Waalimu wachangishwa pesa ya Mwenge; bajeti ya Mwenge inafanya kazi?

Waalimu wachangishwa pesa ya Mwenge; bajeti ya Mwenge inafanya kazi?

Kwa nini wanachanga? Kama ni jambo la kitaifa kwa nini wachange wao tu. Kwa nini rais wote wasichange?
Mleta mada kaandika kisiasa Ili kuwavutia watu waje katika uzi wake Kwa kumtaja mwalimu

Ila ngazi ya Halmashauri watumishi wote wanachangia
 
Kuwa mwalimu nchi hii ni laana?
Si wachukue hela iliyozidi ya ndege! Mi ni mwl ila sifanyagi huo upuuzi. Kama hawana hela ya kuugharamia wakauweke makumbusho. Hii nchi ina laana kubwa Sana! Kwanza ni nchi gani duniani ina mwenge? Watu wanafikiria kwenda mwezini wengine ni mwenge! Halafu kila sehemu unalala ni uasherati na uzinzi tu!
 
Si wachukue hela iliyozidi ya ndege! Mi ni mwl ila sifanyagi huo upuuzi. Kama hawana hela ya kuugharamia wakauweke makumbusho. Hii nchi ina laana kubwa Sana! Kwanza ni nchi gani duniani ina mwenge? Watu wanafikiria kwenda mwezini wengine ni mwenge! Halafu kila sehemu unalala ni uasherati na uzinzi tu!
Pamoja mkuu
 
Si wachukue hela iliyozidi ya ndege! Mi ni mwl ila sifanyagi huo upuuzi. Kama hawana hela ya kuugharamia wakauweke makumbusho. Hii nchi ina laana kubwa Sana! Kwanza ni nchi gani duniani ina mwenge? Watu wanafikiria kwenda mwezini wengine ni mwenge! Halafu kila sehemu unalala ni uasherati na uzinzi tu!
Halafu kuna nyingine iko China
 
Mleta mada kaandika kisiasa Ili kuwavutia watu waje katika uzi wake Kwa kumtaja mwalimu

Ila ngazi ya Halmashauri watumishi wote wanachangia
Tena hakuna mtu anayelipwa perdiem siku ya ukimbiza mwenge. Watendaji wanachanga, afya wanachanga, kila mtu anachanga
 
Si wachukue hela iliyozidi ya ndege! Mi ni mwl ila sifanyagi huo upuuzi. Kama hawana hela ya kuugharamia wakauweke makumbusho. Hii nchi ina laana kubwa Sana! Kwanza ni nchi gani duniani ina mwenge? Watu wanafikiria kwenda mwezini wengine ni mwenge! Halafu kila sehemu unalala ni uasherati na uzinzi tu!
Hiyo ni ibada ya kishetani mzee, hivyo kula, kunywa, kucheza na kufanya ngono kwenye eneo ambalo mwenge umelala ndo mambo yanayoendana na ibada hiyo.

Nchi inaabudu mungu anayeitwa mwenge ndo maana haiendelei......Mungu Mwenyezi aingilie kati ili hii ibada ya miungu ikome tuweze kupata baraka kutoka kwake.
 
Ifike mahala Walimu wapumzishwe.
Hiyo michango ni watumishi wote wanachangishwa hadi wafanya biashara.sasa kwanini heading iwe walimu tu.

