Waajiriwa wa sekta binafsi hatuna Afya ya akili

Waajiriwa wa sekta binafsi hatuna Afya ya akili

Sekta binafsi ipo vizuri sana na utaona matunda yake kama kichwa chako kiko smart.
Ji 'brand' wajue bila wewe mambo hayaendi, utakopeshwa range, nyumba, na nje utasafiri sana; muhimu je kichwa chako kina madini.​
Weeeeee, Embu itagi hiyo sekta binafsi Yako Mkuu.
We shukuru Mungu kama umepata sekta binafsi ya namna hiyo. Weeee Kuna sehemu utakaa utapiga KAZI kama mchwa, na mchango wako wanauona lakini utaishia kutumika tu, utatumiwa nguvu zako weeeee mwisho wa siku hamna faida.
Za namna hiyo ni chache ndugu
 
Sio Sekta binafsi wote wanapitia hiyo changamoto.

Naungana na Wewe kwamba Sekta binafsi sio lelemala, you have to work very hard and be creative

Ukiwa hardworking person, unapata treatment tofauti kidogo na utaionjoi kazi za mikono yako

Nimewahi kufanya kazi Sekta binafsi

Muda wa kuripoti ofisini ni saa 2 asubuhi na kutoka na saa 11 Jioni

Nilikuwa nafanya kazi Kwa bidii utasema ile Kampuni ilikuwa ni ya Mzee wangu.

Mwisho wa Mwaka nikapata tuzo ya Mfanyakazi bora na Mishahara miwili at per kama bonus, pia nilipewa tip ya Kulala Holiday inn hotel Siku moja, Christmas ama New Year

Mshahara tulikuwa tunapokea Kila tarehe 30 ya Kila Mwezi isipokuwa Mwezi February ambapo tulipokea 27/28 na hatujawahi kucheleweshewa mshahara hata Kwa Siku Moja.

Mwaka uliofuata wakaniongezea Mshahara.

Kwaajili ya security na Uhakika wa Maisha nikasema Wacha nijikite kwenye shughuli za Kilimo tu, ndiyo nipo huku hadi leo japo wale Jamaa walinifuata mara kadhaa kutaka nirudi kwenye Kampuni yao, wakinijia na ofa ya kudabo mshahara lakini sikurudi

Kufanya kazi Sekta binafsi kunakufanya uwe active sana, na Kwa baadhi ya Field. Unakuwa more competency baada ya miaka kadhaa, maana wale Jamaa wanatoa training nyingi za ndani na nje ya Nchi.
 
Wana Jf mko poa? Aisee wale wenzangu namimi WA sekta binafsi, tuambizane kama nyie mna Afya ya akili makazini kwenu.

Picha linaanza unaingia ofisini saa2 unaondoka saa11, ni lazima sio matakwa tu.
Halafu mshahara wako ambayo ni haki Yako, unapata tarehe 37, 38, 39 sometimes mpaka hata tarehe 40, wenye D mbili tu ndo watanielewa.

Hivi Kwa namna hii utaipenda KAZI unayoifanya kweli? Na hapa Afya ya akili kazini ni uongo.
Embu labda Mimi nakuwa too judgmental, wenzangu mnazingatia Nini ili kuwa attractive na KAZI zenu 😞😞.
Nahisi Kuna UMUHIMU Mkubwa sana WA kuhamasisha Afya ya akili makazini especially SEKTA BINAFS.
shukuru Mungu wewe afya ya akili wengine ni vyote yaani afya ya akili na mwili pia!
 
Weeeeee, Embu itagi hiyo sekta binafsi Yako Mkuu.
We shukuru Mungu kama umepata sekta binafsi ya namna hiyo. Weeee Kuna sehemu utakaa utapiga KAZI kama mchwa, na mchango wako wanauona lakini utaishia kutumika tu, utatumiwa nguvu zako weeeee mwisho wa siku hamna faida.
Za namna hiyo ni chache ndugu
Pia tuangalie na fani tulizo soma; kama fani yako anaweza kufanya mtu yeyote, lazima ukubali matokeo.
Ila kama fani yako inagusa 'core function' ya kampuni husika, na uko 'productive' tarehe 15 utakuwa unabembelezwa kupokea mshahara.
 
kuna taasisi moja muhasibu ndio anajiona kama mkuu wa taasisi anaweza kuamua kuwalipa tarehe 70 na asifanywe chochote yani taasisi binafsi bana boss asipokupenda tu umeliwa kichwa tena umkute boss mwanamke mwenye ma commobities mbali mbali, sukari ikipanda tu mtalimia meno wote.
 
