Waandishi wa Habari muwe na akiba ya maneno, kufurahisha watawala kutawadhalilisha

Waandishi wa Habari muwe na akiba ya maneno, kufurahisha watawala kutawadhalilisha

wivu huo!!!
punguzeni wivu mtapata magonjwa ya moyo buree.
aliyepewa kapewa........ tuache wivu.
Leo Wivu tena...!!! Ndio maana wenzenu wanawapa watu mwenye akili sio Makamasi yako unayotoa.
 
Nchi hii ngumu sana.


View attachment 2104148

Inawezekana kabisa watanzania waliotukanwa, kudhalilishwa, kusingiziwa, kubaghazwa na mengineyo mengi ndiyo wenye mapenzi ya dhati kwa taifa lao.

Ukweli unaweza kuchelewa tu, lakini ikifika muda wake, huibuka na kujisemea wenyewe.

Leo ni huyu dada lakini kuna siku tutajua faida ya LISSU katika Taifa hili. Ni muda tu.

Huu Ujumbe kuhusu Lissu ufike pande zote

Maana kwa miaka ile enzi ya Jakaya kama kuna mwanaChadema ungemwambia eti ipo siku Dr Slaa atafanya kazi kwenye Serikali ya CCM basi angekupiga hata na mayai viza
 
...
Pic%20Layer_20221311838863.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi hii ngumu sana.


View attachment 2104148

Inawezekana kabisa watanzania waliotukanwa, kudhalilishwa, kusingiziwa, kubaghazwa na mengineyo mengi ndiyo wenye mapenzi ya dhati kwa taifa lao.

Ukweli unaweza kuchelewa tu, lakini ikifika muda wake, huibuka na kujisemea wenyewe.

Leo ni huyu dada lakini kuna siku tutajua faida ya LISSU katika Taifa hili. Ni muda tu.
Nchi yetu imekuwa ya abunuwas sana badala ya kufanya kazi tunafanya visa na mikasa Mungu atusaidie
 
Huu Ujumbe kuhusu Lissu ufike pande zote

Maana kwa miaka ile enzi ya Jakaya kama kuna mwanaChadema ungemwambia eti ipo siku Dr Slaa atafanya kazi kwenye Serikali ya CCM basi angekupiga hata na mayai viza
Kwani ndugu huyu dada si adui wa Taifa.? Kafikaje Ikulu.
 
Et nae anaamka asbh anawahi ikulu kwenda kusubiria mikeke na kuja live kutangaza ...kweli ccm kiboko wanaweza kukuaribu
 
Huu Ujumbe kuhusu Lissu ufike pande zote

Maana kwa miaka ile enzi ya Jakaya kama kuna mwanaChadema ungemwambia eti ipo siku Dr Slaa atafanya kazi kwenye Serikali ya CCM basi angekupiga hata na mayai viza
Umemaliza.. Slaaa dah basi tu
 
hii nchi sio ya kuhama, yaani kwamba wamepindua serikali nyingi duniani!!!
 
Back
Top Bottom