Waandishi wa habari waache kuidhalilisha dini safi ya Uislam. Aliyeiba nguruwe sio "Imam" kwa maana alichokifanya ni kinyume na miongozo ya dini yake

Waandishi wa habari waache kuidhalilisha dini safi ya Uislam. Aliyeiba nguruwe sio "Imam" kwa maana alichokifanya ni kinyume na miongozo ya dini yake

Status
Not open for further replies.
Watu wanaenda kujilipua wakisema Allah Akbar au Takibiir bado unapandisha tu kanzu hapa jamvini
Allah Akbar au Takibiir hayo ni maneno tu kama Harmonize anavyovaa sare za jeshi lakini sio mjeda.
 
Allah Akbar au Takibiir hayo ni maneno tu kama Harmonize anavyovaa sare za jeshi lakini sio mjeda.
Una uhakika? Unajua maana ya hayo maneno na mazingira yanayotumika? Wanatumia wanapoenda kulipua

Then ukisikia wanaita JIHAD ujue ni vita vya kidini, wanaupigania uislam yakhee

Sheikh Said wa Morocco yeye ana ranch ya nguruwe kabisa.

View attachment 1749677
 
Huyu Imam sio fala
Screenshot_20210411-233800~2.jpg
 
Sema mkuu umekuza sana hii kitu tofauti na mwandishi alivyokusudia. Hapo haijatajwa dini yoyote bali ni jina la mwizi na cheo chake.

Hivi mfano mwandishi akiandika "Mwalimu ampa mimba mwanafunzi" hapo anakuwa amedhalilisha taaluma yote ya ualimu?

Kikubwa zaidi niseme huyo Imam ndio apewe lawama kwakuwa alichokifanya sio sawa na mafundisho ya dini yake. Yeye ndio ameudhalilisha Uislam na sio mwandishi.
 
Habari zenu jamiiforums

Kwa wale msiomfahamu vema Infantry Soldier ni kwamba, mimi ni mkristo tena mkatoliki ila ninafahamu fika ya kuwa uislamu si ugaidi na si dini ya wizi na wala waislamu si magaidi na wala sio wezi bali wahalifu wachache hujificha katika kivuli cha uislamu ili kutenda uhalifu wao.

Dini ya uislamu ni dini safi sana tena ya watu waungwana kweli inayohubiri amani na upendo kama ilivyo dini ya kikristo. I love and respect all my muslim brothers and sisters out there.

View attachment 1749528

Tanzania ililazimika kupigana vita ya Kagera mwaka 1978 kwa lengo la kuikomboa ardhi yetu na kumtoa nduli Idd Amin Dada na genge la wahuni wenzie. Uamuzi wa kuivamia ardhi ya mkoa wa ziwa Magharibi (Kagera) haukuwa na ridhaa ya waganda hata kidogo bali ni maamuzi ya kipuuzi na kichokozi yaliyofanywa utawala wa kidhalimu wa dikteta Amini dada.

Kwanini uhalifu alioufanya Salum Yusuph wa kwenda kuiba nguruwe uhusishwe na nafasi ya ungozi wa kidini (Imam) ilhali kitendo hicho (wizi) sio muongozo sahihi wa dini ya kiislam? Je, hii ni sahihi? Je, haya ndio maadili ya taaluma ya uandishi wa habari?

View attachment 1749544

Je, mnafahamu kuwa vyombo vya habari visipotumika ipasavyo vinaweza kuleta vurugu za kidini au hata kikabila ndani ya jamii ya watanzania? Mmesahau yaliyotokea nchini Rwanda mwaka 1994? Leo hii mmesahau yaliyotokea nchini Kenya mwaka 2007? Ni njia zipi zilitumika katika kusambaza chuki kama sio vyombo vya habari?

Kulingana na Quran Tukufu, wizi umekatazwa katika Uislamu na ni dhambi kubwa sana. Inachukuliwa pia kuwa ni Haraam kulingana na maneno ya mtume Muhammad (SAW - peace be upon him). Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema amelaani wizi na ameamuru adhabu ya kisheria kupitia sheria ya Kiislam (Sharee’ah) kwa mwizi ni kukata mkono wa wake.

