mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 725
- 1,282
mkuu mbona umeanza kumsagia kunguni boss wa chama letu? sie mashabiki kindakindaki wa msmbaz hautujabali hii hoja yako. una uhakika na uyasemayo?Nenda kwa Mo dewji uone maisha ya watu wa sales...utawaonea huruma
Basi uchune mzeeππMbona kama naijua hii ofisi?
Wana Jf mko poa? Aisee wale wenzangu namimi wa sekta binafsi, tuambizane kama nyie mna Afya ya akili makazini kwenu.
Picha linaanza unaingia ofisini saa2 unaondoka saa11, ni lazima sio matakwa tu.
Halafu mshahara wako ambayo ni haki Yako, unapata tarehe 37, 38, 39 sometimes mpaka hata tarehe 40, wenye D mbili tu ndo watanielewa.
Hivi Kwa namna hii utaipenda KAZI unayoifanya kweli? Na hapa Afya ya akili kazini ni uongo. Embu labda Mimi nakuwa too judgmental, wenzangu mnazingatia Nini ili kuwa attractive na KAZI zenu ππ.
Nahisi Kuna UMUHIMU Mkubwa sana wa kuhamasisha Afya ya akili makazini especially SEKTA BINAFS.
Serikali ingefanya maboresho hasa kwa kufatilia mishahara na stahiki nyingine za wafanyakazi katika sekta binafsi, sekta binafsi zingelipa vizuri. Sekta binafsi ikilipa vizuri itapunguza changamoto nyingi. Wahitimu wengi wanakimbilia serikalini ni kwasababu tu serikali haijaweka mazingira mazuri kwenye sekta binafsiWana Jf mko poa? Aisee wale wenzangu namimi wa sekta binafsi, tuambizane kama nyie mna Afya ya akili makazini kwenu.
Picha linaanza unaingia ofisini saa2 unaondoka saa11, ni lazima sio matakwa tu.
Halafu mshahara wako ambayo ni haki Yako, unapata tarehe 37, 38, 39 sometimes mpaka hata tarehe 40, wenye D mbili tu ndo watanielewa.
Hivi Kwa namna hii utaipenda KAZI unayoifanya kweli? Na hapa Afya ya akili kazini ni uongo. Embu labda Mimi nakuwa too judgmental, wenzangu mnazingatia Nini ili kuwa attractive na KAZI zenu ππ.
Nahisi Kuna UMUHIMU Mkubwa sana wa kuhamasisha Afya ya akili makazini especially SEKTA BINAFS.
Wewe tu na kampuni yako.Wana Jf mko poa? Aisee wale wenzangu namimi wa sekta binafsi, tuambizane kama nyie mna Afya ya akili makazini kwenu.
Picha linaanza unaingia ofisini saa2 unaondoka saa11, ni lazima sio matakwa tu.
Halafu mshahara wako ambayo ni haki Yako, unapata tarehe 37, 38, 39 sometimes mpaka hata tarehe 40, wenye D mbili tu ndo watanielewa.
Hivi Kwa namna hii utaipenda KAZI unayoifanya kweli? Na hapa Afya ya akili kazini ni uongo. Embu labda Mimi nakuwa too judgmental, wenzangu mnazingatia Nini ili kuwa attractive na KAZI zenu ππ.
Nahisi Kuna UMUHIMU Mkubwa sana wa kuhamasisha Afya ya akili makazini especially SEKTA BINAFS.
Ukiacha utapata akili mpya, kwahiyo hiyo kazi yako unategemea kuifanya mpaka uzeeni??Wewe, unasema ndio maisha ulochagua?
Kijana ukiona una maisha swafi sio Kila mtu Yuko hivo.
Haya nikiacha KAZI hapo nikaamze kutanga Tanga au????
Nakubali mkuuIs all about potential you offer .
Ogopa kufanya Kazi ambayo nadni yake haina ukuaji .
Kuwa sehemu ya ujenzi zaidi.
Unajibrand mkui πNi sahihi Mkuu, Businessmen are there to make profit out of you
Wanamsemo wao "punda afe mzigo ufike"
Wanafanyisha kazi ila maslahi ni duni lakini pia wanachelewesha sana Mishahara ya Wafanyakazi wao.
Binafsi nashukuru wale Jamaa walinipenda Kwa sababu hizo nilizosema.
Waliniudhi kitu kimoja, jamaa walikuwa ni washirikina mno.
Kabla hawajakuajiri, wanaangalia kwanza nyota yako.
Siwezi kuandika yote hapa, ila ile Kampuni ilinipa maisha kiaina
Hahaha..........ni kweli Mkuu πUnajibrand mkui π