Waandishi wa Habari na Kupotea/Vifo vya Kutatanisha, Toka Katabalo, Saanane, Gwanda, Mwangosi, Isango. Ni Ama Tuombe Mungu Atunusuru ama...

Uyo Pascal ameshakuwa pakacha anatumia utombo wa mavi kufikiria

Ameshindwa na maisha anawataka wanaume wenzake wamtunze
 
Pasco uache usiyumbe,nakuheshimu Sana,nilianza kukufuatilia toka enzi za kitimoto.Naogopa usijepatwa na ya akina Johnbosco Barayagwiza.
 
Duh...!. Mkuu Luther Tz, maneno makali sana haya!. Life is a struggle, survival is only for the fittest. We all struggle to survive, and not a desire to be an affluent, ningekuwa ni affluent seeker, ungeona kazi yangu ni kusifu tuu!. I'm not!.
We have to survive, na ili ku survive, one has to be fit. To be fit one has to be adaptive to the changing environments, zama zimebadilika, lazima na wewe ubadilike kuendana za mabadiliko, vinginevyo you will just perish like a thin air!.

P
 
Endelea kulea mimba hiyo wee mama..
Eti ukiwa fair..fair kwa nani? Kwa bwanako meko.
Jinga kabisa.
Usimtukane mtu kisa ametoa maoni yake. Mtoa maoni yupo sawa wakati mwingine waandishi wa habari huwa wanatumika vibaya. Kumbuka mauaji ya Rwanda yalichochewa kiasi kikubwa na waandishi wa habari tena kupitia radio.
 
P
 
Utawala huu usiruhusiwe kurudi madarakani ASILANI, hawa WATEKA NYARA ndio chanzo cha mkwamo wa KATIBA YA WANANCHI na utawala wa sheria kwa miaka dahali.
 
Mkuu Real Patriotist, hili ndio nimeliona leo, thanks for this na ushauri wako kuhusu kalamu, ila pia sometimes kalamu ukiichonga sana, inakuwa na ncha kali, hivyo inachoma, unaweza kuandika mambo makubwa, ukajikuta unawachoma wengine na sometimes hata kujihatarisha ukaishia kuchomwa wewe...

Waandishi wa Habari na Kupotea/Vifo vya Kutatanisha, Toka Katabalo, Saanane, Gwanda, Mwangosi, Isango. Ni Ama Tuombe Mungu Atunusuru ama...
p
 
Duh...!.
P
 
Naunga mkono hoja
P
 
Hii inaitwa point blank, na the jf spirit, where we dare talk openly. Nimeipokea hoja yako, maneno yako japo ni makali, lakini ndio ukweli wenyewe, na mtu unapoambiwa ukweli, hata kama ukweli huo utakuuma vipi, inakubidi, uupokee na uukubali. Hivyo nimepokea na nimekubali.

P.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…