Waandishi wa habari wa Tanzania, Hoja kuu ya Mkapa ilikuwa nini?


Inawezekana kweli makanjanja. Ila hoja yako ndo ya mtu kanjanja Originale. Unataja watu. Ambao una hisia nao hasi so kama waandishi watamtukana na kumgomea usiyempenda Basi ndo wanatoka ukanjanja. Basi Kasome Tanzania Daima. Lina wasomi huwatakao.
 
Inawezekana kweli makanjanja. Ila hoja yako ndo ya mtu kanjanja Originale. Unataja watu. Ambao una hisia nao hasi so kama waandishi watamtukana na kumgomea usiyempenda Basi ndo wanatoka ukanjanja. Basi Kasome Tanzania Daima. Lina wasomi huwatakao.
Hujaelewa hata nilichoandika ni vema ukakaa Kimya tu.
 
Hata wakati wa BWM kulikuwa na wanajeshi walihudumu katika utumishi wa umma/ siasa. Kwa mfano Col. Simbakalia, Brig Gen. Luhanga, Col.Tarimo wakiwa kam Ma-RCs.
 
Hata wakati wa BWM kulikuwa na wanajeshi walihudumu katika utumishi wa umma/ siasa. Kwa mfano Col. Simbakalia, Brig Gen. Luhanga, Col.Tarimo wakiwa kam Ma-RCs.
Hujasoma vizuri, ninani mtangulizi wa huyu? Nimeandika JK alijitahidi kutekebisha hilo, maana Kwa uRC au uDC unakuwa unafanya siasa as per CCM constitution maana unakuwa automatically Mjumbe wa kamati ya Siasa ya either mkoa au wilaya.

JK aliliona na akawatoa wote!
 
Wanabodi,
Leo ni siku ya kimataifa ya uhuru wa habari, kila mwaka sisi waandishi huwa tunakutana mahali kwa siku 2 na kujadili mambo mbalimbali kuhusu uhuru wa habari, na katika mkusanyiko huo, serikali, vyama vya habari na Taasisi za habari hutoa matamko kede kede kuhusu uhuru wa habari, lakini kwa mwaka huu, kufuatia janga la Corona, hakuna maadhimisho yoyote rasmi ya kukutana, ila nilitegemea wizara ya habari, vyama vya habari na mashirika na Taasisi za habari zitoe matamko mbalimbali.

Bado sijabahatika kuona tamko lolote!, ila usikute zile speech huwa zinaandaliwa kwa ajili ya presentations kwenye kongamano hotelini, safari na per diem!, leo hakuna safari, no trip, no per diem, no hotel gathering, hivyo this time hata speech tuu hakuna?!.

Nawatakia waandishi wenzangu, maadhimisho haya ya kimya kimya, nawashauri wale wafadhili mbalimbali wa tukio hili, kwa vile hatukusafiri, wala kula na kulala hotelini, then naomba hao wafadhili watutumie tuu hizo per diem, tutahama majumbani mwetu na kuhamia hotelini 3 days kisha tutatoa matamko.

Paskali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…