Waandamanaji Nairobi wavamia jengo la Bunge baada ya kuwashinda nguvu polisi, yasemwa waandamanaji 10 wameuawa kwa kupigwa risasi halisi

Waandamanaji Nairobi wavamia jengo la Bunge baada ya kuwashinda nguvu polisi, yasemwa waandamanaji 10 wameuawa kwa kupigwa risasi halisi

Hila viongozi wa nchi za africa huwa solution ya matatizo ya kifedha huwa wanaona kupandisha gharama kwa wananchi badala ya kupunguza matumizi ya serikali ya sio ya lazima unakuta nchi ina hali ngumu kifedha lakini hyo hyo nchi imetoa order gari za dhamani kubwa kwa ajili ya viongozi wakati wangeweza kununua gari nzuri kwa bei ya chini
Mkuu, viongozi wa Afrika ni wabinafsi kama nyegele.
 
Tuletee video na picha.

Matomaso Tupigee Mstari.
Screenshot_20240625-161440~2.jpg
 
We know a lot about that failed state..that is always fighting for food from January to December.
Wasomi njaa 🤣🤣🤣🤣

You and who? speak individually and give instances of when Kenyans have fought for food in a full year. at times it's better to keep quiet and be thought a fool rather than speak and remove all doubt.

Msomi njaa
 
Back
Top Bottom