mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,588
- 11,668
Nae atakufa piaTayari ameshatiwa hatiani, alikuwa sahihi maana rais ndiye top speaker of every thing in country, umeona kwa ndugai?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nae atakufa piaTayari ameshatiwa hatiani, alikuwa sahihi maana rais ndiye top speaker of every thing in country, umeona kwa ndugai?.
Wakuu ni mapema sana kushangilia, kuna mdau aliweka uzi wa namna nchi inapokuwa kwenye kipindi cha tahadhari inapotokea rais aliyeko madarakani akafa. Kwa Tanzania kifo cha Dkt Magufuli kimeambatana na kundi fulani kufurahia tena wazi wazi, sasa huwezi jua wenye nchi wanaacha ili kila msaliti ajianike then wafanye yao na kuwaua wasaliti wote na nchi kurudi kwenye mstari. Kwa hiyo kipindi hiki ukipewq nafasi usishangilie unaweza jikuna upo kwenye 18 ya wenye nchi.Nchi hii ngumu sana.
View attachment 2104148
Inawezekana kabisa watanzania waliotukanwa, kudhalilishwa, kusingiziwa, kubaghazwa na mengineyo mengi ndiyo wenye mapenzi ya dhati kwa taifa lao.
Ukweli unaweza kuchelewa tu, lakini ikifika muda wake, huibuka na kujisemea wenyewe.
Leo ni huyu dada lakini kuna siku tutajua faida ya LISSU katika Taifa hili. Ni muda tu.
Wana Ccm na wana Cdm ni mtu na ndugu yake wote ni wachumia tumbo tu.Huu Ujumbe kuhusu Lissu ufike pande zote
Maana kwa miaka ile enzi ya Jakaya kama kuna mwanaChadema ungemwambia eti ipo siku Dr Slaa atafanya kazi kwenye Serikali ya CCM basi angekupiga hata na mayai viza
Nchi hii ngumu sana.
View attachment 2104148
Inawezekana kabisa watanzania waliotukanwa, kudhalilishwa, kusingiziwa, kubaghazwa na mengineyo mengi ndiyo wenye mapenzi ya dhati kwa taifa lao.
Ukweli unaweza kuchelewa tu, lakini ikifika muda wake, huibuka na kujisemea wenyewe.
Leo ni huyu dada lakini kuna siku tutajua faida ya LISSU katika Taifa hili. Ni muda tu.
Yalishapita hayo...hayana nguvu sasaNi kweli , soma kilichoandikwa
yenye nguvu ni yapi ?Yalishapita hayo...hayana nguvu sasa
Uhuruyenye nguvu ni yapi ?
Imepachikwa jina 'Developmental Journalism', I tried it once unfortunately it didnt work out..Nikaja kugundua 'Uchawa' ni 'Wito' Nikaamua kurudi nyumbani!
Huyo ni Chawa na snitch wa kila Rais wa kijani aliepo Madarakani,kumbuka ya Eric Kabendera.Mkuu mnieleweshe kidogo hapo kwenye Pascal Mayalla sijaelewa kwamba ndio alie andika
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida pia walio mzunguka Mama hawako makini. Tusipo amka na kupiga kelele Mama ana kuja kuwa hatari kuliko JPM. By the way mnajua asili yake.Haya yaliyoandikwa na hili gazeti pro-ccm waliwaaminisha Watanzania kwa nguvu kubwa hadi majukwaani.
Lakini jambo la ajabu leo Zuhra Yunus (Adui namba 4) anateuliwa kuwa Msemaji wa ofisi kuu zaidi yaani Ikulu.
Jee siku Bob Amsterdam akiteuliwa kuwa balozi wetu wa Utalii huko Ulaya tutashangaa?
CCM ni waongo na wasahaulifu hakuna mfano na tunapaswa kuwapuuza
View attachment 2104729
utajizeesha bure kwa ajili ya wivu, chuki na roho mbaya.Leo Wivu tena...!!! Ndio maana wenzenu wanawapa watu mwenye akili sio Makamasi yako unayotoa.
Hilo nimelisikiaDah, afuataye ni Mange kimambi kupewa ukatibu uenezi CCM.