Waandishi wa habari waache kuidhalilisha dini safi ya Uislam. Aliyeiba nguruwe sio "Imam" kwa maana alichokifanya ni kinyume na miongozo ya dini yake

Waandishi wa habari waache kuidhalilisha dini safi ya Uislam. Aliyeiba nguruwe sio "Imam" kwa maana alichokifanya ni kinyume na miongozo ya dini yake

Status
Not open for further replies.
abari zenu jamiiforums

Kwa wale msiomfahamu vema Infantry Soldier ni kwamba, mimi ni mkristo tena mkatoliki ila ninafahamu fika ya kuwa uislamu si ugaidi na si dini ya wizi na wala waislamu si magaidi na wala sio wezi bali wahalifu wachache hujificha katika kivuli cha uislamu ili kutenda uhalifu wao.

Dini ya uislamu ni dini safi sana tena ya watu waungwana kweli inayohubiri amani na upendo kama ilivyo dini ya kikristo. I love and respect all my muslim brothers and sisters out there.
Nadhani mleta taarifa hajakosea,cha kujiridhisha ni je hizi habari ni za kweli?
Viongozi wa dini si mapadre au wachungaji nyuzi zao zimerepotiwa humu mara nyingi na zinachukuliwa kama taarifa na kuanza kutafuta ukweli.
Pamoja na kuwa viongozi wa dini lakini nao ni binadamu na wala si miungu hivyo anayeleta taarifa iwe ya waislam au ya wakristo ichukuliwe kuwa ni taarifa cha msingi iwe na ukweli.Hakuna dini inayowatuma waumini wake kufanya uhalifa,ila tumeshuhudia wakifanya hivyo.
 
Habari zenu jamiiforums

Kwa wale msiomfahamu vema Infantry Soldier ni kwamba, mimi ni mkristo tena mkatoliki ila ninafahamu fika ya kuwa uislamu si ugaidi na si dini ya wizi na wala waislamu si magaidi na wala sio wezi bali wahalifu wachache hujificha katika kivuli cha uislamu ili kutenda uhalifu wao.

Dini ya uislamu ni dini safi sana tena ya watu waungwana kweli inayohubiri amani na upendo kama ilivyo dini ya kikristo. I love and respect all my muslim brothers and sisters out there.

View attachment 1749528

Tanzania ililazimika kupigana vita ya Kagera mwaka 1978 kwa lengo la kuikomboa ardhi yetu na kumtoa nduli Idd Amin Dada na genge la wahuni wenzie. Uamuzi wa kuivamia ardhi ya mkoa wa ziwa Magharibi (Kagera) haukuwa na ridhaa ya waganda hata kidogo bali ni maamuzi ya kipuuzi na kichokozi yaliyofanywa utawala wa kidhalimu wa dikteta Amini dada.

Kwanini uhalifu alioufanya Salum Yusuph wa kwenda kuiba nguruwe uhusishwe na nafasi ya ungozi wa kidini (Imam) ilhali kitendo hicho (wizi) sio muongozo sahihi wa dini ya kiislam? Je, hii ni sahihi? Je, haya ndio maadili ya taaluma ya uandishi wa habari?

View attachment 1749544

Je, mnafahamu kuwa vyombo vya habari visipotumika ipasavyo vinaweza kuleta vurugu za kidini au hata kikabila ndani ya jamii ya watanzania? Mmesahau yaliyotokea nchini Rwanda mwaka 1994? Leo hii mmesahau yaliyotokea nchini Kenya mwaka 2007? Ni njia zipi zilitumika katika kusambaza chuki kama sio vyombo vya habari?

Kulingana na Quran Tukufu, wizi umekatazwa katika Uislamu na ni dhambi kubwa sana. Inachukuliwa pia kuwa ni Haraam kulingana na maneno ya mtume Muhammad (SAW - peace be upon him). Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema amelaani wizi na ameamuru adhabu ya kisheria kupitia sheria ya Kiislam (Sharee’ah) kwa mwizi ni kukata mkono wa wake.

Mimi Infantry Soldier kabila langu ni mjaluo. Endapo itakuja siku moja kuonekana nimetoka msalani pasipo kunawa kabisa na kwenda moja kwa moja kwenye meza ya chakula kwa ajili ya kujiandaa na kula, Je itakuwa ni sahihi kusema kwamba, wajaluo wana tabia ya kula pasipo kunawa wakitoka msalani? Je, ni sahihi kutumia uovu wa mmtu mmoja katika kuhukumu wengine wa jamii yake?

View attachment 1749548

Ninatambua na kuheshimu mchango wa wanataaluma wa tasnia ya habari katika kujenga jamii yenye umoja na mshikamano, lakini katika hili la uchochezi wa kidini ni lazima tulikemee sote kwa pamoja.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
mjibu hoja nakupongeza , hii ni taabu ya kuwa na waandishi wasio waandishi. TAALUMA HII IMEVAMIWA . na biashara ya magazeti imekuwa ngumu kwa sasa kutokana na teknolojia. huyo muandishi uchara anatakiwa kujua KUNA UISLAMU , NA MUISLAMU.
 
