Waandishi wa habari wa Tanzania, Hoja kuu ya Mkapa ilikuwa nini?

Waandishi wa habari wa Tanzania, Hoja kuu ya Mkapa ilikuwa nini?

Kasimba G

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2011
Posts
3,428
Reaction score
2,612
Wasalaam,

Kuna tatizo la kimsingi la waandishi wetu wa habari, huenda ni kwa utashi, au uoga au muono pofu.

Hoja ya Bwana Mkapa Jana imesulubishwa na kijihoja Cha kutakiwa kuuwawa kwa bwana mmoja! Nadhani waandishi walitakiwa ku -capitalize kwenye hoja za mleta hoja lakini wengi wao wameacha hoja za msingi wamehamia kwenye habari za sumu! Kwa mtazamo wangu mpewa sumu na hasira zake na %ya uvumilivu wake nahisi mtoasumu huenda angekuwa ameletewa kifaru kipite juu yake! Just a joke!

Waandishi wameacha hoja zilizoletwa kuhusu jinsi gani New CCM wanashindwa kujua kuwa kwasasa kuna vyama vya kushindana navyo kwa hoja, wanadhani kuna koroni sugu linalotakiwa kung'olewa kwa mtutu, kiasi cha kuingiza vyombo vya usalama kukilinda!

Waandishi wameshindwa hata kupembua hoja nono kama je kwanini wajeshi wakapewaa teuzi za kisiasa katika kipindi hiki cha mfumo wa vyama vingi ambapo mtangulizi wa Raisi aliyepo alishatutoa huko tayari, je hawana datakuwa kuna wanajeshi na mapolisi wamepewa teuzi za kisiasa kama uDC au uRC au nyingine zinazofungamana na hizo?

Wanaelewa maudhui ya Bwana Mkapa kama ilikuwa ni wakeup call, kuliamsha taifa kurekebisha mapungufu badala yake kwa ukichwa panzi!
 
Huyo Mkapa mwenyewe alishawahi kuwatukana waandishi wa habari wa Tanzania kuwa hawana waliwezalo wala walijualo.

Kwa miaka kumi aliyokaa Ikulu alikutana na wahariri wa vyombo vya habari kama mara mbili tu. Waandishi wa habari wa kawaida waliishia kumuona kwenye zile hotuba zake za kila mwezi.
 
Huyo Mkapa mwenyewe alishawahi kuwatukana waandishi wa habari wa Tanzania kuwa hawana waliwezalo wala walijualo.

Kwa miaka kumi aliyokaa Ikulu alikutana na wahariri wa vyombo vya habari kama mara mbili tu. Waandishi wa habari wa kawaida waliishia kumuona kwenye zile hotuba zake za kila mwezi.
Waandishi wa habari wengi ni Form IV failures. Hakuna Div 1 & 2 wanakwenda kusomea Uandishi wa habari.

Worse enough wale wasio na degree au diploma ndiyo wajanja sana kwenye hii sekta. Angalia kama waandishi na watangazaji wa Clouds au Global hakuna mwenye vyeti vinavyoeleweka.
 
Huyo Mkapa mwenyewe alishawahi kuwatukana waandishi wa habari wa Tanzania kuwa hawana waliwezalo wala walijualo.

Kwa miaka kumi aliyokaa Ikulu alikutana na wahariri wa vyombo vya habari kama mara mbili tu. Waandishi wa habari wa kawaida waliishia kumuona kwenye zile hotuba zake za kila mwezi.
We shouldn't be dwelling on the past! Nyerere pia pamoja ya kuwa wana nchi tuliaminishwa kuwa fikra zake ni sahihi mwishowe alikiri kuwa kama wanadamu walikosea kwingi tuu!
 
Duu hii ni bonge la point tuna waandishi vichwa panzi mpaka wanaboa, na msingi wa tatizo lao ni ukosefu wa elimu
Sidhani kama elimu ni tatizo mimi naona ni umbumbumbu
 
Hoja kubwa ilikuwa ndio hiyo, CCM kuacha kudhania kuwa bado wako katika mfumo wa chama kimoja, pia kuwa na dialogue muhimu kwa pamoja zenye tija katika taifa letu, anaendelea kusema kuwa Taifa litadumaa kama hatutakuwa na maoni mbalimbali na ya kajadiliwa kwa uwazi kuzingatia Hoja chanya au hasi, ndio maana akasema Nyerere alikuwa msikivu kwa watu wote hata kama unasema pumba, haya maoni ndio yalitakiwa yatawale katika headings zetu katika vyombo vyetu vya habari, kwa kweli chama tawala mna haja kubwa kujifunza kutoka kwa mkapa.
 
Hoja kubwa ilikuwa ndio hiyo, CCM kuacha kudhania kuwa bado wako katika mfumo wa vyama vingi, pia kuwa na dialogue muhimu kwa pamoja zenye tija katika taifa letu, anaendelea kusema kuwa Taifa litadumaa kama hatutakuwa na maoni mbalimbali na ya kajadiliwa kwa uwazi kuzingatia Hoja chanya au hasi, ndio maana akasema Nyerere alikuwa msikivu kwa watu wote hata kama unasema pumba, haya maoni ndio yalitakiwa yatawale katika headings zetu katika vyombo vyetu vya habari, kwa kweli chama tawala mna haja kubwa kujifunza kutoka kwa mkapa.
But waandishi wetu wakahamishiwa goal na wakahama wazima wazima! Huo huitwa ukanjanja!
 
Wasalaam,

Kuna tatizo la kimsingi la waandishi wetu wa habari, huenda ni kwa utashi, au uoga au muono pofu.

