Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
Acha kupotosha watu. Binafsi toka nivunjwe mkono kwa kumpambania Dogo janja pale Arumeru kisha nikatelekezwa na CDM alafu baadaye jamaa yetu Nasari akahamia CCM haki ninayoigombania sasa ni "unyumba tu kwa Mama Manka". Hizo nyingine siwezi ingia mtaani.Kwa hiyo ww huwezi jitolea kufa ukipigania haki??
Lakini pia usijisahaulishe kuwa kuna motive ya ukabila nyuma ya hiko wafanyacho.Wakenya hawachezewi kama ''maiti'' za kibongo zinazoitwa watanzania. Wameenda mbali zaidi na wanaharibu mali za wabunge wote waliopiga kura ya kuunga mkono.
Katika nchi zinojitambua mauaji yalofanywa na polisi wa Kenya kwa kutumia live bullets ni uhalifu wa kuua kwa kukusudia, its murder as simple as that.
View: https://twitter.com/Sirjeff_D/status/1805583153773359575?t=9cXvC78w6ldNEMPULcVzIg&s=19
Kenya wazembe sana Wameshindwa kuingiza Jeshi kuweka vizuizi maeneo yote wanayopita hao waandamanaji?
Hawajifunzi Kwa Cyril Ramaphosa alivyowasafisha? Hao ni bangi,wanachoma Bunge ndio finance. bill?
Omondi anatumiwa kuhamasisha wajaluo wenzie kuandamana barabaraniHii Damu iwe juu ya Omondi yeye ndo kasababisha
Hata mji anaotoka wameandamana na je huko nako ni ukabila? Watu wanataka hakiCitizen ni TV ya wajaluo na waandamanaji wengi wajaluo
Ukabila Kenya utawamaliza
Wameweka historia.
Kwamba ingeongeza idadi kubwa kuliko idadi ya wananchi? Suala ni busara siyo nguvu...wananchi wakiamua ata ikulu wanaingia ata uongeze ndege vita na vifaru vingapiTukio hili laonyesha jinsi serikali ya Kenya ilivyoshindwa kulinda jengo la bunge jengo la kistratejia na shughuli za serikali nchini humo ukizingatia maandamano haya yamechukua siku 7.
Hivyo kulikuwa na muda wa kutosha kwa serikali kuchukua hatua za tahadhari na kuongeza ulinzi katika majengo ya serikali likiwemo hili jengo la Bunge.
Ni kweli. Lakini vijana wa bongo muda wote wanajadili ''kula tunda kimasihara''. Anyway, watu wa aina hii wanaweza kugeuka ghafla na kuwa wabaya sana na kuchóma kila kitu.Young generation ya wakenya ni wasomi na wanatambua kuwa hizi kodi kwa bidhaa mbalimbali kama mkate na sabuni zitaleta matatizo kwa wazazi wao ambao watawalazimisha vijana kutumia pesa nyingi kununua mahitaji hayo ya msingi.
Raisi Ruto apaswa kuangalia kizazi hiki cha sasa.
Senagal vijana nao wameamua kumchagua raisi kijana ili angalau wawe na same level ya uelewa wanapompelekea shida zao.
Afrika Kusini vijana wasomi wameamua kuigawa ANC bungeni ili kuongeza uwajibikaji na kupunguza vitendo vha kifisadi ambavyo chama hicho kimekumbatia.
Sasa young Generation ya Tanzania wapaswa kufikiri kuachana na Uchawa na kulamba viatu na kufikiri kuhusu "future" ya nchi yao na vizazi vyao.
Its about capacity thinking my friend.
Kwamba jeshi ingewafanya nini waandamanaji? Kwa utahira wako unadhani wanajeshi wamefundishwa mafunzo ya namna ya kuzuia waandamanaji zaidi ya polisi?
View: https://twitter.com/Sirjeff_D/status/1805583153773359575?t=9cXvC78w6ldNEMPULcVzIg&s=19
Kenya wazembe sana Wameshindwa kuingiza Jeshi kuweka vizuizi maeneo yote wanayopita hao waandamanaji?
Hawajifunzi Kwa Cyril Ramaphosa alivyowasafisha? Hao ni bangi,wanachoma Bunge ndio finance. bill?
Hapana, kwenye nchi ambazo watu wajitambua majengo hayo huwekwa uzio wa mbao na madirisha hukingwa, makaravati na nyenzo zingine ili angalau kupunguza watu kusogea ndani ya parameters za maeneo yote nyeti.Kwamba ingeongeza idadi kubwa kuliko idadi ya wananchi? Suala ni busara siyo nguvu...wananchi wakiamua ata ikulu wanaingia ata uongeze ndege vita na vifaru vingapi
Hakuna jeshi ,polisi wala kikaragosi yoyote anayeweza kuzuia watu wenye njaa kali na waliokata tamaa na wanahisi hawana cha kupoteza .Kenya hadi polisi wamegawanyika kikabila na polisi wengi Jaluo ndio maana hawataki kutumia nguvu kubwa kudhibiti Jaluo wenzao wanaandamana
How comes barabara zinafungwa na waandamanaji? Tanzania Jeshi letu hakuna ukabila wangetwangwa kuhakikisha wanaondoka barabarani kupisha shughuli za kiuchumi kwenye barabara ziendelee
Kenya na Jeshi lao hopeless kabisa watatumbukiza Kenya kwenye vita za wenyewe Kwa wenyewe muda si mrefu
Watanzania tuliwasaidia mlipotwangana na ukabila wenu na kuzalisha wakimbizi WA Ndani Kikwete akaja kuwasaidia mnataka kuingia part two ya vita za ukabila wenu wapumbavu nyie muanze tena kutusumbua watanzania tuwaletee msuluhishi
Shenzi type nyie