Tetesi: 'Waandishi wa Makonda' kwenda Ziarani Koromije

Tetesi: 'Waandishi wa Makonda' kwenda Ziarani Koromije

Inaelekea Taifa lishatishwa na kila mmoja wet ana woga fulani!!

Hivi kweli katika watu million 50 amekosekana hata moja tu wa kuweka ushahidi walau attendance list ya wanafunzi waliosoma Koromije primary au Pamba secondary ili kutuonyesha mwanafunzi aliyesoma pale aliitwa Daudi badala ya Paulo na kwamba Paulo hakuwepo kwenye hayo madarasa!!?


Na mm nakuuliza hv huyu Paul makonda kinachomshinda Kutoka hadharani na vyeti vyake ni nn??? Au hata kusema tu haya yanayoendelea si kweli ukweli ni huu hapa.

Kinachomhangaisha kupeleka waandishi wa habari huko kote na kuwaandalia watu wa kuwahoji ni nn hasa...wakati hili jambo inaweza kulimaliza kwa dk tano tu.

Mkuu wangu mtu wa kumaliza ili jambo ni Makonda mwenyewe na si mwingine...Silence means admission by Rungwe.
 
Huyu anatuchezea,kageuza kasha kuwa mtaji wa kisiasa kufikia anapo pataka,,,bunge lifanye kazi yake.
 
Kumbe sasahivi ukienda kuomba kazi mahali huna haja yakuonyesha vyeti bali unaenda na video zako zikionyesha watu waliohojiwa wakikushuhudia kwamba wewe ulimaliza form four shule fulani na hukupata div. zero
Huku ni kucheza na kodi zetu
 
Katika hali ya kawaida, mtuhumiwa anawezaje kuandaa watu wa kumchunguza na wale watakaotoa taarifa zinazomhusu !!!!
 
Umesema ni tetesi lakini hili jambo lilikua dogo sana na la dakika chache tu...kutoa vyeti mezani wote mkae kimya basi...
 
endapo katika safari hyo atatokea mwandishi hata mmoja na kueka namba halisi ya cheti au mwaka aliosoma bash nazan atasaidia saaana maana ili ushtaki NECTA inahitajika vielelezo kama hivyo.
Hakuna!!!!! Kwa nini acheze na kodi zetu? Kwanini?
 
Hakika huyu ni mwana kipenzi wa mfalme.

Kwahiyo ameandaa list ya watu wa kwenda kuhojiwa.
Na watu hao 'wameshajiandaa' kuhojiwa.
Hawa watu waache kutufanyia maigizo,huu ni upotevu wa rasilimali.
Duh! Hapo sasa naamini kuwa tuhuma hizo ni za kweli.
Nilitegemea yeye angetoa ruksa kwa wachunguzi kwenda huko incof=gnito na kumhoji yeyote ambaye wangeona anahitakika kuhojiwa kulingana na jinsi ujuzi wao unavyohitaji.

Sasa hili la mtuhumiwa kujitengenezea orodha ya wahojiwa hata mtoto mdogo hawezi kushindwa kubaini uboya uliomo ndani.
 
Waandishi wa habari wa MwanaHalisi walishatuletea ripoti,hii inayoanza kupikwa sasa ni upuuzi tu.

Haiingii akilini kabisa,inachukua nini kuonesha vyeti kama kweli anavyo?
Kweli badala yake unaandaa timu ya kwenda kuhoji 'watu' wake?
Huyu anazidi kudhihirisha tuhuma zinazomkabili ni kweli.

Mwanahalisi walileta kipi kibaya?? naona kama ilimsafisha hujagundua tu
 
Hakika huyu ni mwana kipenzi wa mfalme.

Kwahiyo ameandaa list ya watu wa kwenda kuhojiwa.
Na watu hao 'wameshajiandaa' kuhojiwa.
Hawa watu waache kutufanyia maigizo,huu ni upotevu wa rasilimali.
Watakuwa washapewa script....
 
Hivi kwani kuweka vyeti wazi kunahitaji nguvu kiasi gani kulinganisha na huo mzunguko wote anaoufanya?

Hao mashahidi wenyewe si ajabu wamenunuliwa... Aweke vyeti aache mbwembwe... Eboo!
 
Nshaelewa basi alifoji kila kitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Gwajima naye anaandaa namna ya kuiboresha taarifa yake patachimbika Bashite wa kweli atajulikana tu!!!!!!!!!!!!
 
Hivi kwani kuweka vyeti wazi kunahitaji nguvu kiasi gani kulinganisha na huo mzunguko wote anaoufanya?

Hao mashahidi wenyewe si ajabu wamenunuliwa... Aweke vyeti aache mbwembwe... Eboo!

Kama anazushiwa amefoji vyeti, kwa jinsi anavyopenda makuu angeshawakamata wote wanaomsema. Eti anatafuta watu wa kumsaidia, anazama peke yake!
 
Pesa zetu za kodi ndio zinaenda kufanyia huu upuuzi.

Huyu jamaa hajui kuwa hakuzaliwa kuwa RC.

Atahangaika sana ila ukweli utabaki palepale.

Ni Aibu kwa RC kutumia cheti cha kugushi.

Kiongozi wa Mkoa anayesemekana kutumia jina lisilo lake ameandaa ziara ya Waandishi 10 watakaondoka kesho kuelekea Mkoani Mwanza. Waandishi hawa watakuwa na kazi maalumu Jijini Mwanza, katika Sekondari ya Pamba na Kijijini Koromije.

Kulingana na hadidu za rejea za ziara hii, waandishi watakutanishwa na kuongea na ndugu pamoja na walezi wa Kiongozi wa Mkoa na watatembelea Sekondari ya Pamba—Mwanza. Katika Sekondari hii watapata wasaha wa kupewa taarifa mbalimbali kuhusu Kiongozi wa Mkoa na kuongea na uongozi wa Sekondari.

Baadaye waandishi wataelekea Kijijini Koromije ambako watatakiwa kuwahoji watu kulingana na orodha iliyotolewa na Kiongozi wa Mkoa.

Kazi itakamilika kwa kuandaa taarifa katika mifumo mbalimbali ya kieletroniki (maandishi, sauti na video) zitakazolenga kuonyesha kuwa yote yaliyosemwa na kushuhudiwa juu ya Kiongozi wa Mkoa ni uongo. Taarifa kamili kutoka katika ziara hii zitarushwa mitandaoni na kupelekwa kwenye vyombo vya habari.

Lengo la ziara hii si kuibua ukweli bali kutaka kuufanya ukweli uchanganyikiwe kama njia ya kufifisha sakata la “BASHITE” Ifahamike kwamba huu ni muendelezo wa mikakati ya Mwana Kipenzi cha Mfalme baada ya kufurahia keki ya mwaka mmoja madarakani. Nakuuliza; hivi mawaziri waliambiwa wakibainika kufanya sherehe baada ya kuteuliwa watafanywa nini?
 
Back
Top Bottom