Waandishi Wa Habari Mmetia Aibu Kwenye Press Baada Ya Mchezo Wa Young Africans Na Mamelod Sundowns

Du kama kweli gamond alimshangaa hiyo mwandishi basi aibu sana
Alianzisha Kuwa Na Wasiwasi Ikabidi Gamond Amuulize Mwandishi Wa Habari Mbona Unauliza Swali Kama Shabiki Akamuongeza Swali Jingine Akasema Huyo Shalulile Amefanya Nini Uwanjani Zaidi Ya Mzize?
 
Unajua wengi wao wanaunda maswali yao kwa kiswahili halafu wanayatafsri kwa kiingereza neno kwa neno, na hivyo kupoteza maana yake ikiwa ni pamoja na kuvuruga grammar.
Waandae Templates Za Maswali Hakuna Kimya Katika Hizi Press Ni Kujiandaa Mapema Na Si Kukurupuka
 
Jibu la kibabe sana hili [emoji119][emoji28]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Sio waandishi wa habari tu sector zote... Mbona madaktari wanapasua wagonjwa vichwa baada ya miguu🙄🙄. Afu kiingereza sio lugha mama yetu. Hatuitaki asee.
Basi Hata Kama Lugha Si Yetu Ila Mpangilio Wa Swali Uwepo Ili Hata Kama Huko Mbele Wakalimani Wakiwepo Wasisumbuke.
 
Nadhani pia sheria ya uanzishwaji wa online media ziangaliwe upya, zimekuwa nyingi sana kiasi cha kwamba wana employ hata unqualified individuals, matokeo yake ndo yale sasa
 
Ndiyo aina ya waandishi wanaosema meli ya Kwenye Ziwa Victoria itasafiri Mpaka Burundi , Rwanda na Zambia .
Wameomba Radhi Kwa Matangazo Yale Na Wanasema Amechukuliwa Hatua Yule Mwandishi
 
Mimi nilikuwa nasikia aibu kila swali la hovyo likulizwa, mpaka ikabidi kubadili channel
Mkuu Usingebadili Channel Fatilia Vyema Ili Tukuze Tasnia Ya Habari Pale Wanapohitaji Maboresho
 
Wameomba Radhi Kwa Matangazo Yale Na Wanasema Amechukuliwa Hatua Yule Mwandishi
Tatizo la watangazaji wa bongo wanaongea sana bila kipimo au breki matokeo yake wanaharibu .
Wanafikiri kuongea sana ndiyo kujua kazi .
 
Kwa mfano ungekuwa wewe ndio mwandishi wa habari ungeuliza maswali gani. Tupe mfano wa maswali matano
Mambo Yote Yapo Mtandaoni Mkuu Mfano Hapa Nimefanya Haraka Haraka Kutafuta Mfano Wa Hayo Maswali.
What are some good interview questions to ask football players and coaches after a tough loss?

  1. What do you think went wrong tonight? This question is especially good to ask to the coach, because his answer can tell you a lot about him. If he blames it on a player or a situation, than you know that he is looking for excuses for the lost and that he isn't a good coach. A good coach understands that a soccer game is played by a team of the 12 players (11 on the field plus one or more coaches) for 90 minutes. Therefore, he knows that it isn't a situation that made them lose the game but an aspect of their game that needs to be improved. If he answers by saying we played the best we could but it wasn't enough, than you know that he doesn't think his team is the best. The best soccer coach would be able to think that his team is the best in the league, but that it will always need improvements because nothing is perfect in life.
  2. What are you going to do in order to not lose next game? This question can be aimed at a player or a coach. The best answer to this question would be to admit where their game went bad (i.e. Their communication) and tell a solid plan to improve on this aspect (i.e. We are going to do a communication exercise at our next practice).
 
Hapa Hawajifunzi Swali Kama Hilo La Hovyo Limewahi Kutokea Kwa Pitso Mosimane Kipindi Yupo Al Ahly Ila Yule Mwandishi Alikuwa Na Bias Ya Kwanini Pitso Anamuanzisha Louis Miquissone Na Kuwaacha Wachezaji Wengine Na Alikaripiwa Hivyo Hivyo Kama Alivyokaripiwa Jana.

Sasa Waandishi Wajifunze Kupitia Hayo
 
Kwani nini kimetokea mkuu? Kama wewe una uelewa mpana mbona umeshindwa kussema nini kimetokea na ni wapi wamekosea mkuu?
Mkuu soma kwenye bandiko lake ameelezea kwa muhtasari kilichotokea. Yote kwa yote Watanzania tujitahidi kusoma hasa vitabu vinavyohusu tasnia zetu. Elimu elimu elimu ni muhimu.
 
Pole sma mkuu Kuna waandishi wa habr ukiwasikilizaa nais kuhara aiasee
 
Mkuu una hoja ila usicapitalize kila neno next time.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…