Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
chombo huruPascal Yuko chombo gani Cha habari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chombo huruPascal Yuko chombo gani Cha habari
umeenda vizuri sana !Mkutano wa leo umekwendaje?
Kung'atuka wapi?Walipaswa kung'atuka kwanza ndio wagombee
Punguza utoto dogo.si chadema? Au sio chombo cha watoa taarifa hili?
na hao wako wengine kwan wapo chombo gani na gani.....
Yaani mnataka kumtoa kamanda Salumu Mwalimu kwenye nafasi yake kwa mgongo wa uandishi wa habari, kweli? hii si sawa hata kudogo....
Sijaipenda hii.....
Waandishi wa habari mko kwenye vita kali sana jihadharini sana hasa kwenye chombo cha watoa taarifa hawa waliowalenga waziwazi
Umeishia darasa la ngapi ?Kung'atuka wapi?
Kwa hiyo na wakulima waache kilimo au ufugaji ili wakagombee? cha muhimu ni kuwafundisha wananchi wengi wajue ukweli, wamdharau na kumbeza mtu anayetoa hoja zisizo na mantiki na zenye upendeleo au kuwagawa raia kwa sababu ya kukosa maadili na ukweli.
Nje ya madaChadema ni mbumbumbu
Jikite kwenye mada , wakina nani ni waandishi pro Chadema , wako chombo gani cha habari ?Mkuu inamaana waandishi ambao ni pro-chadema ndiyo siyo wanafiki? Nadhani ni muhimu sana kuwa kila mmoja wetu tunaheshimu kile anachokiamini,na si kuona hayuko sahihi kwasababu anaamini kile ambacho wewe hukipendi au hukikubali.Inawezekana tunapigania uhuru wa fikra hapa jukwaani lakini sisi wenyewe hatujakombolewa.
Kwani Pascal Mayalla anatumikia chombo gani cha habari kwa sasa?Si tumeambiwa ni tishio?Tumia akili kufikiria, Salum Mwalim anakitumikia chombo gn cha hbr kwa sasa??
Huyu anaweza kuhujumu popoteKwani Pascal Mayalla anatumikia chombo gani cha habari kwa sasa?Si tumeambiwa ni tishio?
JFPascal Yuko chombo gani Cha habari
CCM ni mataahiraChadema ni mbumbumbu
Nia ovu ya kum'goa muandishi wa habar Salumu Mwalimu kwa mgongo wa kujificha eti waandishi wa habari hawafai katika siasa imebainika ....Punguza utoto dogo.
Maskini Salumu Mwalimu, Salumu Mwalimu. Why this time wamekutageti hadi wakung'oeaHuyu anaweza kuhujumu popote
unadhani utapindisha hilo lengo ovu ulilotumwa kumchafua na hatimae kumuengua Salumu Mwalimu kwenye nafasi yake......Una uelewa mdogo sana !
hili jamaa limetumwa kumuengua muandishi wa habari Salumu Mwalimu kwa mgongo wa waandishi wa habari wasio husikaPascal Yuko chombo gani Cha habari
Mwingine alipata kura 1 tupo nae humu.
Kwenye sheria ni advocate ambaye hajashinda kesi hata 1.