Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Taifa la kiyahudi kila siku zinavyokwenda linazidi kujipambanua rangi zake zilizokuwa zimejificha mwanzoni mwa vita kati yake na wapalestina.
Wako mawaziri ambao wameandamana na wafuasi wao wakaitaka waruhusiwe kufanya ibada ndani ya msikiti mtakatifu wa Aqsa jambo ambalo halikutajwa hapo mwanzoni.
Waliopindukia mipaka ni wale walioandamana hapo jana kutaka haki ya kufanya mambo ya kishoga na wafungwa wa kipalestina ambao wako kwenye magereza wanayoyasimamia.
Wiki iliyopita kundi la mashoga kama hao walitajwa kumlawiti mfungwa mmoja wa kipalestina jambo ambalo baada ya kutangazwa lilizua kulaaniwa sana kwa kitendo hicho ambacho ni haramu kwa waislamu.
Baada ya lawama hizo makundi kadhaa ya kiyahudi yamefanya maandamano yakitaka jambo hilo liruhusiwe kikawaida kila wanapotaka kulifanya.
Kuonesha kuwa jambo hilo ni la kawaida katika nchi hiyo dhalimu,miongoni mwa walioandamana ni raia wa kawaida,waandishi wa habari na wafanyakazi wa vituo vya televisheni.
Protesters, politicians and TV commentators in Israel are defending the right of soldiers to mistreat and even rape Palestinian prisoners in detention.
The show of support follows the gang rape of a male detainee by a group of Israeli reservists.
Watch our report:
Wako mawaziri ambao wameandamana na wafuasi wao wakaitaka waruhusiwe kufanya ibada ndani ya msikiti mtakatifu wa Aqsa jambo ambalo halikutajwa hapo mwanzoni.
Waliopindukia mipaka ni wale walioandamana hapo jana kutaka haki ya kufanya mambo ya kishoga na wafungwa wa kipalestina ambao wako kwenye magereza wanayoyasimamia.
Wiki iliyopita kundi la mashoga kama hao walitajwa kumlawiti mfungwa mmoja wa kipalestina jambo ambalo baada ya kutangazwa lilizua kulaaniwa sana kwa kitendo hicho ambacho ni haramu kwa waislamu.
Baada ya lawama hizo makundi kadhaa ya kiyahudi yamefanya maandamano yakitaka jambo hilo liruhusiwe kikawaida kila wanapotaka kulifanya.
Kuonesha kuwa jambo hilo ni la kawaida katika nchi hiyo dhalimu,miongoni mwa walioandamana ni raia wa kawaida,waandishi wa habari na wafanyakazi wa vituo vya televisheni.
WATCH: Israeli protesters rally for ‘the right to rape’ prisoners
Protesters, politicians and TV commentators in Israel are defending the right of soldiers to mistreat and even rape Palestinian prisoners in detention.
The show of support follows the gang rape of a male detainee by a group of Israeli reservists.
Watch our report: