Waandamanaji Nairobi wavamia jengo la Bunge baada ya kuwashinda nguvu polisi, yasemwa waandamanaji 10 wameuawa kwa kupigwa risasi halisi

Waandamanaji Nairobi wavamia jengo la Bunge baada ya kuwashinda nguvu polisi, yasemwa waandamanaji 10 wameuawa kwa kupigwa risasi halisi

Kama wafanyabishara Tu washaanza kukipata cha moto hapa Tz kwa ongezeko la kodi na manyanyaso ya TRA , na wameanza kufanya migomo wewe subiri tu ,haihitaji Phd ya Aerospace engineering kujua kwamba scenario ya Kenya na Tanzania ni zile zile
 
Hapana, kwenye nchi ambazo watu wajitambua majengo hayo huwekwa uzio wa mbao na madirisha hukingwa, makaravati na nyenzo zingine ili angalau kupunguza watu kusogea ndani ya parameters za maeneo yote nyeti.

Hali ikirudi kuwa shwari madude hayo huondolewa.

Look, waandamanaji wana haki ya msingi ya kuandamana don't get me wrong lakini kuna ripoti kuwa kuna waandamanaji wengine wameamua kuvunja maduka na kuanza kupora mali.

Ukifanya hivyo waondoa haki yako ya kuandamana na unakuwa ni mhalifu na si muandamanaji.
Ukifika Ubalozi wa Marekani pale Misri unaweza kushangaa mitaro yenye upana wa mita 10+ iliyozunguza eneo lote huku maji hayo yakiwa na umeme, kabla baada ya hapo kuna fence ya umeme hatari...ukiingia kuna rotating automatic m/c gun inayokuwa controlled na allot of cameras. Lakini kipindi cha maandamano ya brotherhood unajua kilichotokea?

Wananchi siyo watu wa mchezo wakishaamua....unakumbuka ile Ikulu iliyofurushwa.
 
Wameingia bungeni na kushusha Bendera zote ya Taifa, ya Bunge, ya Africa mashariki nk

Wameingia Canteen ya Bunge na kuvunja kila Kitu

Wameingia Studio za Bunge na kuharibu kila Kitu

Wameingia Ukumbi wa Mapumziko na Vikao vya Kamati na kuharibu kila Kitu

Je, Bunge la Kenya halijanajisiwa? 🐼

Nairobi
Kwa mara nyingine, Polisi wameonesha unyonge wa Waandamanaji. Tusubiri siku wavamie Kambi ya Jeshi wachukue silaha.
 
Waa

Waamanaji wengi wajaluo

Kenya kumekucha ukabila utaiua Kenya
Wacha porojo.., hii maandamano ni ya wakenya wote, ikiongozwa na Generation Z., hawa hawana kiongozi, chama wala kabila, ndio maana imekuwa vigumu kwa serikali kuwadhibiti, wakati wa Raila polisi wangemzuia Raila na maandamano yanaisha nguvu.., hawa serikali haina wa kuzumgumza naye wala kuzuiya, ni Kenya yote..., wote wametoka tazama clips za Eldoret nyumbani kwa Ruto, kumewaka moto!!!!..., ujinga hatutaki nyie bakini na uwoga wenu haswa wewe mr. Porojo..,
 
View attachment 3025995

Waandamanaji 10 wanaripotiwa kuuawa na polisi baada ya kuvamia jengo la Bunge la nchi hiyo na kuwashinda nguvu polisi.

Hali kwa sasa ni shwari kidogo baada ya polisi kuongeza nguvu ya idadi katika eneo hilo. Idadi ya watu wapatao 5o wamejeruhiwa na huenda idadi hiyo ikaongezeka.

Sehemu moja ya jengo hilo la Bunge imeshika moto na moto huo bado waendelea.

Tukio hilo limetokea mara tu baada ya Bunge hilo kupitisha mswada wa sheria ya kodi inoongeza kodi katika bidhaa mbalimbali nchini huo.

Raisi Ruto amesema kuongeza kodi huko kutathibiti kukopa mikopo ambayo itaiathiri nchi hiyo kiuchumi.

Yadaiwa kuwa wabunge wengi walopitisha mswada huo wamepokea mlungula ili kurahisisha kupitishwa kwa muswaada huo ambao utaathiri wakenya wengi walo na kipato cha chini, wafanyabiashara na wachuuzi.

Kuna majeruhi wengi ambao wamejeruhiwa kwa risasi ambapo polisi waliamua kutumia nguvu na risasi halisi badala ya risasi za bandia au "rubber bullets".

