Kasimba G
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,428
- 2,612
Wasalaam,
Kuna tatizo la kimsingi la waandishi wetu wa habari, huenda ni kwa utashi, au uoga au muono pofu.
Hoja ya Bwana Mkapa Jana imesulubishwa na kijihoja Cha kutakiwa kuuwawa kwa bwana mmoja! Nadhani waandishi walitakiwa ku -capitalize kwenye hoja za mleta hoja lakini wengi wao wameacha hoja za msingi wamehamia kwenye habari za sumu! Kwa mtazamo wangu mpewa sumu na hasira zake na %ya uvumilivu wake nahisi mtoasumu huenda angekuwa ameletewa kifaru kipite juu yake! Just a joke!
Waandishi wameacha hoja zilizoletwa kuhusu jinsi gani New CCM wanashindwa kujua kuwa kwasasa kuna vyama vya kushindana navyo kwa hoja, wanadhani kuna koroni sugu linalotakiwa kung'olewa kwa mtutu, kiasi cha kuingiza vyombo vya usalama kukilinda!
Waandishi wameshindwa hata kupembua hoja nono kama je kwanini wajeshi wakapewaa teuzi za kisiasa katika kipindi hiki cha mfumo wa vyama vingi ambapo mtangulizi wa Raisi aliyepo alishatutoa huko tayari, je hawana datakuwa kuna wanajeshi na mapolisi wamepewa teuzi za kisiasa kama uDC au uRC au nyingine zinazofungamana na hizo?
Wanaelewa maudhui ya Bwana Mkapa kama ilikuwa ni wakeup call, kuliamsha taifa kurekebisha mapungufu badala yake kwa ukichwa panzi!
Kuna tatizo la kimsingi la waandishi wetu wa habari, huenda ni kwa utashi, au uoga au muono pofu.
Hoja ya Bwana Mkapa Jana imesulubishwa na kijihoja Cha kutakiwa kuuwawa kwa bwana mmoja! Nadhani waandishi walitakiwa ku -capitalize kwenye hoja za mleta hoja lakini wengi wao wameacha hoja za msingi wamehamia kwenye habari za sumu! Kwa mtazamo wangu mpewa sumu na hasira zake na %ya uvumilivu wake nahisi mtoasumu huenda angekuwa ameletewa kifaru kipite juu yake! Just a joke!
Waandishi wameacha hoja zilizoletwa kuhusu jinsi gani New CCM wanashindwa kujua kuwa kwasasa kuna vyama vya kushindana navyo kwa hoja, wanadhani kuna koroni sugu linalotakiwa kung'olewa kwa mtutu, kiasi cha kuingiza vyombo vya usalama kukilinda!
Waandishi wameshindwa hata kupembua hoja nono kama je kwanini wajeshi wakapewaa teuzi za kisiasa katika kipindi hiki cha mfumo wa vyama vingi ambapo mtangulizi wa Raisi aliyepo alishatutoa huko tayari, je hawana datakuwa kuna wanajeshi na mapolisi wamepewa teuzi za kisiasa kama uDC au uRC au nyingine zinazofungamana na hizo?
Wanaelewa maudhui ya Bwana Mkapa kama ilikuwa ni wakeup call, kuliamsha taifa kurekebisha mapungufu badala yake kwa ukichwa panzi!