Waafrika weusi wafurushwa Tunisia baada ya amri ya Rais

Utaona mdengereko kutoka rufiji ana sijida kubwaaaa anakwambia muislamu ndugu yake ni muislamu akijiganganya muafrica mweusi ndugu yake ni mwarabu[emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hadi machozi.
 
Ukweli mchunguu.
 
Mababu wa mababu wakifufuka wakaona wajukuu zao wanavyohangaika hawajui pa kushika watajilaumu sana kuruhusu dini kuwa njia ya ukoloni.
Nimechekaaaa sanaaaa yaan khaaaah
 
Reactions: Tsh
Mbinu za kwenda kuumaliza uislamu,stay tune.
Hizo mbinu zimeanza zaidi ya miaka 1000, kuna watu wakubwa wana nyadhifa kubwa kabisa ambao wanajulikana ni Anti-islam kutokana na kuandika vitabu kuupinga uisilamu ikabidi wausome uisilamu matokeo yake wakasilimu.
 
Mwarabu aliwaingiza mkenge kwenye dini yake na mkawa mazombi hata kumzii, waarabu wanawachukia sana weusi japo mnawashobokea kwenye dini yao na mikanzu yenu.
Na huyo mzungu unayemwabudu ni lini alikupenda wewe ngozi nyeusi? Hebu wacha hiyo misurupwete yako bwana
 
Na huyo mzungu unayemwabudu ni lini alikupenda wewe ngozi nyeusi? Hebu wacha hiyo misurupwete yako bwana

Mnawashobokea waarabu kwenye dini yao ila wanawachukia sana, na ajabu kibakuli huwa mnazungushwa kwa wazungu maana mnajua miungu wenu waarabu ni makatili ya kufa mtu.
 
Labda alinyanduliwa yeye,maana tuna wasiwasi ikiwa dhakari ilikua ikisimama

Umesama labda maana haipo popote, ila mungu wenu alinyandua katoto na imeandikwa kabisa kwenye vitabu vyenu.....
 
Umesama labda maana haipo popote, ila mungu wenu alinyandua katoto na imeandikwa kabisa kwenye vitabu vyenu.....
Juu ya mabega una buyu tu,wapi kwenye vitabu vyetu' imeandikwa Mungu wetu alinyandua!?
 
Kuna watu wanakurupuka sana haya ni mambo ya uraia wao wanachanganya na mambo ya dini.
South Africa pia wanawafukuza na kuwaua waafrika wenzao mbona hatusemi wakristo ni watu wabaya maana South Africa si nchi ya kiislamu

South afrika ni nchi ya kikristo?je katiba yao inasema hivyo,vipi kuhusu tunisia.
 

Pole sana,huwezi tenganisha uislamu na uarabu kiufupi uislam ni utamaduni wa waarabu.
 
South afrika ni nchi ya kikristo?je katiba yao inasema hivyo,vipi kuhusu tunisia.
Mbona wewe mkristo ukienda hata Italy ambako ni makao makuu ya Roma bado utabaguliwa na hatusemi ukristo ni utamaduni wa waitaliano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…