Kama hilo namba 4 alishawahi kulijibu vyema kwenye kipindi cha mkasi na salamaMbona maswali yenyewe mepesi kuliko hata ya yule dada wa ITV?? Lissu ndo ulitaka umuulize maswali ya kitoto hivyo?? [emoji23][emoji23][emoji23] Siku ukibahatika utajibiwa maswali yako vzr na utafundishwa na namna ya kuuuliza maswali ...lissu ni hbr nyingine ndg
Hongera kwa kupikwa,umepikika vizuriAkhsante Mkuu wangu na hii ndiyo faida Kubwa ya Kusoma tu Chuo Kikuu bora nchini cha SAUT Mwanza ambapo 'wanakupika' vyema tu Kichwani.
Cc: kantasundwa
Ndo maana nikasema ni maswali ya kitoto ... Lissu ni habari nyingine ..amuulize Pascal ...Kama hilo namba 4 alishawahi kulijibu vyema kwenye kipindi cha mkasi na salama
Lissu ni noma, nilitamani ahojiwe masaa matatu.
Mbona maswali yenyewe mepesi kuliko hata ya yule dada wa ITV?? Lissu ndo ulitaka umuulize maswali ya kitoto hivyo?? [emoji23][emoji23][emoji23] Siku ukibahatika utajibiwa maswali yako vzr na utafundishwa na namna ya kuuuliza maswali ...lissu ni hbr nyingine ndg
kujibu sentenso yako ya mwisho hapo juu, nikukumbushe kuwa hakuna TV interview ngumu (perhaps dunia nzima) kama ile ya BBC Hardtalk.Laiti ningepata nafasi kwa Mtu ambaye namvizia sana Kumpata na Kufanya nae 'Mahojiano' kwakuwa naikubali mno 'IQ' yake ningeanza na haya....
1. Ni Kitu gani cha Kimaendeleo unadhani Serikali ya CCM chini ya Rais Magufuli haijafanya na Yeye akishinda atakifanya?
2. Ni kwanini anahusisha Tukio lake moja kwa moja na Serikali na kamwe si Maadui zake wengine labda nje ya Siasa?
3. Je, ana Uadui wa Kisiasa tu au ana Chuki Binafsi dhidi ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli?
4. Je, CHADEMA ya sasa ni Taasisi au ni ASASI tu yenye Umiliki wa Kudumu kutokea Mkoani Kilimanjaro aliko Muasisi wake?
5. Je, akishinda Urais ataendelea kubakia na Msimamo wa Rais Magufuli na CCM yake Serikali ihamie Dodoma au atautengua upesi?
6. Je, Watanzania wanahitaji Mabadiliko ya Katiba au Misingi ya Kimaadili yenye Utashi mwingi wa Kiuwajibikaji na Kiutendaji?
7. Je, ni kweli kwamba hulka ya Wapinzani wa Tanzania hasa wa CHADEMA ni Kupinga tu kila Kitu na hakuna Jema CCM imelifanya?
Kuwahoji Wanasiasa ni kama vile kuwepo na Kozi ya 'Kijeshi' ambapo ikimalizika tu halafu ikaonekana kuwa hakuna hata Majeruhi Mmoja au hata Waliokufa iwe isiwe itarudiwa tu kwani inaonyesha Kozi ilikuwa ni Legelege ( Utopolo ) tupu hivyo hata katika Tasnia unatakiwa unapomaliza 'Kumhoji' Mwanasiasa basi muda wote Jasho liwe linamtoka na mkimaliza awe yuko Hoi.
Laiti kungekuwa na uwezo wa 'Media' Kukodi Watangazaji wanaojua Kuhoji kwa Kuchokoza, Kuudhi na Kukera basi kuna Chombo Kimoja ningekishauri 'Kimkodishe' Mtangazaji ambaye nadiriki kusema kuwa kwa Tanzania hana 'Mpinzani' Kimaswali Ndugu Aloyce Nyanda wa Star Tv kwani kwa 'IQ' yake ilivyo Kubwa kuna Mtu leo angepandwa na Hasira na hata Kuchukia na Kutukana.
Tena iwe kwa kimalkia, amin nakuapia kuna mtu ataangua kilio kama amepatwa na msiba!Sisi Chadema tunatuma Maombi Maalum kwa Mgombea Urais wa CCM Mzee Daktari bingwa wa kemia duniani Bwana Magufuli Kukubali Kuwa na MDAHALO na Mgombea Urais Wa Chadema Kamanda Tundu Lissu ili Kushindanisha SERA na Mitazamo Yao kwa Nchi Yetu Live kwenye TV na Redio Zote za Duniani na Wananchi Wote Watasikiliza!:
Aloyce nyanda ?? Ambaye maswali yake yanajibika kiulahisi hata na viongozi wetu wa mikoa? Nyanda ?? Acheni utani bhana ..nyanda na Burendu Nani ana maswali yameenda shule?? Au kwa kuwa mmesoma naye darasa moja?? Hakuna nchi hii mwandishi wa habari wa kumtoa lissu jasho kwa maswali hata kwa kimombo , hakuna hakuna hakunaNina uhakika 'angehojiwa' na Bingwa wangu wa Kuuliza Maswali Aloyce Nyanda wa Star Tv huyu Lissu wenu asingekaa hata Nusu Saa tu angesusa.
Maswali mengine kwa MTU kwenyeMTU kwenye IQ kubwa kama ulioonyesha kutaka kumhoji awezi kukujibu maana ni UTOPOLO TU Mfano swali lako LA Nne
Hakuna mwenye akili umjuae ww akauliza swali lissu ashindwe kujibu au kubabaika ...Wenye 'Akili' tu Kukuzidi hapa 'wameshanielewa' na 'kukubaliana' nami na ningeshangaa sana kama 'Juha Mwandamizi' Wewe usingejitokeza hapa.
Umenikumbusha Makonda alivyoomba kwenda kuongea na Steven Sucker wa Hard Talk kwa niaba ya MagufuliTena iwe kwa kimalkia, amin nakuapia kuna mtu ataangua kilio kama amepatwa na msiba!
Gentamycine, ukubali ukatae jamaa yuko vizuri upstair . Waweza kuwa unamchukia kwa sababu yupo Cdm , au.kwa sababu ni archrival wa Jpm . Lakini ukweli utabaki yuko vizuri .
Na ubovu huu unaouona kwa media zetu , ni kwa sababu serikali yetu inajaribu kufanya ma ki communist . Huko kwenye u communist hakuna uhuru wa kuhoji hivyo, bali kusifu na kutukuza. Na laiti Farhia angefunguka matangazo yangelikatwa kwa amri ya juu.
Angenyea, Tena makonda ndo Utupolo kweli kweli [emoji23][emoji23][emoji23]Umenikumbusha Makonda alivyoomba kwenda kuongea na Steven Sucker wa Hard Talk kwa niaba ya Magufuli
Hongera kwa kupikwa,umepikika vizuri
[emoji28][emoji23][emoji1787][emoji1787]Umenikumbusha Makonda alivyoomba kwenda kuongea na Steven Sucker wa Hard Talk kwa niaba ya Magufuli
Kwa unafki ulionao unastahili siku zote za maisha yako kuwa mwanaccm.Nipo CCM na nitaendelea kuwa CCM na kila Siku huwa nasema hapa hapa bila 'Aibu' kuwa Tundu Lissu ni 'Genius' nashangaa umechelewa kulijua.
Ndo maana nikasema ni maswali ya kitoto ... Lissu ni habari nyingine ..amuulize Pascal ...