Hapa tuulizane hizo pesa ni za nini na zinaenda wapi?na sio kuwatanguliza walimu
Tatizo watz wengi walioko nje ya kada ya ualimu wanajiona werevu mno na kuwaona walimu sio werevu ,unakuta hata muendesha mkokoteni nae anamcheka mwalimu
 
Bora uwe bodaboda mpaka walimu wakike unawakopa lifuti mnalipana kisela... walimu weeengi mishahara yao kiduchu,wanapelekeshwa,wanadharauliwa,wamejawa madeni,wanapanga kachumba na kodi hawamudu kwakweli nikada yakuonea huruma [emoji18]
Acheni ushabiki usio na tija nchi hii kila kada hawakosekani watu wenye maisha ya hovyo hao madr mbona kuna waliochoka huko vijijini ,maafisa ugani hao hamuwaoni ? Eti bora kua bodaboda kuliko kua mwalimu ,inamaana mmachinga,konda,mkulima,ombaomba ,masjala,secretaries hawa wana maisha bora kuliko walimu ? ,ninapofanyia kazi halmashauri yetu kuna mwalimu anamiliki mabasi mwingine ana petrol station na suala la kuchangia mwenge ni watumishi wote wa halmashauri sio walimu tu
 
Bora uwe bodaboda mpaka walimu wakike unawakopa lifuti mnalipana kisela... walimu weeengi mishahara yao kiduchu,wanapelekeshwa,wanadharauliwa,wamejawa madeni,wanapanga kachumba na kodi hawamudu kwakweli nikada yakuonea huruma [emoji18]
Mkuu uko kada gani,inamaana nchi hii wakulima,wamachinga,makonda,bodaboda,wauza maji,mafundi viatu ,secretaries ,masjala wanamaisha bora kuliko walimu ? ,eti walimu ndio kada ya kuonea huruma kuliko zote unajua mshahara wa mwalimu
 
Tatizo watz wengi walioko nje ya kada ya ualimu wanajiona werevu mno na kuwaona walimu sio werevu ,unakuta hata muendesha mkokoteni nae anamcheka mwalimu
Mkuu nadhani mngefurahi kuona kuna watu wanawasemea, vinginevyo watu wakipiga kimya na hicho chama chenu ndo hivyo tena watawala wanaweza kutumia advantage na kuendelea kukandamiza maslahi ya walimu, maana idadi ya walimu ni kubwa na watawala hawako tayari kuweka maslahi bora ya walimu ili kukwepa fungu la mishahara kwenda juu na kupunguza pesa zao za kulamba asali na kujipimia. Ila ni kweli watumishi wote wa umma mishahara yao ni ileile tu haina tofauti, sema walimu wanasikika sana sababu ni wengi.

Hilo la baadhi ya walimu kufanikiwa kwa kuwa na biashara nyingine kubwa kama kumiliki mabasi na petrol station hao ni wachache ambao ni tone tu kwa walimu wengi ambao wanahitaji maslahi yao na mazingira yao ya kazi yaboreshwe.

Pia watumishi wengine wanatumia kichaka cha walimu kwa sababu wanajua wao ni wengi wanaweza kusukuma ajenda zao zikakubalika kuliko kada nyingine zenye watumishi wachache, yaani wanadai maslahi bora kijanja kwa kuwatumia walimu wakijua walimu ndo wengi wanaweza kushinikiza watawala wakatekeleza.​
 
Mkuu uko kada gani,inamaana nchi hii wakulima,wamachinga,makonda,bodaboda,wauza maji,mafundi viatu ,secretaries ,masjala wanamaisha bora kuliko walimu ? ,eti walimu ndio kada ya kuonea huruma kuliko zote unajua mshahara wa mwalimu
Hizokada nyingine hatuhangaiki na elimu mpaka mavyuo huko kamanyie!!
Mwalimu vitoto vinajikojolea/vinajinyea,vinatapika mnasafisha,vinalia mnavibeba mgongoni,vinawajambia mnacheka,havijui kitu mnahangaika alafu mshahara aftatu... pole mwalimu wa zamu naona umeumia na ukweli!
kama hapo ulipo hudaiwi madukani sema suu ticha!!! 🤣🤣🤣
endeleeni kuchomekea nalichama lenu cwt lakiboya haliwatetei linawaibia.
Nlipita huko nkakopa nkakimbia 10 yrs ago! Saiv naishi free hiyo nikazi ya kislavery sn...
 
