Waalimu wachangishwa pesa ya Mwenge; bajeti ya Mwenge inafanya kazi?

Waalimu wachangishwa pesa ya Mwenge; bajeti ya Mwenge inafanya kazi?

Watumishi wa umma wanachangishwa pesa za Mwenge kwenye wilaya na Mikoa nchini. Najiuliza hizi fedha zinakwenda wapi endapo

Wakimbiza Mwenge wamelipwa stahiki zao zote.

Mafuta ya kukimbiza Mwenge bajeti IPO

Gharama nyingine za emergency zinatengwa kwenye bajeti

Viongozi WA halmashauri wote wanalipwa per Diem kukesha kwenye Mwenge

Mawaziri na viongozi wakuu wa kisekta wanalipwa stahiki za mabilioni waweze kusafiri kwenda kuwasha na kuzima Mwenge

Huyu mtumishi WA chini ambaye salary haitoshi anatozwa pesa ya Mwenge Kwa ajili ya matumizi ya Nani? Kwanini tusingewachangisha Kwa ajili ya maendeleo tunawachangisha Kwa ajili ya Kula?
mbona umeandika walimu wakt umesema watumishi wa umma ina maana watumishi wa uma ni walimu tu.au?
 
Si wachukue hela iliyozidi ya ndege! Mi ni mwl ila sifanyagi huo upuuzi. Kama hawana hela ya kuugharamia wakauweke makumbusho. Hii nchi ina laana kubwa Sana! Kwanza ni nchi gani duniani ina mwenge? Watu wanafikiria kwenda mwezini wengine ni mwenge! Halafu kila sehemu unalala ni uasherati na uzinzi tu!
Hongera mwalimu usikubali upigaji huo unaoprocessiwa na vikundi vya wapigaji ndani ya halmashauri .Mtumishi yeyote ndani ya halmashauri asipotoa huo mchanga atakuwa hajakiuka kifungu chochote kilicho katika standing order na hawana cha kumfanya licha ya kwamba vitisho vya mbwa kibogoyo vitakuwa si haba ni msimamo tu
 
Tena hakuna mtu anayelipwa perdiem siku ya ukimbiza mwenge. Watendaji wanachanga, afya wanachanga, kila mtu anachanga
Watu ni majasiri mtumishi wa kada ya chini utoe hela ambayo itakusaidia kupambana na mfumuko wa bei (inflation)hasa vyakula mfano mchele bei imekuwa kubwa mpaka wali kimekuwa chakula cha anasa halafu uwape hela viongozi wa juu halmashauri!For what?
 
Siyo kweli kwamba watumishi wa kada zote Wanachangishwa, wewe utakuwa ni mwanaccm asiye mtumishi.

Wapi ulisikia madktari, wanasheria, wahandisi, nk Wana changishwa fedha za mwenge. Weka barua za kuchangishwa kwa kada zingine kama zinavyotiririka humu jf za walimu kwa kila msimu wa mwenge.

Ukweli ni kwamba serikali inawaonea Sana walimu na ni dharau ya kiwango cha juu, Ni kipindi cha Kikwete na Mkapa kidogo walimu walipata ahueni. Kwa sasa wanasiasa wengi wa ccm wamewageuza walimu kama dekio.

Ktka hili Rais na waziri mkuu wawape mwongozo mpya juu ya mienendo ya wanasiasa kwa walimu.
Watumishi wote wa halmashauri wanachangia ,walimu ,madr ,nesi ,masjala,secretari,afisa ugani,watendaji
 
Hizokada nyingine hatuhangaiki na elimu mpaka mavyuo huko kamanyie!!
Mwalimu vitoto vinajikojolea/vinajinyea,vinatapika mnasafisha,vinalia mnavibeba mgongoni,vinawajambia mnacheka,havijui kitu mnahangaika alafu mshahara aftatu... pole mwalimu wa zamu naona umeumia na ukweli!
kama hapo ulipo hudaiwi madukani sema suu ticha!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
endeleeni kuchomekea nalichama lenu cwt lakiboya haliwatetei linawaibia.
Nlipita huko nkakopa nkakimbia 10 yrs ago! Saiv naishi free hiyo nikazi ya kislavery sn...
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watumishi wote wa halmashauri wanachangia ,walimu ,madr ,nesi ,masjala,secretari,afisa ugani,watendaji
Narudia tena siyo watumishi wote. Nina uhakika maana wa 100% hata hao walimu ni baadhi ya wilaya tu. Ndiyo tunashauri Rais na waziri mkuu waingilie Kati suala hili maana linawachonganisha walimu na serikali hii na utafika muda itakuja igharimu serikali.
 
Kwani ni Leo.....acha wachangishwe yaani ni WA hovyoooo sana kwenye misimamo
Muda wa kura wanatumike kuiboa ccm kura na kupinga upinzani
 
Lakn hapa Si walimu ndio wanachangia mwenge...wametaja wameelekeza shule husika ndio inachangia...tena Hela inayochangiwa nikidonyooo Wala hata...ni sawa tu Jenga taifa
 
Andaeni limu za kutosha hao watumishi wajieleze kwani hali ya michango itakuwa mbaya .Baneni sana akina dada watumishi wa kiume watakaotoa watakuwa wachache sana .Ushauri wangu ingizeni kwenye mfumo wakatwe automatically
 
Back
Top Bottom