Waandishi waungane kukomesha hii Tabia Chafu ya Haji Manara

Waandishi waungane kukomesha hii Tabia Chafu ya Haji Manara

Simba ndio waliomfundisha Manara kuwa na kidomo domo, akiwa huko kazi yake kubwa ilikuwa ni kudhihaki timu na watu...
Sasa analia nini yeye akiitwa Zeru zeruzeru,si ndiyo uhalisia wenyewe?
 
Sasa wewe unadhani mleta mada ndio analia? Anayelia ni huyo waliye mkebehi kuwa zeruzeru kwa vile anakebehi wengine. Kama unasisitiza aendelee basi aache kulia lia kuomba huruma
Mkuki kwa nguruwe,halafu ni mwepesi sana wa kukasirika,na sasa itabidi tuanze kumwita Albino maana Zeru zeru linamkera kwakuwa ni kiswahili pengine
 
Yanga waliweza kuvumilia mambo ya Haji Kwa miaka mingi, Sasa Simba ni wakatiwao kuvumilia.
Yeye ndiyo analia umeona Simba wanahangaika nae,wao wanamwita kwa uhalisia wake ni Zeru Zeru hiyo ni fact.
 
Huyo jamaa ni kilaza Sana , simpendi kinyama , ana maneno machafu na ya dhihaka Sana , tena hata hvyo wanamstahi Sana , na anatumia huo mwanya kuwakandia wenazke , waendelee kumdhihaki tuuu
 
Back
Top Bottom