Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,836
- 6,303
Kuna baadhi ya matukio yamekuwa yakitendeka mikoani, ambayo taarifa zake hazitolewi kwa wakati au kutokutolewa kabisa.
Kuna tukio la kukatwa mapanga hadi kuuawa kwa mwalimu wa shule ya sekondari kata ya masaba, wolaya ya Butiama ila hadi leo hakuna taarifa iliyotolewa na vyombo vya habari kukemea ukatili huu!
Ingekuwa mwalimu ameua, amebaka au kufanya tukio lolote la kihalifu, bila shaka tungeshasikia kila mahali!
Waandishi wa habari mko wapi? Ukatili kwa baadhi ya walimu mkoa wa Mara umekuwa ukifanyika mara kwa mara! Matukio ni mengi lakini hayatolewi taarifa. Tusaidiane!
Kuna tukio la kukatwa mapanga hadi kuuawa kwa mwalimu wa shule ya sekondari kata ya masaba, wolaya ya Butiama ila hadi leo hakuna taarifa iliyotolewa na vyombo vya habari kukemea ukatili huu!
Ingekuwa mwalimu ameua, amebaka au kufanya tukio lolote la kihalifu, bila shaka tungeshasikia kila mahali!
Waandishi wa habari mko wapi? Ukatili kwa baadhi ya walimu mkoa wa Mara umekuwa ukifanyika mara kwa mara! Matukio ni mengi lakini hayatolewi taarifa. Tusaidiane!