Wengine tunakaa mpaka saa6 usiku dah, halafu mpaka Leo hata harufu ya mshahara hamna 😡😡
Acha kazi ili upate kazi ya kutafuta kazi au acha kazi uone ilivyo kazi kupata kazi, komaa na madeni ila malipo tarehe 60 hio ni zaidi ya balaa mimi nilicha siwezi nikafanya miezi 2 nalipwa mshahara wa mwezi uliopita
 
Sio Sekta binafsi wote wanapitia hiyo changamoto.

Naungana na Wewe kwamba Sekta binafsi sio lelemala, you have to work very hard and be creative

Ukiwa hardworking person, unapata treatment tofauti kidogo na utaionjoi kazi za mikono yako

Nimewahi kufanya kazi Sekta binafsi

Muda wa kuripoti ofisini ni saa 2 asubuhi na kutoka na saa 11 Jioni

Nilikuwa nafanya kazi Kwa bidii utasema ile Kampuni ilikuwa ni ya Mzee wangu.

Mwisho wa Mwaka nikapata tuzo ya Mfanyakazi bora na Mishahara miwili at per kama bonus, pia nilipewa tip ya Kulala Holiday inn hotel Siku moja, Christmas ama New Year

Mshahara tulikuwa tunapokea Kila tarehe 30 ya Kila Mwezi isipokuwa Mwezi February ambapo tulipokea 27/28 na hatujawahi kucheleweshewa mshahara hata Kwa Siku Moja.

Mwaka uliofuata wakaniongezea Mshahara.

Kwaajili ya security na Uhakika wa Maisha nikasema Wacha nijikite kwenye shughuli za Kilimo tu, ndiyo nipo huku hadi leo japo wale Jamaa walinifuata mara kadhaa kutaka nirudi kwenye Kampuni yao, wakinijia na ofa ya kudabo mshahara lakini sikurudi

Kufanya kazi Sekta binafsi kunakufanya uwe active sana, na Kwa baadhi ya Field. Unakuwa more competency baada ya miaka kadhaa, maana wale Jamaa wanatoa training nyingi za ndani na nje ya Nchi.
Ndugu yangu, nakuunga mkono kabisa, lakini tunarudi palepale, ni asilimia chache sana ambazo utakuta sekta binafsi wanatambua mchango wakooo, we shukuru ulipata sehemu ya watu wanao value kile unafanya

Kuna sekta Ndugu yangu heeeeee,
SEMA kikubwa ni kwamba tutajenhewa uwezo Mkubwa, utakuwa multitask mzuri tu, na ukufanikiwa kutoka hapo ukapanda juu lazima utakuwa na uwezo Mkubwa.

Shida ni kwamba tunapotafuta KAZI hatutafuti tu kujengewa uwezo NO. tunatafuta KAZI kupata pesa ili uwe imara kujijengea uwezo na uwe able kufanya KAZI zako.
Sasa unafanya Kazi, no kupumzika, mshahara utaupata tarehe 39 mpaka 40
Hivi unajenga Nini hapo kama sio kupambana kuondoka.
Kati ya SEKTA binafsi, 90% ni wanoko 10% ndio wanajua Nini wafanyakazi wanahitaji
 
Jipambanie, ongeza thamani yako kwa juhudi na maarifa, wasipoitambua thamani yako nenda katafute malisho pengine !















Besides baada ya kuhitimu chuo miaka kadhaa nyuma kabla sitapata direction, kuna sehemu nilikuwa najishikiza, ni sekta binafsi,,unafanya kazi kama punda, masaa mengi hakuna cha overtime wala nini,,,unapelekeshwa kama kichaa, kazi imejaa machawa, ndg zao na maboss hata ambao hawana uzoefu na kazi husika wamechazwa wengi nao wanataka waabudiwe, mshahara Mbuzi na mnalipwa mda mwingine hadi tar 10 , nafasi niliyokuwepo nilikuwa na ahueni ya mshahara, niliacha kazi nikaondoka kila mtu aliniona kichaa, lakini moyoni nilikuwa najua yanayonisibu,,,, ! Amua fanya maamuzi sahihi, ushauri usiache kazi kabla ya kupata kazi, mm niliacha kabla ya kupata kazi lakini usiniige!
 
Back
Top Bottom