Waandishi wa Habari mliokuwepo leo katika Press ya Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC mlishindwa kumuuliza Maswali Fikirishi haya?

Waandishi wa Habari mliokuwepo leo katika Press ya Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC mlishindwa kumuuliza Maswali Fikirishi haya?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
1. Je, TFF, Kamati yake ya nidhamu na Mchezaji Bernard Morisson ndiyo inawafanya akina Sarpong, Nchimbi na Feisal kukosa Magoli?

2. Je, TFF, Kamati yake ya nidhamu na Mchezaji Bernard Morisson ndiyo wanafanya Mabeki wao Moro na Mwamnyeto wakatike na Wagombane ndani na nje ya Uwanja?

3. Je, TFF, Kamati yake ya Nidhamu na Mchezaji Bernard Morisson ndiyo ilimtuma Mchezaji wao Deus Kaseke atake Kumpiga Mwamuzi Mbeya?

4. Je, Yanga SC walikuwa wanasubiri hadi watoke Sare hivi ndipo wailalamikie TFF, Kamati yake ya Nidhamu na Mchezaji Bernard Morisson? Walikuwa wapi Kuilaumu ( Kuishutumu ) pale walipokuwa wanashinda Mechi zao?

5. Je, TFF, Kamati yake ya Nidhamu na Mchezaji Bernard Morisson imeshaitangaza Simba SC kuwa ndiyo Mabingwa wa 2020 / 2021 VPL hadi waanze Kuweweseka mapema hivi?

6. Je, TFF, Kamati yake ya Nidhamu na Mchezaji Bernard Morisson ndiyo huwa inawafanya Yanga SC waamini sana katika Ushirikina wawapo Uwanjani na wasiposhinda Wachezaji wake akina Kaseke na Mukoko wawe wanakimbilia Kufukua Vitu katika Magoli ya Timu Pinzani?

7. Je, TFF, Kamati yake ya Nidhamu na Mchezaji Bernard Morisson ndiyo walimwambia Kocha Mkuu ya Yanga SC Cedric Kaze apangue Kikosi juzi na Kubadili Mfumo wa Timu ulioigharimu Yanga SC na Kufungwa Kizembe hadi kutoka Sare?

Waandishi wa Habari za Michezo nchini Tanzania sijui mpoje. Yaani ni Kichefuchefu tupu kuanzia mkiwa Redioni au Runingani au katika Magazeti na si ajabu Tasnia nzima inadharaulika kwa kuwa na Watu Goigoi na mnachokijua ni Ushabiki tu.

Badilikeni haraka kwani hamjachelewa.
 
Alieongea ni Makamu Mwenyekiti wa Yanga alieye yaongea yote ni kuhusu Yanga SC, ila wanaoteseka ni Simba[emoji28][emoji28]
 
Maswali yako yote ni ya kimbumbumbu tu! Eti umehusisha mpaka ushirikina! Kuna siku uliwahi kuwaona Yanga wakiingia na Mapaka uwanjani?
Asante na umemaliza kila Kitu Ndugu
Ulizuiliwa na nani kwenda kumuuliza hayo maswali wewe mwenyewe?
 
Cha ajabu kesho utopolo hawatakwenda uwanjani kuwapa sapoti timu yao ila mechi ya Simba na al haily watajaa kibao
 
Alieongea Ni Makamu Mwenyekiti wa Yanga alieye yaongea yote ni kuhusu Yanga SC, ila wanaoteseka ni Simba[emoji28][emoji28]
Simba wanateseka nn.unaongoza ligi na bado hujiamini.simba ndiyo waliwatuma kutoa hizo droo, au kucheza hovyo.

Pale yanga Kuna straika gani wa maana au kiungo.shukuruni hata kupata droo.

Uto km uto bado Ni litimu libovu tu. Na ndiyo hivyo mmeshapoteana.

Mliambiwa Simba atatawala soka la bongo mkabisha, hao GSM Ni matapeli tu hawana hela ya kununua wachezaji wa maana. Hao cjui fistula, mukoko, Sarpong Ni wachezaji average Sana.
 
Maswali yako yote ni ya kimbumbumbu tu! Eti umehusisha mpaka ushirikina! Kuna siku uliwahi kuwaona Yanga wakiingia na Mapaka uwanjani?

Ulizuiliwa na nani kwenda kumuuliza hayo maswali wewe mwenyewe?
Umesahau zile nduma mlizomimina kwenye gari lenu kule Zenji, na ile hirizi iliyosahauliwa golini kule Zenji? Au ulikuwa umelewa boha mghoshi?
 
1. Je, TFF, Kamati yake ya Nidhamu na Mchezaji Bernard Morisson ndiyo inawafanya akina Sarpong, Nchimbi na Feisal kukosa Magoli?

2. Je, TFF, Kamati yake ya Nidhamu na Mchezaji Bernard Morisson ndiyo wanafanya Mabeki wao Moro na Mwamnyeto wakatike na Wagombane ndani na nje ya Uwanja?

3. Je, TFF, Kamati yake ya Nidhamu na Mchezaji Bernard Morisson ndiyo ilimtuma Mchezaji wao Deus Kaseke atake Kumpiga Mwamuzi Mbeya?

