Waajiriwa mkishastaafu mnasumbua sana

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082
Mnakuwa kama baba mwenye nyumba ambaye hana chanzo chochote cha kumuingizia kipato tofauti na nyumba kila muda anafokea wapangaji.

πŸ“Œ Mnapostaafu mnaanza kutusumbua kuanza kutafuta watu wakuwashauri et ufanye biashara gani? Mbona ukufanya hivo mapema ? Me nawakumbusha tu.

πŸ“Œ Watumishi mnajishau sana halafu mnakuja kutusumbua mtaani... kiinua mgongo ni hela ndogo sana kiukweli ...lasivo ulipiga pesa za umma.

πŸ“Œ Tanzania hatuwezi kuwa na maendeleo kama wapigaji watendelea kuwepo watu hawapigi kazi wanakimbilia kuajiriwa 😁😁

πŸ“Œ Mfano mdogo sema basi tu..ngoja ninyamaze...
 
Kupanga ni kuchagua.

Naongezea hela ya kustaafis siyo ya kujengea nyumba kama hukujenga mwazoni bas wewe utazeeka na umasikini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…