Waandishi Wa Habari Mmetia Aibu Kwenye Press Baada Ya Mchezo Wa Young Africans Na Mamelod Sundowns

Waandishi Wa Habari Mmetia Aibu Kwenye Press Baada Ya Mchezo Wa Young Africans Na Mamelod Sundowns

Elimu ndio shida tutalaumiana sana ila kuwa na elimu duni Kuna waumiza sana watanzania Nina uhakika hata wewe kazi Yako japo sijui lakini unaifanya kwa kiwango Cha chini sana shida ni elimu na mazingira ya kazi
Tatizo sio elimu. Uhandishi hahuhutaji elimu kubwa. Uhandishi wa habari ni kipaji cha mtu. Hata huko ulaya hakuna mwandishi wa habari Profesa wala dkt. Mwandishi habari sawa na mchezaji mpira. Hakuna mchezaji mpira duniani ni profesa wala dkt
 
Mkuu soma kwenye bandiko lake ameelezea kwa muhtasari kilichotokea. Yote kwa yote Watanzania tujitahidi kusoma hasa vitabu vinavyohusu tasnia zetu. Elimu elimu elimu ni muhimu.
Na hii ndio Tiba elimu Elimu Elimu
 
Back
Top Bottom