Muswada huo uitwao Finance Bill 2024 umepitishwa leo asubuhi na wabunge kwa kura zipatazo 295 dhidi ya kura 106 huku kura tatu zikiharibika.

Chama cha Kwanza Alliance cha raisi Turo kina wabunge wengi Bungeni na uwingi wao umerahisisha kupitishwa kwa mswada huo.

Mswada uo hivi sasa upo mezani kwa raisi Ruto ukingojea atie saini kuwa sheria rasmi.
Hatari hii
 
Wameingia bungeni na kushusha Bendera zote ya Taifa, ya Bunge, ya Africa mashariki nk

Wameingia Canteen ya Bunge na kuvunja kila Kitu

Wameingia Studio za Bunge na kuharibu kila Kitu

Wameingia Ukumbi wa Mapumziko na Vikao vya Kamati na kuharibu kila Kitu

Je, Bunge la Kenya halijanajisiwa? 🐼

Nairobi
Wewe ndio umenajisiwa.
 
Kenya hadi polisi wamegawanyika kikabila na polisi wengi Jaluo ndio maana hawataki kutumia nguvu kubwa kudhibiti Jaluo wenzao wanaandamana

How comes barabara zinafungwa na waandamanaji? Tanzania Jeshi letu hakuna ukabila wangetwangwa kuhakikisha wanaondoka barabarani kupisha shughuli za kiuchumi kwenye barabara ziendelee

Kenya na Jeshi lao hopeless kabisa watatumbukiza Kenya kwenye vita za wenyewe Kwa wenyewe muda si mrefu

Watanzania tuliwasaidia mlipotwangana na ukabila wenu na kuzalisha wakimbizi WA Ndani Kikwete akaja kuwasaidia mnataka kuingia part two ya vita za ukabila wenu wapumbavu nyie muanze tena kutusumbua watanzania tuwaletee msuluhishi

Shenzi type nyie
Umesukumia na hisia za chuki na wivu kwa Kenya ndio maana umeandika uongo peupe.., uliza ujibiwe ama fanya utafiti mwafaka wacha kukurupuka
 
Kenya hadi polisi wamegawanyika kikabila na polisi wengi Jaluo ndio maana hawataki kutumia nguvu kubwa kudhibiti Jaluo wenzao wanaandamana

How comes barabara zinafungwa na waandamanaji? Tanzania Jeshi letu hakuna ukabila wangetwangwa kuhakikisha wanaondoka barabarani kupisha shughuli za kiuchumi kwenye barabara ziendelee

Kenya na Jeshi lao hopeless kabisa watatumbukiza Kenya kwenye vita za wenyewe Kwa wenyewe muda si mrefu

Watanzania tuliwasaidia mlipotwangana na ukabila wenu na kuzalisha wakimbizi WA Ndani Kikwete akaja kuwasaidia mnataka kuingia part two ya vita za ukabila wenu wapumbavu nyie muanze tena kutusumbua watanzania tuwaletee msuluhishi

Shenzi type nyie
Umesukumia na hisia za chuki na wivu kwa Kenya ndio maana umeandika uongo peupe.., uliza ujibiwe ama fanya utafiti mwafaka wacha kukurupuka
 
Kenya hadi polisi wamegawanyika kikabila na polisi wengi Jaluo ndio maana hawataki kutumia nguvu kubwa kudhibiti Jaluo wenzao wanaandamana

How comes barabara zinafungwa na waandamanaji? Tanzania Jeshi letu hakuna ukabila wangetwangwa kuhakikisha wanaondoka barabarani kupisha shughuli za kiuchumi kwenye barabara ziendelee

Kenya na Jeshi lao hopeless kabisa watatumbukiza Kenya kwenye vita za wenyewe Kwa wenyewe muda si mrefu

Watanzania tuliwasaidia mlipotwangana na ukabila wenu na kuzalisha wakimbizi WA Ndani Kikwete akaja kuwasaidia mnataka kuingia part two ya vita za ukabila wenu wapumbavu nyie muanze tena kutusumbua watanzania tuwaletee msuluhishi

Shenzi type nyie
Umesukumia na hisia za chuki na wivu kwa Kenya ndio maana umeandika uongo peupe.., uliza ujibiwe ama fanya utafiti mwafaka wacha kukurupuka
 
Umesukumia na hisia za chuki na wivu kwa Kenya ndio maana umeandika uongo peupe.., uliza ujibiwe ama fanya utafiti mwafaka wacha kukurupuka
Ujue Nina uhakika kitu naongea

Kenya unaibuka migogoro mkubwa WA kikabila
Tanzania tujiandae kupokea wakimbizi toka Kenya
 
Back
Top Bottom