Huyo mwanahabari ndio amedhalilisha nafasi ya kiongozi wa dini, na sasa Imam wote wataanza kuonekana kama wezi wa nguruwe.
Hiyo ya kusema imam kaiba nguruwe haiwezi kufanya imam wote waonekane ni wezi, ni sawa na mtu kusema mchungaji kafumaniwa guest haimaanishi wachungaji wote wana mipango ya kando kwamba wanaenda guest.
 
- Salum Yusuph adaiwa kuiba nguruwe. Au;

- Mtu mmoja adaiwa kuiba nguruwe
cheo au status ya mtu huwa inatangulia kabla ya jina la mlengwa
mf rais...., waziri mkuu....., mwalimu.....
imamu salum yusuph n.k, ukishapata cheo huwezi ukalitaja jina lako kwanza
imamu kama kaiba anatajwa kwa cheo chake kwanza .
 
Sawa boss, lakini si jambo jema kuchafua dini za wengine...
Binafsi sioni kama amechafua... yeye kaandika alichofanya huyo aliyeiba na huku akitaja aliwahi kuwa na nafasi katika jamii yake... NI SAWA NA YULE MWANDISHI WA KESHYA ALIYEANDIKA ... nanukuu... TANZANIA YAPATA SULUHU BAADA YA POMBE.... mwisho wakunukuu... Ukikurupuka na heading, unaweza panic sana...

SEMA TU WEWE UNATAKA KUTUAMINISHA KWAMBA MWANDISHI KACHAFUA UISLAM... Ni sawa na PADRE AKIFANYA UJINGA UNAPINGANA NA CHEO CHAKE, Kitatajwa alichokifanya, na cheo chake... !!! KAMA KWELI KAFANYA HIVYO, NA CHEO KWELI NI CHAKE AU ALIKUWA NACHO HUKO SIKU ZA NYUMA, MWANDISHI AMECHAFUAJE?
 
Watu wanamwambia "Kimetajwa cheo chake ili kuonesha kwamba kwa CHEO chake haifikiriwi anaweza kuiba"

Yeye anauliza "Al Shabab kwakua ni magaidi ndiyo kusema waislamu ni magaidi?"

Sasa kwani Al Shabab ni cheo jamani?
 
Wewe ndio umeikuza habari kama Yusuph angekuwa kaiba nguruwe angetajwa kama mwizi yoyote, wote tunajua nguruwe ni haramu kwa waislamu imamu kama kiongozi wa dini alitakiwa awe mfano kusimamia sheria na mafundisho ya dini.
Habari hii kuripotiwa ni taarifa kwa waislamu imamu wenu hafai kwa sababu sio mwislamu safi
 
Habari zenu jamiiforums

Kwa wale msiomfahamu vema Infantry Soldier ni kwamba, mimi ni mkristo tena mkatoliki ila ninafahamu fika ya kuwa uislamu si ugaidi na si dini ya wizi na wala waislamu si magaidi na wala sio wezi bali wahalifu wachache hujificha katika kivuli cha uislamu ili kutenda uhalifu wao.

Dini ya uislamu ni dini safi sana tena ya watu waungwana kweli inayohubiri amani na upendo kama ilivyo dini ya kikristo. I love and respect all my muslim brothers and sisters out there.

View attachment 1749528

Tanzania ililazimika kupigana vita ya Kagera mwaka 1978 kwa lengo la kuikomboa ardhi yetu na kumtoa nduli Idd Amin Dada na genge la wahuni wenzie. Uamuzi wa kuivamia ardhi ya mkoa wa ziwa Magharibi (Kagera) haukuwa na ridhaa ya waganda hata kidogo bali ni maamuzi ya kipuuzi na kichokozi yaliyofanywa utawala wa kidhalimu wa dikteta Amini dada.

Kwanini uhalifu alioufanya Salum Yusuph wa kwenda kuiba nguruwe uhusishwe na nafasi ya ungozi wa kidini (Imam) ilhali kitendo hicho (wizi) sio muongozo sahihi wa dini ya kiislam? Je, hii ni sahihi? Je, haya ndio maadili ya taaluma ya uandishi wa habari?

View attachment 1749544

Je, mnafahamu kuwa vyombo vya habari visipotumika ipasavyo vinaweza kuleta vurugu za kidini au hata kikabila ndani ya jamii ya watanzania? Mmesahau yaliyotokea nchini Rwanda mwaka 1994? Leo hii mmesahau yaliyotokea nchini Kenya mwaka 2007? Ni njia zipi zilitumika katika kusambaza chuki kama sio vyombo vya habari?

Kulingana na Quran Tukufu, wizi umekatazwa katika Uislamu na ni dhambi kubwa sana. Inachukuliwa pia kuwa ni Haraam kulingana na maneno ya mtume Muhammad (SAW - peace be upon him). Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema amelaani wizi na ameamuru adhabu ya kisheria kupitia sheria ya Kiislam (Sharee’ah) kwa mwizi ni kukata mkono wa wake.

