Waandishi wa habari wa Tanzania, Hoja kuu ya Mkapa ilikuwa nini?

Waandishi wa habari wa Tanzania, Hoja kuu ya Mkapa ilikuwa nini?

Watanzania wengi wana tatizo la kutoweza ku focus kwenye hoja na dhana, na kutaka ku focus kwenye watu na natukio.

Kuna msemo kwamba, small minds discuss people, average minds discuss events, great minds discuss ideas. Sisi tunekomaa sana kwenye small minds na average minds.

Ndiyo maana Mwalimu Nyerere alivyiends Kilimanjaro Hotel kujadiki sifa za mgombea urais, waandishi wakaanza kuongelea watu, hususan Mrema, Nyerere akawaambia sijaja hapa kujadili mtu, ninekuja kujadiki sifa za urais.

Ndiyo maana uzinduzi wa kitabu cha Mkapa badala ya kujikita kwenye uchambuzi wa dhana za msingi alizokulia na kuzeekea rais Mkapa, kama msuguano kati ya Azimio la Arusha alilokulia Mkapa na ubinafsishaji wa mashirika ya umma alioufanya uzeeni, uandishi umeenda kuongelea watu na matukio, habari za Magufuli kupeea sumu.
That is it you nailed!!!
 
Waandishi wa habari Tanzania ni majanga tupu!Tanzania hatuna Investigative Journalists waliojazana huko ni makanjanja na wachumia tumbo na kazi yao ni kuandika udaku na umbeya a.k.a SHILAWADU!
Jaribu kupitia magazeti ya Kenya kama The Daily Nation,Sunday Nation au The Standard au Taifa Leo n.k. utaona utofauti wa content na weledi wa hali ya juu! Ukija kwene TV na radio programs za Tanzania utakuta madudu yale yale!
Angalia kunapokuwa na Press Conferences wakti wa kipindi cha maswali…!Utashangaa mijitu inauliza maswali kama watoto wa kindergatten…!!
Mkapa ni journalist hivo hotuba ya uzinduzi wa kitabu chake iltakiwa ichanganuliwe kiundani kwa kugusa madudu yote aliyoyafanya kama mauaji ya Wana CUF Januari 5, 2001 na kutengeneza wakimbizi kwa mara ya kwanza Tanzania since independence…!
Lakini pia kulikuwa na swala la EPA linaloshabihiana na ESCROW badala ya media kuandika issues kama hizo wote moto chini kazi ni kusifu na kuabdu sera za CCM ya Dr. Pombe……!
 
Nchi hii hakuna waandishi wa habari labda wachache sana hawazidi 10%
Waliobakia wote makanjanja.

Na ukitaka kuthibitisha hili subiri baaada ya press conference yoyote usikie maswali yao,ya hovyo hovyo.
 
Wasalaam,

Kuna tatizo la kimsingi la waandishi wetu wa habari, huenda ni kwa utashi, au uoga au muono pofu.

Hoja ya Bwana Mkapa Jana imesulubishwa na kijihoja Cha kutakiwa kuuwawa kwa bwana mmoja! Nadhani waandishi walitakiwa ku -capitalize kwenye hoja za mleta hoja lakini wengi wao wameacha hoja za msingi wamehamia kwenye habari za sumu! Kwa mtazamo wangu mpewa sumu na hasira zake na %ya uvumilivu wake nahisi mtoasumu huenda angekuwa ameletewa kifaru kipite juu yake! Just a joke!

Waandishi wameacha hoja zilizoletwa kuhusu jinsi gani New CCM wanashindwa kujua kuwa kwasasa kuna vyama vya kushindana navyo kwa hoja, wanadhani kuna koroni sugu linalotakiwa kung'olewa kwa mtutu, kiasi cha kuingiza vyombo vya usalama kukilinda!

Waandishi wameshindwa hata kupembua hoja nono kama je kwanini wajeshi wakapewaa teuzi za kisiasa katika kipindi hiki cha mfumo wa vyama vingi ambapo mtangulizi wa Raisi aliyepo alishatutoa huko tayari, je hawana datakuwa kuna wanajeshi na mapolisi wamepewa teuzi za kisiasa kama uDC au uRC au nyingine zinazofungamana na hizo?

Wanaelewa maudhui ya Bwana Mkapa kama ilikuwa ni wakeup call, kuliamsha taifa kurekebisha mapungufu badala yake kwa ukichwa panzi!
Sasa kama mwandishi nguli type ya pasco amehamia praise and worship team, Luna mwandishi mwingine mwenye akili aliyebaki
 
Wasalaam,

Kuna tatizo la kimsingi la waandishi wetu wa habari, huenda ni kwa utashi, au uoga au muono pofu.

