Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
-
- #41
Allah Akbar au Takibiir hayo ni maneno tu kama Harmonize anavyovaa sare za jeshi lakini sio mjeda.Watu wanaenda kujilipua wakisema Allah Akbar au Takibiir bado unapandisha tu kanzu hapa jamvini
Una uhakika? Unajua maana ya hayo maneno na mazingira yanayotumika? Wanatumia wanapoenda kulipuaAllah Akbar au Takibiir hayo ni maneno tu kama Harmonize anavyovaa sare za jeshi lakini sio mjeda.
Hii ipo nje ya madaHuyu Imam sio fala
View attachment 1749676
Ukweli ni ukweli hata kama mchungu,akina Gwajima wakifanya madudu si huwa wanahusishwa na ukristo?Je tuwaite waisalm ni magaidi kwa kuwa Al Shabaab wanafanya ugaidi?
Huo ni mtazamo wako. Imam kajidhalilisha mwenyeweHuyo mwanahabari ndio amedhalilisha nafasi ya kiongozi wa dini, na sasa Imam wote wataanza kuonekana kama wezi wa nguruwe.
Acha porojo bwanaa,imam kaiba kaiba tuu ashitakiwe kwa kumuiba mnyama wa watu,.Je tuwaite waisalm ni magaidi kwa kuwa Al Shabaab wanafanya ugaidi?
Ukitaka kuijua dini isome dini yenyewe na usiwaangalie wafuasi wa dini.Habari zenu jamiiforums
Kwa wale msiomfahamu vema Infantry Soldier ni kwamba, mimi ni mkristo tena mkatoliki ila ninafahamu fika ya kuwa uislamu si ugaidi na si dini ya wizi na wala waislamu si magaidi na wala sio wezi bali wahalifu wachache hujificha katika kivuli cha uislamu ili kutenda uhalifu wao.
Dini ya uislamu ni dini safi sana tena ya watu waungwana kweli inayohubiri amani na upendo kama ilivyo dini ya kikristo. I love and respect all my muslim brothers and sisters out there.
View attachment 1749528
Tanzania ililazimika kupigana vita ya Kagera mwaka 1978 kwa lengo la kuikomboa ardhi yetu na kumtoa nduli Idd Amin Dada na genge la wahuni wenzie. Uamuzi wa kuivamia ardhi ya mkoa wa ziwa Magharibi (Kagera) haukuwa na ridhaa ya waganda hata kidogo bali ni maamuzi ya kipuuzi na kichokozi yaliyofanywa utawala wa kidhalimu wa dikteta Amini dada.
Kwanini uhalifu alioufanya Salum Yusuph wa kwenda kuiba nguruwe uhusishwe na nafasi ya ungozi wa kidini (Imam) ilhali kitendo hicho (wizi) sio muongozo sahihi wa dini ya kiislam? Je, hii ni sahihi? Je, haya ndio maadili ya taaluma ya uandishi wa habari?
View attachment 1749544
Je, mnafahamu kuwa vyombo vya habari visipotumika ipasavyo vinaweza kuleta vurugu za kidini au hata kikabila ndani ya jamii ya watanzania? Mmesahau yaliyotokea nchini Rwanda mwaka 1994? Leo hii mmesahau yaliyotokea nchini Kenya mwaka 2007? Ni njia zipi zilitumika katika kusambaza chuki kama sio vyombo vya habari?
Kulingana na Quran Tukufu, wizi umekatazwa katika Uislamu na ni dhambi kubwa sana. Inachukuliwa pia kuwa ni Haraam kulingana na maneno ya mtume Muhammad (SAW - peace be upon him). Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema amelaani wizi na ameamuru adhabu ya kisheria kupitia sheria ya Kiislam (Sharee’ah) kwa mwizi ni kukata mkono wa wake.
Mimi Infantry Soldier kabila langu ni mjaluo. Endapo itakuja siku moja kuonekana nimetoka msalani pasipo kunawa kabisa na kwenda moja kwa moja kwenye meza ya chakula kwa ajili ya kujiandaa na kula, Je itakuwa ni sahihi kusema kwamba, wajaluo wana tabia ya kula pasipo kunawa wakitoka msalani? Je, ni sahihi kutumia uovu wa mmtu mmoja katika kuhukumu wengine wa jamii yake?
