Waajiriwa wa sekta binafsi hatuna Afya ya akili

Waajiriwa wa sekta binafsi hatuna Afya ya akili

Sekta binafsi ipo vizuri sana na utaona matunda yake kama kichwa chako kiko smart.

Ji 'brand' wajue bila wewe mambo hayaendi, utakopeshwa range, nyumba, na nje utasafiri sana; muhimu je kichwa chako kina madini.

Sekta binafsi haiitaji 'compliance' bali inahitaji 'output'/faida; kama unaweza kufanikisha hilo nenda sekta binafsi, kama huwezi ngojea hizo ajira za kugombania.​
Kaka tunazungumzia sekta binafsi changa sasa hadi unakopeshwa range na nyumba hiyo kampuni ni kubwa sana..
 
Sio Sekta binafsi wote wanapitia hiyo changamoto.

Naungana na Wewe kwamba Sekta binafsi sio lelemala, you have to work very hard and be creative

Ukiwa hardworking person, unapata treatment tofauti kidogo na utaionjoi kazi za mikono yako

Nimewahi kufanya kazi Sekta binafsi

Muda wa kuripoti ofisini ni saa 2 asubuhi na kutoka na saa 11 Jioni

Nilikuwa nafanya kazi Kwa bidii utasema ile Kampuni ilikuwa ni ya Mzee wangu.

Mwisho wa Mwaka nikapata tuzo ya Mfanyakazi bora na Mishahara miwili at per kama bonus, pia nilipewa tip ya Kulala Holiday inn hotel Siku moja, Christmas ama New Year

Mshahara tulikuwa tunapokea Kila tarehe 30 ya Kila Mwezi isipokuwa Mwezi February ambapo tulipokea 27/28 na hatujawahi kucheleweshewa mshahara hata Kwa Siku Moja.

Mwaka uliofuata wakaniongezea Mshahara.

Kwaajili ya security na Uhakika wa Maisha nikasema Wacha nijikite kwenye shughuli za Kilimo tu, ndiyo nipo huku hadi leo japo wale Jamaa walinifuata mara kadhaa kutaka nirudi kwenye Kampuni yao, wakinijia na ofa ya kudabo mshahara lakini sikurudi

Kufanya kazi Sekta binafsi kunakufanya uwe active sana, na Kwa baadhi ya Field. Unakuwa more competency baada ya miaka kadhaa, maana wale Jamaa wanatoa training nyingi za ndani na nje ya Nchi.
Jamani wenzetu hizo secta binafsi mnazoziongelea ni za wapi?
 
Nimesoma waasibu wa sekta binafsi ndio tunachelewesha mishahara. sio kweli tuna fata maelekezo toka juu. Na hii ni siri ya kampuni hatuwezi kuisema. Subirini mwezi mrefu huu kesho mtacheka.
 
Nimesoma waasibu wa sekta binafsi ndio tunachelewesha mishahara. sio kweli tuna fata maelekezo toka juu. Na hii ni siri ya kampuni hatuwezi kuisema. Subirini mwezi mrefu huu kesho mtacheka.
Ndio, umezungumza haswaaa! Hadi sisi ofisini Boss akija anasema oooh kwani Finance hawajafanya mambo, basi si tunabaki tunajua ni uzembe WA finance department
 
Wana Jf mko poa? Aisee wale wenzangu namimi wa sekta binafsi, tuambizane kama nyie mna Afya ya akili makazini kwenu.

Picha linaanza unaingia ofisini saa2 unaondoka saa11, ni lazima sio matakwa tu.

Halafu mshahara wako ambayo ni haki Yako, unapata tarehe 37, 38, 39 sometimes mpaka hata tarehe 40, wenye D mbili tu ndo watanielewa.

Hivi Kwa namna hii utaipenda KAZI unayoifanya kweli? Na hapa Afya ya akili kazini ni uongo. Embu labda Mimi nakuwa too judgmental, wenzangu mnazingatia Nini ili kuwa attractive na KAZI zenu 😞😞.

Nahisi Kuna UMUHIMU Mkubwa sana wa kuhamasisha Afya ya akili makazini especially SEKTA BINAFS.
Wahindi watawaua maana ndo waajiri wenu wakubwa
 
Wana Jf mko poa? Aisee wale wenzangu namimi wa sekta binafsi, tuambizane kama nyie mna Afya ya akili makazini kwenu.

Picha linaanza unaingia ofisini saa2 unaondoka saa11, ni lazima sio matakwa tu.

