ikulu

Ila yule Masai anayeitangaza nchi hakuna aliyejisumbua kumuita Ikulu.

Balozi wa India akaamua kumpa tuzo.
 
Back
Top Bottom