Uchaguzi 2020 Waajiri wamuonya Lissu kupotosha kuhusu ajira

Uchaguzi 2020 Waajiri wamuonya Lissu kupotosha kuhusu ajira

Kweli malofa bado ni wengi nchini, safari bado ni ndefu
 
Huyo Habib Mchange ni kada wa CCM, na Aligombea jimbo la Kibaha mwaka huu akakatwa na wajumbe. Huyu ndo mmiliki wa gazeti la Jamvi la habari. Ni wakumpuuza tu.
 
Hao waajiri ni kina nani? na Waajiriwa na wasio na kazi wanasemaje kuhusu hayo?

Tusije tukawa tunawasemea wenye njaa sisi tulioshiba...
 
Matunda ya Miaka 43 ya Utawala wa CCM Maradhi, Ujinga na Umaskini wa kutupwa. Walau wakati wa TANU hawajamaa walikuwa wanakondeana... tangu CCM ifanye Azimio la Zanzibar 1992, kasi ya unono na ukibonge inaongezea maradufu!
 
Nilifikifi majibu Mh mpango Kumbe hii takataka. Sasa nani atamwelewa mchange. Huenda CCM watashinda ila ila sijui. Tuendelee kujidanganya kwa sasa huenda inasaidia kupunguza msongo wa mapema. Wafanyakazi wanakimbiza mwizi kimya kimya
 
Sisi wafanyakazi tunajua dhuluma zote. Utamdangaje mtu ambaye anaona kila mwezi anachopata kwenye salary slip? Hili labda umewaandikia wakulima.

Wafanyakazi hatuhitaji ufafanuzi wa hesabu ambazo ziko kwenye salary slip zetu.
"Maaskari na Usalama wa Taifa hawapo upande wetu na watumishi wote hawapo upande wetu na ndio maana tunasema kushinda Uchaguzi huu ni kazi ngumu. " -Tundu Lissu akiongea na Wahariri wa vyombo vya habari (9/9/2020)
 
Sisi wafanyakazi tunajua dhuluma zote. Utamdangaje mtu ambaye anaona kila mwezi anachopata kwenye salary slip? Hili labda umewaandikia wakulima.

Wafanyakazi hatuhitaji ufafanuzi wa hesabu ambazo ziko kwenye salary slip zetu.
Wewe mfanyakazi wa umma au private sector? Mbona yaliyosemwa yote ni ya kweli kodi zimepunguzwa sana!!
 
Hahaha yuko CUF huko nako hasikiki katafuta kipenyo.
 
Hata hujui kuwa humu JF karibu kila member ni mtumishi/mwajiriwa na wengi wakiwa wa umma.

Kwa lugha rahisi ni kuwa huwezi kudanganya humu halafu ukabaki salama.

Tangu baba yenu Magufuli awe Rais, kwa miaka mitano yote amezuia "STATUTORY ANNUAL SALARY INCREMENT" ambayo ipo kisheria kwa kila mtumishi achilia mbali kuongeza mishahara halisi (Gross Net Pay) pamoja na KIMA CHA CHINI kwa kuzingatia hali ya uchumi wa nchi!

Sasa mbona mnatudanganya mchana kweupe kana kwamba sisi ni wajinga?
 
Watumishi hao ni Wakurugenzi wanaoengua wapinzani tu huku CCM wote wakibaki. Sisi watumishi makabwela tunamuunga mkono Lissu. Tumechoka.
"Maaskari na Usalama wa Taifa hawapo upande wetu na watumishi wote hawapo upande wetu na ndio maana tunasema kushinda Uchaguzi huu ni kazi ngumu. " -Tundu Lissu akiongea na Wahariri wa vyombo vya habari (9/9/2020)
 
Unapoteza muda mwingi kutetea ujinga hata Rais akipitia utumbo ulioandika anakushangaa, rais kwa kinywa chake akiwa mbeya aliahidi kuongeza mshahara na akasisitiza kuwa kabla hajamaliza muda wake ataongeza mshahara kweli kweli,,hiyo post yako unamdanganya nani au hao wafanyaka ni vilazi hawajielewi?
 
Eti Mchange naye ni mwajiri. Mwenyewe hana mbele wala nyuma, atamwajiri nani?
 
Back
Top Bottom