Waandishi wa Gazeti la Observer ni kina nani, wanaandika broken English

Aibu gani? Msafara ulikosa mkalimani kiswahili kwenda kiingereza nchi Zimbabwe! Inatosha hivyo hivyo asiyependa asinunue akachapishe lakwake asome na shangazi yake.
 
Sio gazeti la Musiba hili?
 
Asalalaaa!!! Oooh! hakuna ajira, wanaajiriwa Wakenya na Waganda. Duuuu!!! Tuna safari ndefu sana!!!
 
Mhariri Mkuu wa hayo Magazeti hujamjua tu Mkuu?

Ni Dr. Abbas Mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…