Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Mnakuwa kama baba mwenye nyumba ambaye hana chanzo chochote cha kumuingizia kipato tofauti na nyumba kila muda anafokea wapangaji.
📌 Mnapostaafu mnaanza kutusumbua kuanza kutafuta watu wakuwashauri et ufanye biashara gani? Mbona ukufanya hivo mapema ? Me nawakumbusha tu.
📌 Watumishi mnajishau sana halafu mnakuja kutusumbua mtaani... kiinua mgongo ni hela ndogo sana kiukweli ...lasivo ulipiga pesa za umma.
📌 Tanzania hatuwezi kuwa na maendeleo kama wapigaji watendelea kuwepo watu hawapigi kazi wanakimbilia kuajiriwa 😁😁
📌 Mfano mdogo sema basi tu..ngoja ninyamaze...
📌 Mnapostaafu mnaanza kutusumbua kuanza kutafuta watu wakuwashauri et ufanye biashara gani? Mbona ukufanya hivo mapema ? Me nawakumbusha tu.
📌 Watumishi mnajishau sana halafu mnakuja kutusumbua mtaani... kiinua mgongo ni hela ndogo sana kiukweli ...lasivo ulipiga pesa za umma.
📌 Tanzania hatuwezi kuwa na maendeleo kama wapigaji watendelea kuwepo watu hawapigi kazi wanakimbilia kuajiriwa 😁😁
📌 Mfano mdogo sema basi tu..ngoja ninyamaze...