wa marangu
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 259
- 407
Endelea kuwaza kwa kutumia makalioMawakala wa shetani wameshaanza kuweweseka, utetezi wao wa kijinga wa udini wameshaona unazidiwa nguvu na kundi kubwa la werevu wanaojitambua.
Kesho lazima shetani na mawakala wake wapigwe mawe mpaka waanguke, hatuwezi kuacha tujione tunapelekwa shimoni na kiongozi mjinga asiyejitambua, halafu tuanze kusikiliza utetezi wa kijinga ili kumlinda, Never.