Tetesi: 'Waandishi wa Makonda' kwenda Ziarani Koromije

Tetesi: 'Waandishi wa Makonda' kwenda Ziarani Koromije

Kumbe sasahivi ukienda kuomba kazi mahali huna haja yakuonyesha vyeti bali unaenda na video zako zikionyesha watu waliohojiwa wakikushuhudia kwamba wewe ulimaliza form four shule fulani na hukupata div. zero

MKUU hapo umetisha.😀😀😀
 
Naomba nipendekeze waandishi.

1.saed kubenea
2.manyerere Jackson
3.edo Kumwembe
4.maulid kitenge
5.masoud kipanya
6.jenerary ulimwengu
 
Akupe vyeti kwani we nani had I ujue division au GPA za watu. Anayepaswa kujua performance za mwajiliwa ni mwajili wake!! Mbona nyie wapumbavu kiasi hicho.
Acha matusi dogo... Sasa mbona unayemtetea anataka kuandaa video na audio kutoka koromije ili ajitetee...wewe povu la nini? Mshauri aoneshe vyeti vyake kwa waziri wake badala ya kupeleka waandishi koromije... Acha akili za kutaga.
 
Tanzania ya michezo hii ilikuw zaman,yan watu wanataka vyet ww unaenda kuwapanga watu ili uedit historia,umeshachelew hakuna mtanzania mjinga hivyo kipind hik tena huu utakuw ni ujinga wa kiwango cha lami
 
aonyeshe vyeti tu, nini kutumia kodi zetu, waliosoma nae wapo, anajua kila kitu, kama walimu washapozwa, weka vyeti kama kigwangala na nchemba maisha yasonge mbele
 
Kiongozi wa Mkoa anayesemekana kutumia jina lisilo lake ameandaa ziara ya Waandishi 10 watakaondoka kesho kuelekea Mkoani Mwanza. Waandishi hawa watakuwa na kazi maalumu Jijini Mwanza, katika Sekondari ya Pamba na Kijijini Koromije.

Kulingana na hadidu za rejea za ziara hii, waandishi watakutanishwa na kuongea na ndugu pamoja na walezi wa Kiongozi wa Mkoa na watatembelea Sekondari ya Pamba—Mwanza. Katika Sekondari hii watapata wasaha wa kupewa taarifa mbalimbali kuhusu Kiongozi wa Mkoa na kuongea na uongozi wa Sekondari.

Baadaye waandishi wataelekea Kijijini Koromije ambako watatakiwa kuwahoji watu kulingana na orodha iliyotolewa na Kiongozi wa Mkoa.

Kazi itakamilika kwa kuandaa taarifa katika mifumo mbalimbali ya kieletroniki (maandishi, sauti na video) zitakazolenga kuonyesha kuwa yote yaliyosemwa na kushuhudiwa juu ya Kiongozi wa Mkoa ni uongo. Taarifa kamili kutoka katika ziara hii zitarushwa mitandaoni na kupelekwa kwenye vyombo vya habari.

Lengo la ziara hii si kuibua ukweli bali kutaka kuufanya ukweli uchanganyikiwe kama njia ya kufifisha sakata la “BASHITE” Ifahamike kwamba huu ni muendelezo wa mikakati ya Mwana Kipenzi cha Mfalme baada ya kufurahia keki ya mwaka mmoja madarakani. Nakuuliza; hivi mawaziri waliambiwa wakibainika kufanya sherehe baada ya kuteuliwa watafanywa nini?
Chaaaa
Yote ya nini haya,Mbona kutoa Vyeti ni Rahisi sana.
 
aonyeshe vyeti tu, nini kutumia kodi zetu, waliosoma nae wapo, anajua kila kitu, kama walimu washapozwa, weka vyeti kama kigwangala na nchemba maisha yasonge mbele
Cheti hana sabb ya kuzungusha!, ka kwara cheti cha mtu kaendelea mbele tena kimkanda2, bila ya sitta na Riz isingewezekana maana ana maneno mengi mdomoni lakini shule sifuri, neno "Petroleum" anaandika "Petrolium"
 
mwambie atatukuta sisi tupo na tutamuumbua ko bora alete vyeti tuu kama anataka usingizi mnono maana siku hizi naskia anakeshaa
 
Hao waandaishi wa habari wawe makini sana,wajifunze kama yaliyowakuta waandishi wa TBC kuleta habari za majungu za kumlisha maneno Trump.Hao waandishi watambue kuwa kwa sasa dunia ni kama kijiji,wataumbuka tu.Dunia kwa sasa haidanganywi.
 
Inaelekea Taifa lishatishwa na kila mmoja wet ana woga fulani!!

Hivi kweli katika watu million 50 amekosekana hata moja tu wa kuweka ushahidi walau attendance list ya wanafunzi waliosoma Koromije primary au Pamba secondary ili kutuonyesha mwanafunzi aliyesoma pale aliitwa Daudi badala ya Paulo na kwamba Paulo hakuwepo kwenye hayo madarasa!!?
 
NECTA wakiweka taaluma yao mfukoni, Hapo ndipo DAUDI BASHITE atafanikiwa kwenye nia yake hii ovu.

Otherwise itakuwa ni ngumu sana BASHITE kuchomoka kwenye hili!
 
Yaani kuonesha vyeti tuu imekuwa kazi kubwa kuliko kupeleka lundo Kolomije??
Anyways, namshauri aunde timu ya watu wa maana ambao wanajua conspiracy kwa hali ya juu maana Watu walishaenda huko na kufanya mahojiano. So tuna majibu. Wakitaka kutudanganya, watudanganye vizuri asee.
wanatuona watz mabwege kama wao, waende wakatengeneze documentary, kwani kuna ugumu gani kuweka vyeti
 
Back
Top Bottom