- Thread starter
- #61
BarikiwaFanya yafuatayo:-
Badilisha fani, au.. Fungua mtandao wako uwe unahabarisha; iwe blog, youtube, website n.k ukiwa na jina uwe unakula hela ya matangazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BarikiwaFanya yafuatayo:-
Badilisha fani, au.. Fungua mtandao wako uwe unahabarisha; iwe blog, youtube, website n.k ukiwa na jina uwe unakula hela ya matangazo
Wewe, unasema ndio maisha ulochagua?Ndio maisha uliyochagua, au boss kakushikia mtutu "hakuna kuacha kazi"
Funguka ni wapi huko msipolipwa mishahara kwa wakati!!
Tumia pato lako dogo wekeza kwenye hivyo vitu, ukiwa 'active' miezi 6 mingi utaanza kuona njiaBarikiwa
Kaka tunazungumzia sekta binafsi changa sasa hadi unakopeshwa range na nyumba hiyo kampuni ni kubwa sana..Sekta binafsi ipo vizuri sana na utaona matunda yake kama kichwa chako kiko smart.
Ji 'brand' wajue bila wewe mambo hayaendi, utakopeshwa range, nyumba, na nje utasafiri sana; muhimu je kichwa chako kina madini.
Sekta binafsi haiitaji 'compliance' bali inahitaji 'output'/faida; kama unaweza kufanikisha hilo nenda sekta binafsi, kama huwezi ngojea hizo ajira za kugombania.
Jamani wenzetu hizo secta binafsi mnazoziongelea ni za wapi?Sio Sekta binafsi wote wanapitia hiyo changamoto.
Naungana na Wewe kwamba Sekta binafsi sio lelemala, you have to work very hard and be creative
Ukiwa hardworking person, unapata treatment tofauti kidogo na utaionjoi kazi za mikono yako
Nimewahi kufanya kazi Sekta binafsi
Muda wa kuripoti ofisini ni saa 2 asubuhi na kutoka na saa 11 Jioni
Nilikuwa nafanya kazi Kwa bidii utasema ile Kampuni ilikuwa ni ya Mzee wangu.
Mwisho wa Mwaka nikapata tuzo ya Mfanyakazi bora na Mishahara miwili at per kama bonus, pia nilipewa tip ya Kulala Holiday inn hotel Siku moja, Christmas ama New Year
Mshahara tulikuwa tunapokea Kila tarehe 30 ya Kila Mwezi isipokuwa Mwezi February ambapo tulipokea 27/28 na hatujawahi kucheleweshewa mshahara hata Kwa Siku Moja.
Mwaka uliofuata wakaniongezea Mshahara.
Kwaajili ya security na Uhakika wa Maisha nikasema Wacha nijikite kwenye shughuli za Kilimo tu, ndiyo nipo huku hadi leo japo wale Jamaa walinifuata mara kadhaa kutaka nirudi kwenye Kampuni yao, wakinijia na ofa ya kudabo mshahara lakini sikurudi
Kufanya kazi Sekta binafsi kunakufanya uwe active sana, na Kwa baadhi ya Field. Unakuwa more competency baada ya miaka kadhaa, maana wale Jamaa wanatoa training nyingi za ndani na nje ya Nchi.
Ndio, umezungumza haswaaa! Hadi sisi ofisini Boss akija anasema oooh kwani Finance hawajafanya mambo, basi si tunabaki tunajua ni uzembe WA finance departmentNimesoma waasibu wa sekta binafsi ndio tunachelewesha mishahara. sio kweli tuna fata maelekezo toka juu. Na hii ni siri ya kampuni hatuwezi kuisema. Subirini mwezi mrefu huu kesho mtacheka.
Dah, UmeuaTanzania Kuna sector binafsi kweli zaidi ya makamouni ya simu na utalii sio kampuni za kuwalipa watu pesa nchi hii
Ni kuegesha tu wakati unasubiri michongo itiki!!
Wahindi watawaua maana ndo waajiri wenu wakubwaWana Jf mko poa? Aisee wale wenzangu namimi wa sekta binafsi, tuambizane kama nyie mna Afya ya akili makazini kwenu.
Picha linaanza unaingia ofisini saa2 unaondoka saa11, ni lazima sio matakwa tu.
Halafu mshahara wako ambayo ni haki Yako, unapata tarehe 37, 38, 39 sometimes mpaka hata tarehe 40, wenye D mbili tu ndo watanielewa.