Hoja ya Bwana Mkapa Jana imesulubishwa na kijihoja Cha kutakiwa kuuwawa kwa bwana mmoja! Nadhani waandishi walitakiwa ku -capitalize kwenye hoja za mleta hoja lakini wengi wao wameacha hoja za msingi wamehamia kwenye habari za sumu! Kwa mtazamo wangu mpewa sumu na hasira zake na %ya uvumilivu wake nahisi mtoasumu huenda angekuwa ameletewa kifaru kipite juu yake! Just a joke!

Waandishi wameacha hoja zilizoletwa kuhusu jinsi gani New CCM wanashindwa kujua kuwa kwasasa kuna vyama vya kushindana navyo kwa hoja, wanadhani kuna koroni sugu linalotakiwa kung'olewa kwa mtutu, kiasi cha kuingiza vyombo vya usalama kukilinda!

Waandishi wameshindwa hata kupembua hoja nono kama je kwanini wajeshi wakapewaa teuzi za kisiasa katika kipindi hiki cha mfumo wa vyama vingi ambapo mtangulizi wa Raisi aliyepo alishatutoa huko tayari, je hawana datakuwa kuna wanajeshi na mapolisi wamepewa teuzi za kisiasa kama uDC au uRC au nyingine zinazofungamana na hizo?

Wanaelewa maudhui ya Bwana Mkapa kama ilikuwa ni wakeup call, kuliamsha taifa kurekebisha mapungufu badala yake kwa ukichwa panzi!
Nimesoma mahali kumbe ametaka kuwe na tume huru ya uchaguzi, iwe ni kinafiki au kwa dhati hilo ni jambo muhimu, sijui kama ameongogelea katiba mpya,
Kumbe shetani akizeeka anakuwa malaika
 
Tatizo limeanzia kwenye kiwango cha elimu yao na vyuo walivyosomea
Wasalaam,

Kuna tatizo la kimsingi la waandishi wetu wa habari, huenda ni kwa utashi, au uoga au muono pofu.

Hoja ya Bwana Mkapa Jana imesulubishwa na kijihoja Cha kutakiwa kuuwawa kwa bwana mmoja! Nadhani waandishi walitakiwa ku -capitalize kwenye hoja za mleta hoja lakini wengi wao wameacha hoja za msingi wamehamia kwenye habari za sumu! Kwa mtazamo wangu mpewa sumu na hasira zake na %ya uvumilivu wake nahisi mtoasumu huenda angekuwa ameletewa kifaru kipite juu yake! Just a joke!

Waandishi wameacha hoja zilizoletwa kuhusu jinsi gani New CCM wanashindwa kujua kuwa kwasasa kuna vyama vya kushindana navyo kwa hoja, wanadhani kuna koroni sugu linalotakiwa kung'olewa kwa mtutu, kiasi cha kuingiza vyombo vya usalama kukilinda!

Waandishi wameshindwa hata kupembua hoja nono kama je kwanini wajeshi wakapewaa teuzi za kisiasa katika kipindi hiki cha mfumo wa vyama vingi ambapo mtangulizi wa Raisi aliyepo alishatutoa huko tayari, je hawana datakuwa kuna wanajeshi na mapolisi wamepewa teuzi za kisiasa kama uDC au uRC au nyingine zinazofungamana na hizo?

Wanaelewa maudhui ya Bwana Mkapa kama ilikuwa ni wakeup call, kuliamsha taifa kurekebisha mapungufu badala yake kwa ukichwa panzi!
 
Ni kweli wahandishi wengi ni vilaza sana, namkumbuka mwandishi moja tu rafiki yangu, tulisomanaye chuo fulani yeye akichukua fani ya habari marehemu Joseph Issango, alikuwa mahiri sana,
Mungu ampunzishe kwa Amani comred Issango.
 
Tanzania hakuna waandishi wa habari mahiri bali kuna makajanja rejea ile ya yule dada wa TBC walipo kuwa mahojiano na raisi wa Tanzania ikulu.
 
Mnawaonea waandishi wa habari kutoa stress zenu tu.
Hapa Tanzania ni kada ipi ambayo unaweza kusema watu wake wana weledi mkubwa katika majukumu yao?

1 Mbona wanafunzi wanasoma mpaka darasa la saba wanataka hawajui kusoma na kuandika ?

2 Mbona kuna madaktari wengi tu anaacha hadi mikasi kwenye matumbo ya watu na wengine wanatoa diagnosis wrong kwa wagonjwa?

3 Mbona maengineer wetu wanajenga majengo baada ya wiki mbili jengo zima linapasuka pasuka halafu wanatuambia kuwa ni expansion joints tu ?

4 Hebu angalia hayo maprofesa yanayoteuliwa wengi wao wanabahatisha bahatisha na kujikombakomba kwa wateuzi wao kiasi cha kusahau hata misingi ya taaluma zao ?

