Sasa wewe unadhani mleta mada ndio analia? Anayelia ni huyo waliye mkebehi kuwa zeruzeru kwa vile anakebehi wengine. Kama unasisitiza aendelee basi aache kulia lia kuomba huruma
Huyo jamaa ni kilaza Sana , simpendi kinyama , ana maneno machafu na ya dhihaka Sana , tena hata hvyo wanamstahi Sana , na anatumia huo mwanya kuwakandia wenazke , waendelee kumdhihaki tuuu