Hivi Kwa namna hii utaipenda KAZI unayoifanya kweli? Na hapa Afya ya akili kazini ni uongo. Embu labda Mimi nakuwa too judgmental, wenzangu mnazingatia Nini ili kuwa attractive na KAZI zenu 😞😞.
Nahisi Kuna UMUHIMU Mkubwa sana wa kuhamasisha Afya ya akili makazini especially SEKTA BINAFS.
Tukaombe Barabara au tukomae nao?Wahindi watawaua maana ndo waajiri wenu wakub
We unafikiri.kwa nin idd Amin aliwafukuza hao watu ni kenge wanyonyani balaa..wana roho mbaya za kishetani kabisaTukaombe Barabara au tukomae nao?
Binafsi nafanya kazi septa binafs. Naingia saa 2 kutoka panapo majaaliwa.Wana Jf mko poa? Aisee wale wenzangu namimi wa sekta binafsi, tuambizane kama nyie mna Afya ya akili makazini kwenu.
Picha linaanza unaingia ofisini saa2 unaondoka saa11, ni lazima sio matakwa tu.
Halafu mshahara wako ambayo ni haki Yako, unapata tarehe 37, 38, 39 sometimes mpaka hata tarehe 40, wenye D mbili tu ndo watanielewa.
Hivi Kwa namna hii utaipenda KAZI unayoifanya kweli? Na hapa Afya ya akili kazini ni uongo. Embu labda Mimi nakuwa too judgmental, wenzangu mnazingatia Nini ili kuwa attractive na KAZI zenu 😞😞.
Nahisi Kuna UMUHIMU Mkubwa sana wa kuhamasisha Afya ya akili makazini especially SEKTA BINAFS.
Hilo sindio kubwa Mkuu, au hujaona hapo , bango linajieleza, Maokoto ndio muhimu kwasababu hata kazini hujaenda kutalii umeenda kutafuta Maokoto
Wewe tutakesha kukuelewesha/ kueleweshana"Nahisi Kuna UMUHIMU Mkubwa sana wa kuhamasisha Afya ya akili makazini especially SEKTA BINAFS."
Kuna umuhimu wa kuhamasisha ulipaji mishahara inayokidhi na kwa wakati. This has nothing to do with afya ya akili. Sijui kama unaelewa maana ya afya ya akili?
Nikuulize, wakihamasisha afya ya akili kazini kwenu kwa kuleta wataalamu wa afya ya akili na vifaa tiba vyake bila kugusa changamoto ya mishahara itamaliza tatizo?
Wewe tutakesha kukuelewesha/ kueleweshana
Nilibahatika Kampuni Moja hivi ina makazi Norway japo CEO wake hapa Bongo alikuwa ni MhindiJamani wenzetu hizo secta binafsi mnazoziongelea ni za wapi?
Safi sn. Na bahati unayo na Mungu Kakufungulia pia.Sio Sekta binafsi wote wanapitia hiyo changamoto.
Naungana na Wewe kwamba Sekta binafsi sio lelemala, you have to work very hard and be creative
Ukiwa hardworking person, unapata treatment tofauti kidogo na utaionjoi kazi za mikono yako
Nimewahi kufanya kazi Sekta binafsi
Muda wa kuripoti ofisini ni saa 2 asubuhi na kutoka na saa 11 Jioni
Nilikuwa nafanya kazi Kwa bidii utasema ile Kampuni ilikuwa ni ya Mzee wangu.
Mwisho wa Mwaka nikapata tuzo ya Mfanyakazi bora na Mishahara miwili at per kama bonus, pia nilipewa tip ya Kulala Holiday inn hotel Siku moja, Christmas ama New Year
Mshahara tulikuwa tunapokea Kila tarehe 30 ya Kila Mwezi isipokuwa Mwezi February ambapo tulipokea 27/28 na hatujawahi kucheleweshewa mshahara hata Kwa Siku Moja.
Mwaka uliofuata wakaniongezea Mshahara.
Kwaajili ya security na Uhakika wa Maisha nikasema Wacha nijikite kwenye shughuli za Kilimo tu, ndiyo nipo huku hadi leo japo wale Jamaa walinifuata mara kadhaa kutaka nirudi kwenye Kampuni yao, wakinijia na ofa ya kudabo mshahara lakini sikurudi
Kufanya kazi Sekta binafsi kunakufanya uwe active sana, na Kwa baadhi ya Field. Unakuwa more competency baada ya miaka kadhaa, maana wale Jamaa wanatoa training nyingi za ndani na nje ya Nchi.
Hujawahi kufanya kazi na Wahindi Mkuu?Kampuni ya Waganga?