View attachment 1749548
Ninatambua na kuheshimu mchango wa wanataaluma wa tasnia ya habari katika kujenga jamii yenye umoja na mshikamano, lakini katika hili la uchochezi wa kidini ni lazima tulikemee sote kwa pamoja.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Mkuu wewe ni kafiri?',Habari zenu jamiiforums
Kwa wale msiomfahamu vema Infantry Soldier ni kwamba, mimi ni mkristo tena mkatoliki ila ninafahamu fika ya kuwa uislamu si ugaidi na si dini ya wizi na wala waislamu si magaidi na wala sio wezi bali wahalifu wachache hujificha katika kivuli cha uislamu ili kutenda uhalifu wao.
Dini ya uislamu ni dini safi sana tena ya watu waungwana kweli inayohubiri amani na upendo kama ilivyo dini ya kikristo. I love and respect all my muslim brothers and sisters out there.
View attachment 1749528
Tanzania ililazimika kupigana vita ya Kagera mwaka 1978 kwa lengo la kuikomboa ardhi yetu na kumtoa nduli Idd Amin Dada na genge la wahuni wenzie. Uamuzi wa kuivamia ardhi ya mkoa wa ziwa Magharibi (Kagera) haukuwa na ridhaa ya waganda hata kidogo bali ni maamuzi ya kipuuzi na kichokozi yaliyofanywa utawala wa kidhalimu wa dikteta Amini dada.
Kwanini uhalifu alioufanya Salum Yusuph wa kwenda kuiba nguruwe uhusishwe na nafasi ya ungozi wa kidini (Imam) ilhali kitendo hicho (wizi) sio muongozo sahihi wa dini ya kiislam? Je, hii ni sahihi? Je, haya ndio maadili ya taaluma ya uandishi wa habari?
View attachment 1749544
Je, mnafahamu kuwa vyombo vya habari visipotumika ipasavyo vinaweza kuleta vurugu za kidini au hata kikabila ndani ya jamii ya watanzania? Mmesahau yaliyotokea nchini Rwanda mwaka 1994? Leo hii mmesahau yaliyotokea nchini Kenya mwaka 2007? Ni njia zipi zilitumika katika kusambaza chuki kama sio vyombo vya habari?
Kulingana na Quran Tukufu, wizi umekatazwa katika Uislamu na ni dhambi kubwa sana. Inachukuliwa pia kuwa ni Haraam kulingana na maneno ya mtume Muhammad (SAW - peace be upon him). Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema amelaani wizi na ameamuru adhabu ya kisheria kupitia sheria ya Kiislam (Sharee’ah) kwa mwizi ni kukata mkono wa wake.
Mimi Infantry Soldier kabila langu ni mjaluo. Endapo itakuja siku moja kuonekana nimetoka msalani pasipo kunawa kabisa na kwenda moja kwa moja kwenye meza ya chakula kwa ajili ya kujiandaa na kula, Je itakuwa ni sahihi kusema kwamba, wajaluo wana tabia ya kula pasipo kunawa wakitoka msalani? Je, ni sahihi kutumia uovu wa mmtu mmoja katika kuhukumu wengine wa jamii yake?
View attachment 1749548
Ninatambua na kuheshimu mchango wa wanataaluma wa tasnia ya habari katika kujenga jamii yenye umoja na mshikamano, lakini katika hili la uchochezi wa kidini ni lazima tulikemee sote kwa pamoja.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Huyo Imam alianza kula kitimoto zamani tu yeye na familia yake.Acha porojo bwanaa,imam kaiba kaiba tuu ashitakiwe kwa kumuiba mnyama wa watu,.
Jihad ni miongozo ya kishetani au ya kidini? Vita vya kuupigania uislam ili kupata thawabu kesho Akhera InshaAllahWanaua kwa chuki zao binafsi tu na miongozo ya kishetani...
