Kipapatiro
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 1,129
- 1,497
Mchange ni malaya wa kisiasa na TAL sio size yake.....yule size yake ni akina Hilda Newton
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzao wake ni matumizi mabaya ya via vya uzaziHuyu Habibu Mchange mwenyewe tangia adisco pale UDOM na badae kuja kufukuzwa chadema kwa tuhuma za usaliti mpaka leo yupo kitaa, ajira hana sasa hapo sijui anatetea nini
Anatetea ili apewe u-DC au u-DAS. Mzee baba amesema makazi yako mengi mno akishinda urais! Sijui wale watumishi halisi wanajisikiaje na hili andiko! Sijui vijana waliotoka vyuoni na hawana ajira sijui wanajisikiaje? Tungekuwa nchi za vijana wasomi wanaosota kama Kenya Mchange wangemwokota mto Ruvu hana meno!Huyu Habibu Mchange mwenyewe tangia adisco pale UDOM na badae kuja kufukuzwa chadema kwa tuhuma za usaliti mpaka leo yupo kitaa, ajira hana sasa hapo sijui anatetea nini
Usukus, hovyo!Weka respect kwenye kazi za watu wenye nyumbu
Nilikuwa nimeanza kusoma uzi, lkn nilipoliona jina la hii toilet paper ya ccm nikaacha.Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo, Habib Mchange,
Kapewa usimamizi wa gazeti la Jamvi la Habari ambalo nyuma ya pazia linagharamiwa na serikali, ili kumkashifu Lissu na wapinzani wengine ambao ni threat kwa CCM, sasa naye anajipachika uajiri eti? Hiyo taasisi inayoitwa Young CEO Forum ni taasisi ya kizushi tu! Machange ni mchumia tumbo tu hana maana yoyote!Huyu Habibu Mchange mwenyewe tangia adisco pale UDOM na badae kuja kufukuzwa chadema kwa tuhuma za usaliti mpaka leo yupo kitaa, ajira hana sasa hapo sijui anatetea nini