Mimi Infantry Soldier kabila langu ni mjaluo. Endapo itakuja siku moja kuonekana nimetoka msalani pasipo kunawa kabisa na kwenda moja kwa moja kwenye meza ya chakula kwa ajili ya kujiandaa na kula, Je itakuwa ni sahihi kusema kwamba, wajaluo wana tabia ya kula pasipo kunawa wakitoka msalani? Je, ni sahihi kutumia uovu wa mmtu mmoja katika kuhukumu wengine wa jamii yake?

View attachment 1749548

Ninatambua na kuheshimu mchango wa wanataaluma wa tasnia ya habari katika kujenga jamii yenye umoja na mshikamano, lakini katika hili la uchochezi wa kidini ni lazima tulikemee sote kwa pamoja.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Ukitaka kuijua dini isome dini yenyewe na usiwaangalie wafuasi wa dini.
 

Attachments

  • VID-20210411-WA0082.mp4
    5.2 MB
Habari zenu jamiiforums

Kwa wale msiomfahamu vema Infantry Soldier ni kwamba, mimi ni mkristo tena mkatoliki ila ninafahamu fika ya kuwa uislamu si ugaidi na si dini ya wizi na wala waislamu si magaidi na wala sio wezi bali wahalifu wachache hujificha katika kivuli cha uislamu ili kutenda uhalifu wao.

Dini ya uislamu ni dini safi sana tena ya watu waungwana kweli inayohubiri amani na upendo kama ilivyo dini ya kikristo. I love and respect all my muslim brothers and sisters out there.

View attachment 1749528

Tanzania ililazimika kupigana vita ya Kagera mwaka 1978 kwa lengo la kuikomboa ardhi yetu na kumtoa nduli Idd Amin Dada na genge la wahuni wenzie. Uamuzi wa kuivamia ardhi ya mkoa wa ziwa Magharibi (Kagera) haukuwa na ridhaa ya waganda hata kidogo bali ni maamuzi ya kipuuzi na kichokozi yaliyofanywa utawala wa kidhalimu wa dikteta Amini dada.

Kwanini uhalifu alioufanya Salum Yusuph wa kwenda kuiba nguruwe uhusishwe na nafasi ya ungozi wa kidini (Imam) ilhali kitendo hicho (wizi) sio muongozo sahihi wa dini ya kiislam? Je, hii ni sahihi? Je, haya ndio maadili ya taaluma ya uandishi wa habari?

View attachment 1749544

Je, mnafahamu kuwa vyombo vya habari visipotumika ipasavyo vinaweza kuleta vurugu za kidini au hata kikabila ndani ya jamii ya watanzania? Mmesahau yaliyotokea nchini Rwanda mwaka 1994? Leo hii mmesahau yaliyotokea nchini Kenya mwaka 2007? Ni njia zipi zilitumika katika kusambaza chuki kama sio vyombo vya habari?

Kulingana na Quran Tukufu, wizi umekatazwa katika Uislamu na ni dhambi kubwa sana. Inachukuliwa pia kuwa ni Haraam kulingana na maneno ya mtume Muhammad (SAW - peace be upon him). Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema amelaani wizi na ameamuru adhabu ya kisheria kupitia sheria ya Kiislam (Sharee’ah) kwa mwizi ni kukata mkono wa wake.

Mimi Infantry Soldier kabila langu ni mjaluo. Endapo itakuja siku moja kuonekana nimetoka msalani pasipo kunawa kabisa na kwenda moja kwa moja kwenye meza ya chakula kwa ajili ya kujiandaa na kula, Je itakuwa ni sahihi kusema kwamba, wajaluo wana tabia ya kula pasipo kunawa wakitoka msalani? Je, ni sahihi kutumia uovu wa mmtu mmoja katika kuhukumu wengine wa jamii yake?

