Waandishi wa Habari wa Tanzania jifunzeni Kuuliza 'Critical Questions' Wanasiasa wa Tanzania na 'Mjiamini' pia

Waandishi wa Habari wa Tanzania jifunzeni Kuuliza 'Critical Questions' Wanasiasa wa Tanzania na 'Mjiamini' pia

Ur questions is an outdated and nonsense to him TL For instance quiz no four (4)

Basi kwa Taarifa yako tu hakuna Swali ambalo ni la muhimu na limekaa 'Kiuchokozi' ili aweze Kulijibu kwa Hoja za Kulipangua na Kuliondoa Masikioni mwa Watu wengi kama hilo.

Na ni Swali ambalo kama angelijibu vyema basi huenda kuanzia leo hii dhana ya kwamba CHADEMA ni chama cha Kaskazini Kilimanjaro ingefutika rasmi. Nitafute kwa muda nikupe japo 'Basic Course' tu ya Kufanya 'Interviews' zenye 'Akili' sawa?
 
Vijiswali vyako hapo juu vyote kauliza kasoro vitatu, kwanin ujione una IQ kubwa kuliko bidada wkt almost maswali yako yote kaauliza?

Una uhakika kuwa haya Maswali yangu hapa yameulizwa na huyo Dada? Kwahiyo unataka kusema kuwa hiyo 'Interview' ulitizama peke yako tu au?
 
Nipo CCM na nitaendelea kuwa CCM na kila Siku huwa nasema hapa hapa bila 'Aibu' kuwa Tundu Lissu ni 'Genius' nashangaa umechelewa kulijua.
Jana alipohoji juu ya "jeshi la akiba". Nilimuona kama mtu muangalifu na anayetaka sheria zifuatwe .
Ashinde si asishinde bado anabaki kuwa hazina ktk fani ya sheria
 
Una uhakika kuwa haya Maswali yangu hapa yameulizwa na huyo Dada? Kwahiyo unataka kusema kuwa hiyo 'Interview' ulitizama peke yako tu au?
Ni kwanini unautaka urais wa Tanzania? Majibu ya hilo swali unahisi yangetofautiana na swali lako la kwanza?
 
Aloyce nyanda ?? Ambaye maswali yake yanajibika kiulahisi hata na viongozi wetu wa mikoa? Nyanda ?? Acheni utani bhana ..nyanda na Burendu Nani ana maswali yameenda shule?? Au kwa kuwa mmesoma naye darasa moja?? Hakuna nchi hii mwandishi wa habari wa kumtoa lissu jasho kwa maswali hata kwa kimombo , hakuna hakuna hakuna

Hakuna Mtangazaji nchini Tanzania anayeitwa 'Burendu' kama ulivyoandika hapa Wewe bali yupo Mtangazaji na pia aliyewahi kuwa 'Tutor' wangu wa Somo la Radio Broadcasting Chuoni SAUT akiwa pia ndiyo Mkuu wa Radio SAUT aitwae Dotto Emanuel Bulendu.

Acha kuwa na 'Kiherehere' na kutaka Kujifanya unajua kwa kutaka 'Kushindana' na Mimi sawa? Kuna 'Uzi' mwingine leo hii hii nimetoka 'Kukuumbua' kuhusu Jina la Mtangazaji Farhia Middle na Wewe ukawa 'unanibishia' kwa kusema kuwa anaitwa Farhia Midle hadi baadae mwenyewe 'ulipokiri' kuwa ni kweli ulilikosea.

Uwezo wako wa 'Kupambana' na Mimi 'Kihoja' ni mdogo sana na ndiyo maana sijaanza 'Kukudharau' leo wala Jana 'Juha Mwandamizi' kabisa Wewe. Haya rekebisha upesi hilo Jina la Burendu ulilolikosea na andika Jina sahihi la Bulendu sawa? Na ufanye haraka!
 
Una uhakika kuwa haya Maswali yangu hapa yameulizwa na huyo Dada? Kwahiyo unataka kusema kuwa hiyo 'Interview' ulitizama peke yako tu au?
Swali lako la 7 kasikilize kuanzia dakika ya 11, kauliza chadema mmekuwa walalamikaji na wakosoaji tu? Kasikilize halafu uje unambie majibu ya lissu yangetotianaje na swali lako la 7?
 
Kwa unafki ulionao unastahili siku zote za maisha yako kuwa mwanaccm.


Hatujasahu kama uliwahi kuleta ule uzi ukisema huyo unayemuita GENIUS amedanja

Burendu ndiyo nani? Pumbavu kabisa Wewe hebu nitokee hapa na acha kutaka 'Kushindana' na Mimi huna 'IQ' hiyo na hutokuja kuwa nayo sawa?
 
