Waalimu wachangishwa pesa ya Mwenge; bajeti ya Mwenge inafanya kazi?

Waalimu wachangishwa pesa ya Mwenge; bajeti ya Mwenge inafanya kazi?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Watumishi wa umma wanachangishwa pesa za Mwenge kwenye wilaya na Mikoa nchini. Najiuliza hizi fedha zinakwenda wapi endapo

Wakimbiza Mwenge wamelipwa stahiki zao zote.

Mafuta ya kukimbiza Mwenge bajeti IPO

Gharama nyingine za emergency zinatengwa kwenye bajeti

Viongozi WA halmashauri wote wanalipwa per Diem kukesha kwenye Mwenge

Mawaziri na viongozi wakuu wa kisekta wanalipwa stahiki za mabilioni waweze kusafiri kwenda kuwasha na kuzima Mwenge

Huyu mtumishi WA chini ambaye salary haitoshi anatozwa pesa ya Mwenge Kwa ajili ya matumizi ya Nani? Kwanini tusingewachangisha Kwa ajili ya maendeleo tunawachangisha Kwa ajili ya Kula?
 
Watumishi wa umma wanachangishwa pesa za Mwenge kwenye wilaya na Mikoa nchini. Najiuliza hizi fedha zinakwenda wapi endapo

Wakimbiza Mwenge wamelipwa stahiki zao zote.

Mafuta ya kukimbiza Mwenge bajeti IPO

Gharama nyingine za emergency zinatengwa kwenye bajeti

Viongozi WA halmashauri wote wanalipwa per Diem kukesha kwenye Mwenge
Zinanunua pombe
Kimsingi hao wanaochangishwa ndiyo walipaswa kulipwa perdiems
 
Watumishi wa umma wanachangishwa pesa za Mwenge kwenye wilaya na Mikoa nchini. Najiuliza hizi fedha zinakwenda wapi endapo

Wakimbiza Mwenge wamelipwa stahiki zao zote.

Mafuta ya kukimbiza Mwenge bajeti IPO

Gharama nyingine za emergency zinatengwa kwenye bajeti

Viongozi WA halmashauri wote wanalipwa per Diem kukesha kwenye Mwenge

Mawaziri na viongozi wakuu wa kisekta wanalipwa stahiki za mabilioni waweze kusafiri kwenda kuwasha na kuzima Mwenge

Huyu mtumishi WA chini ambaye salary haitoshi anatozwa pesa ya Mwenge Kwa ajili ya matumizi ya Nani? Kwanini tusingewachangisha Kwa ajili ya maendeleo tunawachangisha Kwa ajili ya Kula?
Tumeikuta,na tunaiendeleza
Hakuna atkayekupa jibu lililonyooka humu mkuu
 
Wachangiaji wa kudumu ni chawa wa wakuu wa shule. Wanapga mikwara wala hatustuki.

Michango muhimu huingizwa lawson!

Walimu hasa wa sek tunabisha na wakubwa zetu tofauti na kada nyingine.

Ukiona ticha kasubishwa huyo ni grade IIIA aka point 28, wenye ufaulu walishajiendeleza kitambo.

watendaji, polisi, kilimo, afya nk wanachanga karibia wote.
 
Bajeti ni jambo moja, fedha zilizotengwa kwa ajili ya jambo fulani kupelekwa halmashauri ni jambo lingine ambalo ni changamoto kubwa sana kwa wakurugenzi wa hizo halmashauri.

Mwisho wa siku ndio unakuta fedha za hiki zimetumika kule, alafu akija CAG lawama kibao.

Huu mwenge uwekwe kwenye makumbusho, inaonekana hata serikali haiupi umuhimu kihivyo na ndio maana hawapeleki fedha za 'maandalizi' huko halmashauri.
 
Ifike mahala Walimu wapumzishwe.
Hiyo michango ni watumishi wote wanachangishwa hadi wafanya biashara.sasa kwanini heading iwe walimu tu.

Hapa tuulizane hizo pesa ni za nini na zinaenda wapi?na sio kuwatanguliza walimu
Relax mkuu,Ile sumu aliyoipanda mpwayungu village humu Kwa karibu mwaka sasa ishaene humu na kuwadhuru watu wengi

Itaisha tu taratibu
 
Watumishi wa umma wanachangishwa pesa za Mwenge kwenye wilaya na Mikoa nchini. Najiuliza hizi fedha zinakwenda wapi endapo

Wakimbiza Mwenge wamelipwa stahiki zao zote.

Mafuta ya kukimbiza Mwenge bajeti IPO

Gharama nyingine za emergency zinatengwa kwenye bajeti

Viongozi WA halmashauri wote wanalipwa per Diem kukesha kwenye Mwenge

Mawaziri na viongozi wakuu wa kisekta wanalipwa stahiki za mabilioni waweze kusafiri kwenda kuwasha na kuzima Mwenge

Huyu mtumishi WA chini ambaye salary haitoshi anatozwa pesa ya Mwenge Kwa ajili ya matumizi ya Nani? Kwanini tusingewachangisha Kwa ajili ya maendeleo tunawachangisha Kwa ajili ya Kula?
Naona unatafuta attention kupitia walimu
 
Acha wachangishwe maana hao ndio wanasimamia na kupitisha majizi kipindi cha kupiga kura.mbaya zaidi wakishapata nyadhifa zao wanawatekekeza kama hivyo
Hata ungesimamia wewe ungefanya nini!?
Ndo Upinzani wangeshinda!?

Ushaambiwa CCM hawawezi nchi aachia Kwa vikaratasi viitwavyo kura
2025 leta ilo tumbo lako na wenzio wasimamie halafu mtupe mrejesho
 
Back
Top Bottom