Halafu mshahara wako ambayo ni haki Yako, unapata tarehe 37, 38, 39 sometimes mpaka hata tarehe 40, wenye D mbili tu ndo watanielewa.

Hivi Kwa namna hii utaipenda KAZI unayoifanya kweli? Na hapa Afya ya akili kazini ni uongo. Embu labda Mimi nakuwa too judgmental, wenzangu mnazingatia Nini ili kuwa attractive na KAZI zenu 😞😞.

Nahisi Kuna UMUHIMU Mkubwa sana wa kuhamasisha Afya ya akili makazini especially SEKTA BINAFS.
Binafsi nafanya kazi septa binafs. Naingia saa 2 kutoka panapo majaaliwa.
Mshahara napokea mapema sana lkn ni mdogo sn.
Sihaba sisi huwa tunakuwa na sessions za afya mara kwa mara ikiwemo hio ya afya ya akili n k
 
Hilo sindio kubwa Mkuu, au hujaona hapo , bango linajieleza, Maokoto ndio muhimu kwasababu hata kazini hujaenda kutalii umeenda kutafuta Maokoto

"Nahisi Kuna UMUHIMU Mkubwa sana wa kuhamasisha Afya ya akili makazini especially SEKTA BINAFS."

Kuna umuhimu wa kuhamasisha ulipaji mishahara inayokidhi na kwa wakati. This has nothing to do with afya ya akili. Sijui kama unaelewa maana ya afya ya akili?

Nikuulize, wakihamasisha afya ya akili kazini kwenu kwa kuleta wataalamu wa afya ya akili na vifaa tiba vyake bila kugusa changamoto ya mishahara itamaliza tatizo?
 
"Nahisi Kuna UMUHIMU Mkubwa sana wa kuhamasisha Afya ya akili makazini especially SEKTA BINAFS."

Kuna umuhimu wa kuhamasisha ulipaji mishahara inayokidhi na kwa wakati. This has nothing to do with afya ya akili. Sijui kama unaelewa maana ya afya ya akili?

Nikuulize, wakihamasisha afya ya akili kazini kwenu kwa kuleta wataalamu wa afya ya akili na vifaa tiba vyake bila kugusa changamoto ya mishahara itamaliza tatizo?
Wewe tutakesha kukuelewesha/ kueleweshana
 
Sio Sekta binafsi wote wanapitia hiyo changamoto.

Naungana na Wewe kwamba Sekta binafsi sio lelemala, you have to work very hard and be creative

Ukiwa hardworking person, unapata treatment tofauti kidogo na utaionjoi kazi za mikono yako

Nimewahi kufanya kazi Sekta binafsi

Muda wa kuripoti ofisini ni saa 2 asubuhi na kutoka na saa 11 Jioni

Nilikuwa nafanya kazi Kwa bidii utasema ile Kampuni ilikuwa ni ya Mzee wangu.

Mwisho wa Mwaka nikapata tuzo ya Mfanyakazi bora na Mishahara miwili at per kama bonus, pia nilipewa tip ya Kulala Holiday inn hotel Siku moja, Christmas ama New Year

Mshahara tulikuwa tunapokea Kila tarehe 30 ya Kila Mwezi isipokuwa Mwezi February ambapo tulipokea 27/28 na hatujawahi kucheleweshewa mshahara hata Kwa Siku Moja.

Mwaka uliofuata wakaniongezea Mshahara.

Kwaajili ya security na Uhakika wa Maisha nikasema Wacha nijikite kwenye shughuli za Kilimo tu, ndiyo nipo huku hadi leo japo wale Jamaa walinifuata mara kadhaa kutaka nirudi kwenye Kampuni yao, wakinijia na ofa ya kudabo mshahara lakini sikurudi

Kufanya kazi Sekta binafsi kunakufanya uwe active sana, na Kwa baadhi ya Field. Unakuwa more competency baada ya miaka kadhaa, maana wale Jamaa wanatoa training nyingi za ndani na nje ya Nchi.
Safi sn. Na bahati unayo na Mungu Kakufungulia pia.
Kuna watu wapo hardworking lkn hawajabahatika. Of course kila mmoja na wakati wake Mungu Alompangia.
Pia hongera kwa ujasiri wa kuacha kazi na kukomaa na mambo yako.
Sio wote wenye huo uthubutu
 

Attachments

  • f5b962bbdef44b9f8a44158926a0f7a3.jpg
    f5b962bbdef44b9f8a44158926a0f7a3.jpg
    29.8 KB · Views: 4
Back
Top Bottom