OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Magufuli/JAMVI LA HABARI/MchangeView attachment 1644102
Kwa kweli hii ni aibu kubwa kama wasomi tunaabishwa sana. Nani mwandishi na mhariri wa gazeti hili?
Mhariri atakuwa HABIBU MCHANGE tu au CYPRIAN MUSIBA aka MAYAGI MULAGA.View attachment 1644102
Kwa kweli hii ni aibu kubwa kama wasomi tunaabishwa sana. Nani mwandishi na mhariri wa gazeti hili?
Magufuli/JAMVI LA HABARI/Mchange
huna hadhi ya kujibiwa na mimiAibu gani? Msafara ulikosa mkalimani kiswahili kwenda kiingereza nchi Zimbabwe! Inatosha hivyo hivyo asiyependa asinunue akachapishe lakwake asome na shangazi yake.
Mzee wa "WEDI BANK OF AFRICA".Anaweza kuwa mlaga
Sio gazeti la Musiba hili?View attachment 1644102
Kwa kweli hii ni aibu kubwa kama wasomi tunaabishwa sana. Nani mwandishi na mhariri wa gazeti hili?
To meet with stakeholder....stakeholders to reveals reasons....we are recognize national unity. Hii ni lugha gani wakuu. Naona ni lugha inayofanana na Kingereza lakini sio chenyewe
Kwa hiyo kwako ilikuwa sawa msafara wa Rais kushindwa kuwasiliana na mwenyeji wao ugenini mpaka ikabidi mwenyeji awe makalimani! Ukitaka kumchinja kuku anza kwenye shingo na siyo miguuni.huna hadhi ya kujibiwa na mimi
Asalalaaa!!! Oooh! hakuna ajira, wanaajiriwa Wakenya na Waganda. Duuuu!!! Tuna safari ndefu sana!!!View attachment 1644102
Kwa kweli hii ni aibu kubwa kama wasomi tunaabishwa sana. Nani mwandishi na mhariri wa gazeti hili?
To meet with stakeholder....stakeholders to reveals reasons....we are recognize national unity. Hii ni lugha gani wakuu. Naona ni lugha inayofanana na Kingereza lakini sio chenyewe
Mhariri Mkuu wa hayo Magazeti hujamjua tu Mkuu?View attachment 1644102
Kwa kweli hii ni aibu kubwa kama wasomi tunaabishwa sana. Nani mwandishi na mhariri wa gazeti hili?
To meet with stakeholder....stakeholders to reveals reasons....we are recognize national unity. Hii ni lugha gani wakuu. Naona ni lugha inayofanana na Kingereza lakini sio chenyewe
We are recognize!🤣🤣🤣