5 Ukiangalia hapa JF kundi kubwa wanajf hawajui kuandika tu je huko kwenye kada zao wanabungua bongo kweli ?

Tusiwaonee waandishi hapa nchini hakuna kada ambayo unaweza kusema hii iko vizuri, sababu kubwa elimu yetu yenyewe tia maji tia maji tu.
Wasalaam,

Kuna tatizo la kimsingi la waandishi wetu wa habari, huenda ni kwa utashi, au uoga au muono pofu.

Hoja ya Bwana Mkapa Jana imesulubishwa na kijihoja Cha kutakiwa kuuwawa kwa bwana mmoja! Nadhani waandishi walitakiwa ku -capitalize kwenye hoja za mleta hoja lakini wengi wao wameacha hoja za msingi wamehamia kwenye habari za sumu! Kwa mtazamo wangu mpewa sumu na hasira zake na %ya uvumilivu wake nahisi mtoasumu huenda angekuwa ameletewa kifaru kipite juu yake! Just a joke!

Waandishi wameacha hoja zilizoletwa kuhusu jinsi gani New CCM wanashindwa kujua kuwa kwasasa kuna vyama vya kushindana navyo kwa hoja, wanadhani kuna koroni sugu linalotakiwa kung'olewa kwa mtutu, kiasi cha kuingiza vyombo vya usalama kukilinda!

Waandishi wameshindwa hata kupembua hoja nono kama je kwanini wajeshi wakapewaa teuzi za kisiasa katika kipindi hiki cha mfumo wa vyama vingi ambapo mtangulizi wa Raisi aliyepo alishatutoa huko tayari, je hawana datakuwa kuna wanajeshi na mapolisi wamepewa teuzi za kisiasa kama uDC au uRC au nyingine zinazofungamana na hizo?

Wanaelewa maudhui ya Bwana Mkapa kama ilikuwa ni wakeup call, kuliamsha taifa kurekebisha mapungufu badala yake kwa ukichwa panzi!
 
Nimesoma mahali kumbe ametaka kuwe na tume huru ya uchaguzi, iwe ni kinafiki au kwa dhati hilo ni jambo muhimu, sijui kama ameongogelea katiba mpya,
Kumbe shetani akizeeka anakuwa malaika
Ametaka time guru na fairness kwenye kufanya Siasa, nadhani kajua na Kwa hizi mambo fulani!
 
Mnawaonea waandishi wa habari kutoa stress zenu tu.
Hapa Tanzania ni kada ipi ambayo unaweza kusema watu wake wana weledi mkubwa katika majukumu yao?

1 Mbona wanafunzi wanasoma mpaka darasa la saba wanataka hawajui kusoma na kuandika ?

2 Mbona kuna madaktari wengi tu anaacha hadi mikasi kwenye matumbo ya watu na wengine wanatoa diagnosis wrong kwa wagonjwa?

3 Mbona maengineer wetu wanajenga majengo baada ya wiki mbili jengo zima linapasuka pasuka halafu wanatuambia kuwa ni expansion joints tu ?

4 Hebu angalia hayo maprofesa yanayoteuliwa wengi wao wanabahatisha bahatisha na kujikombakomba kwa wateuzi wao kiasi cha kusahau hata misingi ya taaluma zao ?

5 Ukiangalia hapa JF kundi kubwa wanajf hawajui kuandika tu je huko kwenye kada zao wanabungua bongo kweli ?

Tusiwaonee waandishi hapa nchini hakuna kada ambayo unaweza kusema hii iko vizuri, sababu kubwa elimu yetu yenyewe tia maji tia maji tu.
Hujaelewa Hata maada, suala ni mtu kaitisha press inamaana ana hoja, sasa badala ya kudadisi hoja mahsusi wanarukia upuuzi!
 
Mnawaonea waandishi kwa kutaka kutoa stress zenu tu.hapa nchini hakuna kada ambayo ni competent wote Apeche alolo tu
Hujaelewa Hata maada, suala ni mtu kaitisha press inamaana ana hoja, sasa badala ya kudadisi hoja mahsusi wanarukia upuuzi!
 
Mnawaonea waandishi kwa kutaka kutoa stress zenu tu.hapa nchini hakuna kada ambayo ni competent wote Apeche alolo tu
Hiyo ni hoja ya siku nyingine ila kwa Leo tunawaongelea waandishi wanapo divert attention bila kujua!!
 
Ukitaka kufahamu uandishi wa habari wa Tanzania angalia pumba zilizoandikwa kwenye hii thread.

Wewe dau ndo mtaalamu wa kuandika PUMBA kwenye JF na hasa thread hii!Ww ni bonge la kanjanja kwa kweri!
 
Back
Top Bottom