4. Je, Yanga SC walikuwa wanasubiri hadi watoke Sare hivi ndipo wailalamikie TFF, Kamati yake ya Nidhamu na Mchezaji Bernard Morisson? Walikuwa wapi Kuilaumu ( Kuishutumu ) pale walipokuwa wanashinda Mechi zao?

5. Je, TFF, Kamati yake ya Nidhamu na Mchezaji Bernard Morisson imeshaitangaza Simba SC kuwa ndiyo Mabingwa wa 2020 / 2021 VPL hadi waanze Kuweweseka mapema hivi?

6. Je, TFF, Kamati yake ya Nidhamu na Mchezaji Bernard Morisson ndiyo huwa inawafanya Yanga SC waamini sana katika Ushirikina wawapo Uwanjani na wasiposhinda Wachezaji wake akina Kaseke na Mukoko wawe wanakimbilia Kufukua Vitu katika Magoli ya Timu Pinzani?

7. Je, TFF, Kamati yake ya Nidhamu na Mchezaji Bernard Morisson ndiyo walimwambia Kocha Mkuu ya Yanga SC Cedric Kaze apangue Kikosi juzi na Kubadili Mfumo wa Timu ulioigharimu Yanga SC na Kufungwa Kizembe hadi kutoka Sare?

Waandishi wa Habari za Michezo nchini Tanzania sijui mpoje. Yaani ni Kichefuchefu tupu kuanzia mkiwa Redioni au Runingani au katika Magazeti na si ajabu Tasnia nzima inadharaulika kwa kuwa na Watu Goigoi na mnachokijua ni Ushabiki tu.

Badilikeni haraka kwani hamjachelewa.
Yapo maswali mengi ambayi waandishi wetu walishindwa kabisa kumuuliza,mwakalebela mfano,kesi ya morisson kule cas inaendaje?,je unaweza kutuonesha risiti ya fedha mlizolipa cas?,je unaweza kutuonesha barua ya cas,iliyowapangia mtu wa kusikiliza shauri hilo?,kwanini calinyos hachezi?
 
1. Je, TFF, Kamati yake ya Nidhamu na Mchezaji Bernard Morisson ndiyo inawafanya akina Sarpong, Nchimbi na Feisal kukosa Magoli?

2. Je, TFF, Kamati yake ya Nidhamu na Mchezaji Bernard Morisson ndiyo wanafanya Mabeki wao Moro na Mwamnyeto wakatike na Wagombane ndani na nje ya Uwanja?

3. Je, TFF, Kamati yake ya Nidhamu na Mchezaji Bernard Morisson ndiyo ilimtuma Mchezaji wao Deus Kaseke atake Kumpiga Mwamuzi Mbeya?

4. Je, Yanga SC walikuwa wanasubiri hadi watoke Sare hivi ndipo wailalamikie TFF, Kamati yake ya Nidhamu na Mchezaji Bernard Morisson? Walikuwa wapi Kuilaumu ( Kuishutumu ) pale walipokuwa wanashinda Mechi zao?

5. Je, TFF, Kamati yake ya Nidhamu na Mchezaji Bernard Morisson imeshaitangaza Simba SC kuwa ndiyo Mabingwa wa 2020 / 2021 VPL hadi waanze Kuweweseka mapema hivi?

6. Je, TFF, Kamati yake ya Nidhamu na Mchezaji Bernard Morisson ndiyo huwa inawafanya Yanga SC waamini sana katika Ushirikina wawapo Uwanjani na wasiposhinda Wachezaji wake akina Kaseke na Mukoko wawe wanakimbilia Kufukua Vitu katika Magoli ya Timu Pinzani?

7. Je, TFF, Kamati yake ya Nidhamu na Mchezaji Bernard Morisson ndiyo walimwambia Kocha Mkuu ya Yanga SC Cedric Kaze apangue Kikosi juzi na Kubadili Mfumo wa Timu ulioigharimu Yanga SC na Kufungwa Kizembe hadi kutoka Sare?

Waandishi wa Habari za Michezo nchini Tanzania sijui mpoje. Yaani ni Kichefuchefu tupu kuanzia mkiwa Redioni au Runingani au katika Magazeti na si ajabu Tasnia nzima inadharaulika kwa kuwa na Watu Goigoi na mnachokijua ni Ushabiki tu.

Badilikeni haraka kwani hamjachelewa.
Simba mnateseka na nini akiongea Makamu M/kiti wa Yanga? Yani mna vihere here Kama Mwanamke wa Kizaramo
 
Unaongea na watu wasiojielewa.Sidhani kama watu wanaojielewa waliweza kuhudhuria hiyo press conference.
Kifupi kuna watu wasiojielewa ndio wamejaa kwenye tasnia ya habari za michezo.
Wewe unaye jielewa, ingia sasa ili uwe nguri.
Ukiwa nje makosa yote utaona ingia, hata hapo ulipo na wewe unaonekana hujielewi kwa wanaokuzunguka.
 
Back
Top Bottom