View attachment 1749548

Ninatambua na kuheshimu mchango wa wanataaluma wa tasnia ya habari katika kujenga jamii yenye umoja na mshikamano, lakini katika hili la uchochezi wa kidini ni lazima tulikemee sote kwa pamoja.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Mkuu wewe ni kafiri?',
 
Wanaua kwa chuki zao binafsi tu na miongozo ya kishetani...
Jihad ni miongozo ya kishetani au ya kidini? Vita vya kuupigania uislam ili kupata thawabu kesho Akhera InshaAllah

Ua Makafir Ili upate thawabu yako peponi sheikh
 
Mkuu, sipendi kuona dini za wengine zinadhalilishwa kisa kosa la mtu mmoja tu.
Ndugu, una ajenda ya siri nyuma ya tukio hili!
Kwanini ulete tukio hili hapa Jukwaani?
Kwamba una huruma sana?
Kwanini uweke pia attachment ya hicho kipande cha gazeti ili tuone, why?
Umeulizwa hapo juu kuwa "wewe ni Kafiri?" Sijaona kama umejibu!
Wacha unafiki ndugu.

Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu jamiiforums

Kwa wale msiomfahamu vema Infantry Soldier ni kwamba, mimi ni mkristo tena mkatoliki ila ninafahamu fika ya kuwa uislamu si ugaidi na si dini ya wizi na wala waislamu si magaidi na wala sio wezi bali wahalifu wachache hujificha katika kivuli cha uislamu ili kutenda uhalifu wao.

Dini ya uislamu ni dini safi sana tena ya watu waungwana kweli inayohubiri amani na upendo kama ilivyo dini ya kikristo. I love and respect all my muslim brothers and sisters out there.

View attachment 1749528

Tanzania ililazimika kupigana vita ya Kagera mwaka 1978 kwa lengo la kuikomboa ardhi yetu na kumtoa nduli Idd Amin Dada na genge la wahuni wenzie. Uamuzi wa kuivamia ardhi ya mkoa wa ziwa Magharibi (Kagera) haukuwa na ridhaa ya waganda hata kidogo bali ni maamuzi ya kipuuzi na kichokozi yaliyofanywa utawala wa kidhalimu wa dikteta Amini dada.

Kwanini uhalifu alioufanya Salum Yusuph wa kwenda kuiba nguruwe uhusishwe na nafasi ya ungozi wa kidini (Imam) ilhali kitendo hicho (wizi) sio muongozo sahihi wa dini ya kiislam? Je, hii ni sahihi? Je, haya ndio maadili ya taaluma ya uandishi wa habari?

View attachment 1749544

Je, mnafahamu kuwa vyombo vya habari visipotumika ipasavyo vinaweza kuleta vurugu za kidini au hata kikabila ndani ya jamii ya watanzania? Mmesahau yaliyotokea nchini Rwanda mwaka 1994? Leo hii mmesahau yaliyotokea nchini Kenya mwaka 2007? Ni njia zipi zilitumika katika kusambaza chuki kama sio vyombo vya habari?

Kulingana na Quran Tukufu, wizi umekatazwa katika Uislamu na ni dhambi kubwa sana. Inachukuliwa pia kuwa ni Haraam kulingana na maneno ya mtume Muhammad (SAW - peace be upon him). Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema amelaani wizi na ameamuru adhabu ya kisheria kupitia sheria ya Kiislam (Sharee’ah) kwa mwizi ni kukata mkono wa wake.

Mimi Infantry Soldier kabila langu ni mjaluo. Endapo itakuja siku moja kuonekana nimetoka msalani pasipo kunawa kabisa na kwenda moja kwa moja kwenye meza ya chakula kwa ajili ya kujiandaa na kula, Je itakuwa ni sahihi kusema kwamba, wajaluo wana tabia ya kula pasipo kunawa wakitoka msalani? Je, ni sahihi kutumia uovu wa mmtu mmoja katika kuhukumu wengine wa jamii yake?

View attachment 1749548

Ninatambua na kuheshimu mchango wa wanataaluma wa tasnia ya habari katika kujenga jamii yenye umoja na mshikamano, lakini katika hili la uchochezi wa kidini ni lazima tulikemee sote kwa pamoja.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Umgeweza kufikisha ujumbe wako vizuri na ukaeleweka bila kujificha kwenye kichaka cha ukiristo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom