Waajiriwa wa sekta binafsi hatuna Afya ya akili

Waajiriwa wa sekta binafsi hatuna Afya ya akili

Mimi kula ,usafiri, bando bure na wanalipa tarehe ya mwisho kabisa ya mwezi.
 
Mazingira mnayoelezea humu ni common kwa dunia nzima,ikishaitwa ajira. Mimi nilichofanya niliweka nia nipige kazi kwa moyo wote kwa 100% ila niwe nachukua ujuzi.Na dua zangu kwa Muumba ilikuwa nikifika miaka 40 niwe aidha na partnership au kujiajiri.Alhamdulillah , nazekea miradi ya partnership ingawa inachukua muda kusimama, inahitaji usahau starehe walizozoea wabongo wengi.
 
Delta
Wana Jf mko poa? Aisee wale wenzangu namimi wa sekta binafsi, tuambizane kama nyie mna Afya ya akili makazini kwenu.

Picha linaanza unaingia ofisini saa2 unaondoka saa11, ni lazima sio matakwa tu.

Halafu mshahara wako ambayo ni haki Yako, unapata tarehe 37, 38, 39 sometimes mpaka hata tarehe 40, wenye D mbili tu ndo watanielewa.

Hivi Kwa namna hii utaipenda KAZI unayoifanya kweli? Na hapa Afya ya akili kazini ni uongo. Embu labda Mimi nakuwa too judgmental, wenzangu mnazingatia Nini ili kuwa attractive na KAZI zenu 😞😞.

Nahisi Kuna UMUHIMU Mkubwa sana wa kuhamasisha Afya ya akili makazini especially SEKTA BINAFS.

Wana Jf mko poa? Aisee wale wenzangu namimi wa sekta binafsi, tuambizane kama nyie mna Afya ya akili makazini kwenu.

Picha linaanza unaingia ofisini saa2 unaondoka saa11, ni lazima sio matakwa tu.

Halafu mshahara wako ambayo ni haki Yako, unapata tarehe 37, 38, 39 sometimes mpaka hata tarehe 40, wenye D mbili tu ndo watanielewa.

Hivi Kwa namna hii utaipenda KAZI unayoifanya kweli? Na hapa Afya ya akili kazini ni uongo. Embu labda Mimi nakuwa too judgmental, wenzangu mnazingatia Nini ili kuwa attractive na KAZI zenu 😞😞.

Nahisi Kuna UMUHIMU Mkubwa sana wa kuhamasisha Afya ya akili makazini especially SEKTA BINAFS.
Serikali ingefanya maboresho hasa kwa kufatilia mishahara na stahiki nyingine za wafanyakazi katika sekta binafsi, sekta binafsi zingelipa vizuri. Sekta binafsi ikilipa vizuri itapunguza changamoto nyingi. Wahitimu wengi wanakimbilia serikalini ni kwasababu tu serikali haijaweka mazingira mazuri kwenye sekta binafsi
 
Wana Jf mko poa? Aisee wale wenzangu namimi wa sekta binafsi, tuambizane kama nyie mna Afya ya akili makazini kwenu.

Picha linaanza unaingia ofisini saa2 unaondoka saa11, ni lazima sio matakwa tu.

Halafu mshahara wako ambayo ni haki Yako, unapata tarehe 37, 38, 39 sometimes mpaka hata tarehe 40, wenye D mbili tu ndo watanielewa.

Hivi Kwa namna hii utaipenda KAZI unayoifanya kweli? Na hapa Afya ya akili kazini ni uongo. Embu labda Mimi nakuwa too judgmental, wenzangu mnazingatia Nini ili kuwa attractive na KAZI zenu 😞😞.

Nahisi Kuna UMUHIMU Mkubwa sana wa kuhamasisha Afya ya akili makazini especially SEKTA BINAFS.
Wewe tu na kampuni yako.
Mshahara 2m+, gari ya kupiga routes.
Kazini kuingia saa 2 asbh, saa 4 tupo nje maana ndiko kazi tunafanya. Saa 10 tushapumzika although muda wa kazi unaisha saa 11.

80,000/= (50,000 accomodation+30,000 out of station ) kila siku ntakayokuwa nje ya kituo cha kazi. Two weeks nje ya mji kila mwezi.

We endelea kutokuwa na afya ya akili. Sasa kuna watu wanakula bata zaidi ya hili.
 
Sio zote mkuu kuna ofisi na ofisi
kuna moja mfagia usafi analipwa 500k take home na anaingia saa mbili kutoka 10 jioni na Dec wana-double,
Muhasibu anakunja 7m+ december anakula 15m+
 
Wewe, unasema ndio maisha ulochagua?
Kijana ukiona una maisha swafi sio Kila mtu Yuko hivo.
Haya nikiacha KAZI hapo nikaamze kutanga Tanga au????
Ukiacha utapata akili mpya, kwahiyo hiyo kazi yako unategemea kuifanya mpaka uzeeni??
 
Ni sahihi Mkuu, Businessmen are there to make profit out of you

Wanamsemo wao "punda afe mzigo ufike"

Wanafanyisha kazi ila maslahi ni duni lakini pia wanachelewesha sana Mishahara ya Wafanyakazi wao.

Binafsi nashukuru wale Jamaa walinipenda Kwa sababu hizo nilizosema.

Waliniudhi kitu kimoja, jamaa walikuwa ni washirikina mno.

Kabla hawajakuajiri, wanaangalia kwanza nyota yako.

Siwezi kuandika yote hapa, ila ile Kampuni ilinipa maisha kiaina
Unajibrand mkui 😂
 
Back
Top Bottom