Acheni ushabiki usio na tija nchi hii kila kada hawakosekani watu wenye maisha ya hovyo hao madr mbona kuna waliochoka huko vijijini ,maafisa ugani hao hamuwaoni ? Eti bora kua bodaboda kuliko kua mwalimu ,inamaana mmachinga,konda,mkulima,ombaomba ,masjala,secretaries hawa wana maisha bora kuliko walimu ? ,ninapofanyia kazi halmashauri yetu kuna mwalimu anamiliki mabasi mwingine ana petrol station na suala la kuchangia mwenge ni watumishi wote wa halmashauri sio walimu tu
Petrol station alafu bado ticha??
Uongoo..uongo huoooo...uongo bhana!!😄
 
Hizokada nyingine hatuhangaiki na elimu mpaka mavyuo huko kamanyie!!
Mwalimu vitoto vinajikojolea/vinajinyea,vinatapika mnasafisha,vinalia mnavibeba mgongoni,vinawajambia mnacheka,havijui kitu mnahangaika alafu mshahara aftatu... pole mwalimu wa zamu naona umeumia na ukweli!
kama hapo ulipo hudaiwi madukani sema suu ticha!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
endeleeni kuchomekea nalichama lenu cwt lakiboya haliwatetei linawaibia.
Nlipita huko nkakopa nkakimbia 10 yrs ago! Saiv naishi free hiyo nikazi ya kislavery sn...
Mimi sitegemei mshahara ndugu ninakopesha pesa kwa mwezi almost nakopesha sio chini ya milioni tano na riba inaingia mil 1.5
 
Petrol station alafu bado ticha??
Uongoo..uongo huoooo...uongo bhana!![emoji1]
Njoo handeni mkuu usibishe kuna mwalimu anaitwa kipacha anamiliki mabasi yanaitwa kipacha yanatoka handeni-dar amefanya ualimu mpaka amestaafu mwaka juzi usibishe mkuu
 
Ifike mahala Walimu wapumzishwe.
Hiyo michango ni watumishi wote wanachangishwa hadi wafanya biashara.sasa kwanini heading iwe walimu tu.

Hapa tuulizane hizo pesa ni za nini na zinaenda wapi?na sio kuwatanguliza walimu
Ifike mahala Walimu wapumzishwe.
Hiyo michango ni watumishi wote wanachangishwa hadi wafanya biashara.sasa kwanini heading iwe walimu tu.

Hapa tuulizane hizo pesa ni za nini na zinaenda wapi?na sio kuwatanguliza walimu
Siyo kweli kwamba watumishi wa kada zote Wanachangishwa, wewe utakuwa ni mwanaccm asiye mtumishi.

Wapi ulisikia madktari, wanasheria, wahandisi, nk Wana changishwa fedha za mwenge. Weka barua za kuchangishwa kwa kada zingine kama zinavyotiririka humu jf za walimu kwa kila msimu wa mwenge.

Ukweli ni kwamba serikali inawaonea Sana walimu na ni dharau ya kiwango cha juu, Ni kipindi cha Kikwete na Mkapa kidogo walimu walipata ahueni. Kwa sasa wanasiasa wengi wa ccm wamewageuza walimu kama dekio.

Ktka hili Rais na waziri mkuu wawape mwongozo mpya juu ya mienendo ya wanasiasa kwa walimu.
 
Njoo handeni mkuu usibishe kuna mwalimu anaitwa kipacha anamiliki mabasi yanaitwa kipacha yanatoka handeni-dar amefanya ualimu mpaka amestaafu mwaka juzi usibishe mkuu
Anatumika huyo mabasi sioyake binafsi... umiliki mabasi afu ukakae unaendeshwa na kengele na vijikuu vijinga!! Uendelee kufundisha elimu hii yakukaririshana!!! Siyakee chunguza vizuri
 
Back
Top Bottom