si alisema hawezi kujibu mambo ya mitandaoni,Jamani! Jamani! Hii itakuwa ni Tume ya kwanza na ya aina yake kuwahi kuundwa duniani kote. Tujiandae kuwekwa Guiness book of Records. Tume inaundwa na mtuhumiwa mwenyewe, kwenda kuchunguza tuhuma dhidi yake yeye mwenyewe! Kwa kuhoji watu alioandaa yeye mwenyewe!! Ni Tanzania pekee!!!!!
linasemajeNahisi watu hawajaona tangazo LA tcra ndo maana wanamwagika namna hii
kaka yupo anaogopa kujitokeza, inawezekana alishapigwa beat, yupo tabora ni mtangazaji wa redio 1, anajua akijitokeza bado vibano vitawageuka wote wa2Pia jiulize huyo Paul Christian anayesemekana vyeti vyake vimetumiwa na Bashite mbona hatujamuona au hata ndugu zake kueleza alipo? Hadithi yenu imekosa mashiko
alikamatwa kabla ya j2 na akaombwa asifanye hivyo, hukumbukiUkiona hivyo ujue hizo story ni za kutunga tu mkuu.
Gwajima alisema ataweka cheti na kuleta wazee mpaka leo kimya.
Mwanahalisi lilisema limekwenda kuzungumza na wazee na kijijini,mpaka leo hawajaja na habari yoyote ya maana zaidi ya kuweka kichwa kingine ndani unakuta habari nyingine.
Hao wanaoicheza santuri ya Makonda hawajui wanachotaka,wengi ni bendera fuata upepo.Anachofanya Makonda ni kuwaumiza kisaikolojia tu na kuwaudhi na wao wanajua kama Makonda anawaudhi
Njaa itakuponza ww! Kifupi mimi nimesoma Azania Sec O' mpaka A' level mwaka naujua mwenyewe na baadaye UDSM leo ukiniuliza Walimu wa pale Azania kuanzia Mchwampaka, Christian, Kwayu (Head Master), Matrey, Sanga, Amrani,na yule Refa aliyekula mpunga wa Azam waifunge Yanga, Primus, na Wanafunzi Sebastian Ndege, Bob Leo, Chief wengine wengi. Sasa muulize Bashite Akutajie angalau Walimu wanne wa shule anakodai alisoma kama hajaanza kupiga yowe la kilio kama mtoto anayelilia ziwa la mama yakeakuwekee cheti mezani kwani wewe ndie bosi wake?weka chako kwanza mezani
kaombwa na nani?Jumapili ngapi zimepita baada ya kuachiwa?acheni projo jamani fanyeni kazialikamatwa kabla ya j2 na akaombwa asifanye hivyo, hukumbuki
Ndio matatizo ya kujificha kwenye ID feki haya huwezi kamwe kuaminika.Kutaja orodha ya waalimu hukumaanishi kuwa umesoma Azania,je kama ulikuwa unakwenda tuition?Kama huwezi kuweka cheti chako huna haki ya kumwambia mwenzako aweke chetiNjaa itakuponza ww! Kifupi mimi nimesoma Azania Sec O' mpaka A' level mwaka naujua mwenyewe na baadaye UDSM leo ukiniuliza Walimu wa pale Azania kuanzia Mchwampaka, Christian, Kwayu, Matrey, Sanga, Amrani,na yule Refa aliyekula mpunga wa Azam waifunge Yanga, Primus, na Wanafunzi Sebastian Ndege, Bob Leo, Chief wengine wengi. Sasa muulize Bashite Akutajie angalau Walimu wanne wa shule anakodai alisoma kama hajaanza kupiga yowe la kilio kama mtoto anayelilia ziwa la mama yake
We utakua unatoa 0714 sio bure,unamtetea bashite for what?kaombwa na nani?Jumapili ngapi zimepita baada ya kuachiwa?acheni projo jamani fanyeni kazi
Hebu niulize chochote kuhusiana na maeneo niliyoyataja (Azania - UDSM) kuanzia Walimu/Wanafunzi na vituko vyao mpaka majina ya utani na kama kuna watu walipita huko watakubaliana na mimi. Unakuwa mbulula kama Bashite mwambie hapa ni cheti tu hana jinsi!Ndio matatizo ya kujificha kwenye ID feki haya huwezi kamwe kuaminika.Kutaja orodha ya waalimu hukumaanishi kuwa umesoma Azania,je kama ulikuwa unakwenda tuition?Kama huwezi kuweka cheti chako huna haki ya kumwambia mwenzako aweke cheti
Teh teh teh TIGOWe utakua unatoa 0714 sio bure,unamtetea bashite for what?
Mbona na wewe una ID fake na sijakuuliza chochote? Nakuomba ulete hoja yoyote kwa yale niliyoyaeleza ila mwambie Bashite HOJA haifungwi bila kuweka Gamba hadharani! Mbulula weeee!Ndio matatizo ya kujificha kwenye ID feki haya huwezi kamwe kuaminika.Kutaja orodha ya waalimu hukumaanishi kuwa umesoma Azania,je kama ulikuwa unakwenda tuition?Kama huwezi kuweka cheti chako huna haki ya kumwambia mwenzako aweke cheti