Ni kwanini unautaka urais wa Tanzania? Majibu ya hilo swali unahisi yangetofautiana na swali lako la kwanza?

Kwani ni lazima Swali litakaloulizwa lifanane na Majibu yako ya 'dhania' na 'kukariri' uliyonayo Wewe Juha Mwandamizi? Ndiyo maana nawadharau.
 
Swali lako la 7 kasikilize kuanzia dakika ya 11, kauliza chadema mmekuwa walalamikaji na wakosoaji tu? Kasikilize halafu uje unambie majibu ya lissu yangetotianaje na swali lako la 7?

'Logically' tu na kama 'umeiva' vyema katika 'Critical Thinking' hilo Swali la huyo Dada na langu hilo yanafanana? Nikiwadharau mnakasirikia hapa.
 
Mmeshindwa kujaza uwanja wa Mkapa mtamuweza Lissu?Mikia FC
 
Wewe wenzako uwezo wao kuandaa pajama party.. We unataka wawe "True and genuine Advocates of the society"

#Wasome
#wachambue,
#wadadisi,
#waelewe,
#washauri,
#walaani,
#wakemee...

Wanaanza saa ngapi!?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Una uhakika kuwa haya Maswali yangu hapa yameulizwa na huyo Dada? Kwahiyo unataka kusema kuwa hiyo 'Interview' ulitizama peke yako tu au?
Swali lako la sita kasikilize kuanzia dakika 37, kaelezea vizuri suala la katiba na uwajibikaji, kasema kabisa hata Nyerere aliikosoa katiba na kuhofu juu ya kupata rais dikiteta uchwara ambaye wateule wake watashindwa kuwajibika kwa wananchi wala juu ya katiba, zaidi ya kuwajibika kwa mteuaji hata kama atalazimisha ufanyike ujinga!
 
Kwani ni lazima Swali litakaloulizwa lifanane na Majibu yako ya 'dhania' na 'kukariri' uliyonayo Wewe Juha Mwandamizi? Ndiyo maana nawadharau.
We ni mlemavu wa akili huna unachokifahamu kwa akili yako finyu hilo swali la kwanza na hayo mengine unaamini Lissu angepata tabu kuyajibu?
 
Wazungu mbona hawakatwi wanaongoza dunia pa kwenda..foolish idiot

Ninachojua tu ni kwamba hadi umerudi Kwangu 'Kihasira' hivi ni kwamba 'imeshapenya' hiyo. Na Ukome Siku zingine 'Kukurupukia' Kwangu sawa?
 
We ni mlemavu wa akili huna unachokifahamu kwa akili yako finyu hilo swali la kwanza na hayo mengine unaamini Lissu angepata tabu kuyajibu?

Sawa kabisa 'Juha Mwandamizi' wa JamiiForums.
 
Swali lako la sita kasikilize kuanzia dakika 37, kaelezea vizuri suala la katiba na uwajibikaji, kasema kabisa hata Nyerere aliikosoa katiba na kuhofu juu ya kupata rais dikiteta uchwara ambaye wateule wake watashindwa kuwajibika kwa wananchi wala juu ya katiba, zaidi ya kuwajibika kwa mteuaji hata kama atalazimisha ufanyike ujinga!

Huwa 'sielekezwi' Jambo na 'Juha Mwandamizi' kama Wewe tafadhali sawa?
 
Kweli kuna mambo mengi tunataka tuyajue kutoka kwa huyu jamaa..likiwemo la kuhamia dodoma, alipinga ujenzi wa barabara na madaraja, je akiingia atasitisha ujenzi?
Si mnawaambia wapiga kura kuwa atabomoa madaraja na barabara? Mnataka nini tena?
 
Basi kwa Taarifa yako tu hakuna Swali ambalo ni la muhimu na limekaa 'Kiuchokozi' ili aweze Kulijibu kwa Hoja za Kulipangua na Kuliondoa Masikioni mwa Watu wengi kama hilo.

Na ni Swali ambalo kama angelijibu vyema basi huenda kuanzia leo hii dhana ya kwamba CHADEMA ni chama cha Kaskazini Kilimanjaro ingefutika rasmi. Nitafute kwa muda nikupe japo 'Basic Course' tu ya Kufanya 'Interviews' zenye 'Akili' sawa?


Ur don't have logic Bosco Mseven from Uganda, there's a lot of questions which supposed to be answered by John pombe about 16 sixteen shotgun to Tl ,
 
Back
Top Bottom