Mimi Infantry Soldier kabila langu ni mjaluo. Endapo itakuja siku moja kuonekana nimetoka msalani pasipo kunawa kabisa na kwenda moja kwa moja kwenye meza ya chakula kwa ajili ya kujiandaa na kula, Je itakuwa ni sahihi kusema kwamba, wajaluo wana tabia ya kula pasipo kunawa wakitoka msalani? Je, ni sahihi kutumia uovu wa mmtu mmoja katika kuhukumu wengine wa jamii yake?

View attachment 1749548

Ninatambua na kuheshimu mchango wa wanataaluma wa tasnia ya habari katika kujenga jamii yenye umoja na mshikamano, lakini katika hili la uchochezi wa kidini ni lazima tulikemee sote kwa pamoja.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Wewe wala siyo mkatoliki ni Muslim,huu ugaidi uliougusia kwa nn haupitii ktk dini zingine
 
Habari zenu jamiiforums

Kwa wale msiomfahamu vema Infantry Soldier ni kwamba, mimi ni mkristo tena mkatoliki ila ninafahamu fika ya kuwa uislamu si ugaidi na si dini ya wizi na wala waislamu si magaidi na wala sio wezi bali wahalifu wachache hujificha katika kivuli cha uislamu ili kutenda uhalifu wao.

Dini ya uislamu ni dini safi sana tena ya watu waungwana kweli inayohubiri amani na upendo kama ilivyo dini ya kikristo. I love and respect all my muslim brothers and sisters out there.

View attachment 1749528

Tanzania ililazimika kupigana vita ya Kagera mwaka 1978 kwa lengo la kuikomboa ardhi yetu na kumtoa nduli Idd Amin Dada na genge la wahuni wenzie. Uamuzi wa kuivamia ardhi ya mkoa wa ziwa Magharibi (Kagera) haukuwa na ridhaa ya waganda hata kidogo bali ni maamuzi ya kipuuzi na kichokozi yaliyofanywa utawala wa kidhalimu wa dikteta Amini dada.

Kwanini uhalifu alioufanya Salum Yusuph wa kwenda kuiba nguruwe uhusishwe na nafasi ya ungozi wa kidini (Imam) ilhali kitendo hicho (wizi) sio muongozo sahihi wa dini ya kiislam? Je, hii ni sahihi? Je, haya ndio maadili ya taaluma ya uandishi wa habari?

View attachment 1749544

Je, mnafahamu kuwa vyombo vya habari visipotumika ipasavyo vinaweza kuleta vurugu za kidini au hata kikabila ndani ya jamii ya watanzania? Mmesahau yaliyotokea nchini Rwanda mwaka 1994? Leo hii mmesahau yaliyotokea nchini Kenya mwaka 2007? Ni njia zipi zilitumika katika kusambaza chuki kama sio vyombo vya habari?

Kulingana na Quran Tukufu, wizi umekatazwa katika Uislamu na ni dhambi kubwa sana. Inachukuliwa pia kuwa ni Haraam kulingana na maneno ya mtume Muhammad (SAW - peace be upon him). Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema amelaani wizi na ameamuru adhabu ya kisheria kupitia sheria ya Kiislam (Sharee’ah) kwa mwizi ni kukata mkono wa wake.

Mimi Infantry Soldier kabila langu ni mjaluo. Endapo itakuja siku moja kuonekana nimetoka msalani pasipo kunawa kabisa na kwenda moja kwa moja kwenye meza ya chakula kwa ajili ya kujiandaa na kula, Je itakuwa ni sahihi kusema kwamba, wajaluo wana tabia ya kula pasipo kunawa wakitoka msalani? Je, ni sahihi kutumia uovu wa mmtu mmoja katika kuhukumu wengine wa jamii yake?

View attachment 1749548

Ninatambua na kuheshimu mchango wa wanataaluma wa tasnia ya habari katika kujenga jamii yenye umoja na mshikamano, lakini katika hili la uchochezi wa kidini ni lazima tulikemee sote kwa pamoja.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.

Unaweza kuwa na dini lakini matendo yako yasiendane na dini
 
Aliyekuwa Waziri wa Fedha, Baziri Mramba Ahukumiwa kifungo cha Mwaka mmoja gerezani baada ya Kupatikana na hatia katika kesi iliyokuwa inamuandama.

Braza, nasoma maandiko yako mengi sana na mengi yamenielimisha kwa ukubwa sana. Sio kila kitu lazima ukifahamu au ukiandike au ukizungumze. Vingine kuwa na tabia ya kuviacha vipite. Siku zote sisi binadamu huwa tunatambuliwa kwa sifa zetu zinazotutanabaisha vyema mbele ya hadhira. Huyo kaandikwa Imam na sio Muislam kujumuisha udini wake japokuwa tunafahamu kuwa Imam ni moja kati ya Viongozi katika Uislam.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom