Waandishi wa Habari muwe na akiba ya maneno, kufurahisha watawala kutawadhalilisha

Waandishi wa Habari muwe na akiba ya maneno, kufurahisha watawala kutawadhalilisha

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Sasa hili gazeti litaandika nini kesho ?

Nakala : Pascal Mayalla

Hii_Nchi_Imepitia_Wakati_Mgumu_Sana_%F0%9F%98%82%F0%9F%98%82%F0%9F%A4%A3%F0%9F%A4%A3%0AKutoka_...jpg
 
Nchi hii ngumu sana.


IMG_20220201_182852.jpg


Inawezekana kabisa watanzania waliotukanwa, kudhalilishwa, kusingiziwa, kubaghazwa na mengineyo mengi ndiyo wenye mapenzi ya dhati kwa taifa lao.

Ukweli unaweza kuchelewa tu, lakini ikifika muda wake, huibuka na kujisemea wenyewe.

Leo ni huyu dada lakini kuna siku tutajua faida ya LISSU katika Taifa hili. Ni muda tu.
 
Nchi hii ngumu sana.


View attachment 2104148

Inawezekana kabisa watanzania waliotukanwa, kudhalilishwa, kusingiziwa, kubaghazwa na mengineyo mengi ndiyo wenye mapenzi ya dhati kwa taifa lao.

Ukweli unaweza kuchelewa tu, lakini ikifika muda wake, huibuka na kujisemea wenyewe.

Leo ni huyu dada lakini kuna siku tutajua faida ya LISSU katika Taifa hili. Ni muda tu.
Hivi huyu mama mbona uraia wake vyanzo vingine vya habari vinasema ni Muingereza?
 
wivu huo!!!
punguzeni wivu mtapata magonjwa ya moyo buree.
aliyepewa kapewa........ tuache wivu.
 
Back
Top Bottom