Jina linaongeza attention tofauti na ikienda plain bila kutaja jina.- Salum Yusuph adaiwa kuiba nguruwe. Au;
- Mtu mmoja adaiwa kuiba nguruwe
Na ngurubhe/nguruve alivo mtamu vile Imam anaachaje kumuiba ...hata kama ni mimi naiba mkuuHuyo Imam alianza kula kitimoto zamani tu yeye na familia yake.
Kilikuwa!!!Hapo haijachafuliwa dini, bali aliyeongelewa ni Imam.
Sasa ww ulitaka waseme vipi ilhali huyo mwizi cheo chake kilikuwa ni icho?
Ndugu, una ajenda ya siri nyuma ya tukio hili!Mkuu, sipendi kuona dini za wengine zinadhalilishwa kisa kosa la mtu mmoja tu.
Umgeweza kufikisha ujumbe wako vizuri na ukaeleweka bila kujificha kwenye kichaka cha ukiristoHabari zenu jamiiforums
Kwa wale msiomfahamu vema Infantry Soldier ni kwamba, mimi ni mkristo tena mkatoliki ila ninafahamu fika ya kuwa uislamu si ugaidi na si dini ya wizi na wala waislamu si magaidi na wala sio wezi bali wahalifu wachache hujificha katika kivuli cha uislamu ili kutenda uhalifu wao.
Dini ya uislamu ni dini safi sana tena ya watu waungwana kweli inayohubiri amani na upendo kama ilivyo dini ya kikristo. I love and respect all my muslim brothers and sisters out there.
View attachment 1749528
Tanzania ililazimika kupigana vita ya Kagera mwaka 1978 kwa lengo la kuikomboa ardhi yetu na kumtoa nduli Idd Amin Dada na genge la wahuni wenzie. Uamuzi wa kuivamia ardhi ya mkoa wa ziwa Magharibi (Kagera) haukuwa na ridhaa ya waganda hata kidogo bali ni maamuzi ya kipuuzi na kichokozi yaliyofanywa utawala wa kidhalimu wa dikteta Amini dada.
Kwanini uhalifu alioufanya Salum Yusuph wa kwenda kuiba nguruwe uhusishwe na nafasi ya ungozi wa kidini (Imam) ilhali kitendo hicho (wizi) sio muongozo sahihi wa dini ya kiislam? Je, hii ni sahihi? Je, haya ndio maadili ya taaluma ya uandishi wa habari?
View attachment 1749544
Je, mnafahamu kuwa vyombo vya habari visipotumika ipasavyo vinaweza kuleta vurugu za kidini au hata kikabila ndani ya jamii ya watanzania? Mmesahau yaliyotokea nchini Rwanda mwaka 1994? Leo hii mmesahau yaliyotokea nchini Kenya mwaka 2007? Ni njia zipi zilitumika katika kusambaza chuki kama sio vyombo vya habari?
Kulingana na Quran Tukufu, wizi umekatazwa katika Uislamu na ni dhambi kubwa sana. Inachukuliwa pia kuwa ni Haraam kulingana na maneno ya mtume Muhammad (SAW - peace be upon him). Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema amelaani wizi na ameamuru adhabu ya kisheria kupitia sheria ya Kiislam (Sharee’ah) kwa mwizi ni kukata mkono wa wake.
Mimi Infantry Soldier kabila langu ni mjaluo. Endapo itakuja siku moja kuonekana nimetoka msalani pasipo kunawa kabisa na kwenda moja kwa moja kwenye meza ya chakula kwa ajili ya kujiandaa na kula, Je itakuwa ni sahihi kusema kwamba, wajaluo wana tabia ya kula pasipo kunawa wakitoka msalani? Je, ni sahihi kutumia uovu wa mmtu mmoja katika kuhukumu wengine wa jamii yake?
View attachment 1749548
Ninatambua na kuheshimu mchango wa wanataaluma wa tasnia ya habari katika kujenga jamii yenye umoja na mshikamano, lakini katika hili la uchochezi wa kidini ni lazima tulikemee sote kwa pamoja.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.