Hoja ya Bwana Mkapa Jana imesulubishwa na kijihoja Cha kutakiwa kuuwawa kwa bwana mmoja! Nadhani waandishi walitakiwa ku -capitalize kwenye hoja za mleta hoja lakini wengi wao wameacha hoja za msingi wamehamia kwenye habari za sumu! Kwa mtazamo wangu mpewa sumu na hasira zake na %ya uvumilivu wake nahisi mtoasumu huenda angekuwa ameletewa kifaru kipite juu yake! Just a joke!

Waandishi wameacha hoja zilizoletwa kuhusu jinsi gani New CCM wanashindwa kujua kuwa kwasasa kuna vyama vya kushindana navyo kwa hoja, wanadhani kuna koroni sugu linalotakiwa kung'olewa kwa mtutu, kiasi cha kuingiza vyombo vya usalama kukilinda!

Waandishi wameshindwa hata kupembua hoja nono kama je kwanini wajeshi wakapewaa teuzi za kisiasa katika kipindi hiki cha mfumo wa vyama vingi ambapo mtangulizi wa Raisi aliyepo alishatutoa huko tayari, je hawana datakuwa kuna wanajeshi na mapolisi wamepewa teuzi za kisiasa kama uDC au uRC au nyingine zinazofungamana na hizo?

Wanaelewa maudhui ya Bwana Mkapa kama ilikuwa ni wakeup call, kuliamsha taifa kurekebisha mapungufu badala yake kwa ukichwa panzi!
Unawazungumzia Waandishi wepi? Wakina Pascal Mayalla, Jackton Manyerere, Sam Mahela au wepi?
Hakuna watu wa Hovyo kama Waandishi wa Tanzania. Na Ndiyo maana sikilizi Taarifa za Habari za Tanzania wala magazeti Maana wanaandika kama Hata shule hawajaenda. Hawana Msaada kwa Jamii ya Tanzania.
Nilowapuuuza Kabisa na Kuwaona hopeless pale Waliposhindwa Kusimamia Msimamo wao kwa Kumgomea Nyamitako badala yake wao ndiyo wakaanza kujipendekeza. Waandishi wa Tanzania Makanjaja tu labda Mzee Ulingwe pekee.
 
Huyo Mkapa mwenyewe alishawahi kuwatukana waandishi wa habari wa Tanzania kuwa hawana waliwezalo wala walijualo.

Kwa miaka kumi aliyokaa Ikulu alikutana na wahariri wa vyombo vya habari kama mara mbili tu. Waandishi wa habari wa kawaida waliishia kumuona kwenye zile hotuba zake za kila mwezi.
Sawa Mkuu, ishu siyo Mkapa, ishu ni Hoja yake kwa CCM kuwa Watambue kuwa siyo Kipindi cha Chama kimoja. Maana ndilo linagusa Jamii yote. Suala la Sumu atajua Mwenyewe, huenda alikuwa na Anachukua Demu wa Mtu. Hapo hatujui Direct kama ni kwaajili ya Uwaziri Wake. Na bora ingekuwa hivyo Mkuu.
 
Wasalaam,

Kuna tatizo la kimsingi la waandishi wetu wa habari, huenda ni kwa utashi, au uoga au muono pofu.

Hoja ya Bwana Mkapa Jana imesulubishwa na kijihoja Cha kutakiwa kuuwawa kwa bwana mmoja! Nadhani waandishi walitakiwa ku -capitalize kwenye hoja za mleta hoja lakini wengi wao wameacha hoja za msingi wamehamia kwenye habari za sumu! Kwa mtazamo wangu mpewa sumu na hasira zake na %ya uvumilivu wake nahisi mtoasumu huenda angekuwa ameletewa kifaru kipite juu yake! Just a joke!

Waandishi wameacha hoja zilizoletwa kuhusu jinsi gani New CCM wanashindwa kujua kuwa kwasasa kuna vyama vya kushindana navyo kwa hoja, wanadhani kuna koroni sugu linalotakiwa kung'olewa kwa mtutu, kiasi cha kuingiza vyombo vya usalama kukilinda!

Waandishi wameshindwa hata kupembua hoja nono kama je kwanini wajeshi wakapewaa teuzi za kisiasa katika kipindi hiki cha mfumo wa vyama vingi ambapo mtangulizi wa Raisi aliyepo alishatutoa huko tayari, je hawana datakuwa kuna wanajeshi na mapolisi wamepewa teuzi za kisiasa kama uDC au uRC au nyingine zinazofungamana na hizo?

Wanaelewa maudhui ya Bwana Mkapa kama ilikuwa ni wakeup call, kuliamsha taifa kurekebisha mapungufu badala yake kwa ukichwa panzi!
Watanzania wengi wana tatizo la kutoweza ku focus kwenye hoja na dhana, na kutaka ku focus kwenye watu na matukio.

Kuna msemo kwamba, small minds discuss people, average minds discuss events, great minds discuss ideas. Sisi tunekomaa sana kwenye small minds na average minds.

Ndiyo maana Mwalimu Nyerere alivyoenda Kilimanjaro Hotel kujadili sifa za mgombea urais, waandishi wakaanza kuongelea watu, hususan Mrema, Nyerere akawaambia sijaja hapa kujadili mtu, nimekuja kujadili sifa za urais.

Ndiyo maana uzinduzi wa kitabu cha Mkapa badala ya kujikita kwenye uchambuzi wa dhana za msingi alizokulia na kuzeekea rais Mkapa, kama msuguano kati ya Azimio la Arusha alilokulia Mkapa na ubinafsishaji wa mashirika ya umma alioufanya uzeeni, uandishi umeenda kuongelea watu na matukio, habari za Magufuli kupewa sumu.
 
Back
Top Bottom