The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Wewe ni kituko cha hapa JF sema hujajishtukia tu,tafuta kazi nyingine,upigaji utakua hakuna tena huko unapopalilia kila siku humu,ulizowea kitonga.Mtoto una sauti nzuri sana ukilalamika ndio maana huwa sichoki kukuchoma sindano zangu ili niwe naiskia tu
Una machozi mengi sana wewe, nitakuletea lolly pop umumunye sawa mtoto mzuri?Wewe ni kituko cha hapa JF sema hujajishtukia tu,tafuta kazi nyingine,upigaji utakua hakuna tena huko unapopalilia kila siku humu,ulizowea kitonga.
Hiyo DPW ishaleta sintofahamu kama mkataba wenyewe haujaja mbona serikali inapata kigugumizi cha kujitoa.Halafu watu wanaposema ile ni IGA Mimi nacheka kimya kimya uliona wapi IGA ikawa na specific project? IGA ikawa na Dispute settlement clause? IGA ikawa na first priority Clause? Hii IGA ni very specialHakuna hata milimita moja ya ardhi ya JMT iliyouzwa!. Mchakato wa DPW na Bandari zetu unaendelea !. Baada ya IGA ya DPW na Bandari zetu, licha ya mapungufu, HGA yake inakuja. Ombi kwa Serikali yetu sikivu, tunaomba Maximum Transparency kwenye HGA
P
Wapo wapi?
What's the context?
Kwahiyo hao ndo DPW?
Hakuna watz wenye asili ya arabuni?
Nyie mnaweka bendera za Israel na USA hadi chumbani kwenu nani anawauliza?
Nipange jeshi!mzee?
Kwamba waarabu wamefanikisha jambo lao?Nipange jeshi!
Tafuta kazi nyingine acha kulia lia hapa,upigaji unafikia kikomo.Una machozi mengi sana wewe, nitakuletea lolly pop umumunye sawa mtoto mzuri?
Warabu wanaona mbali sanaJamani this is serious, nchi tajiri za Kiarabu kuwa ombaomba Afrika by 2030
Magari ya umeme ndio future ya usafiri ilipangwa kwa sasa; hata wanaozalisha magari wengi wao wanaweka 'hybrid systems' ili hayo magari yaweze kutumika hata pale magari yenye sumu ya moshi yatakapopigwa marufuku. Nchi nyingi za Ulaya zitapiga marufuku magari yenye sumu ya ukaa by 2030. Vinu vya...www.jamiiforums.com
Hiyo lolli pop haikutoshi nikuongeze ya pili mtoto? nimependa unavyoimumunya..Tafuta kazi nyingine acha kulia lia hapa,upigaji unafikia kikomo.
Nimecheka Kwa sautiLabda mama tayari amepost kwenye group lao la WhatsApp kuwa "mambo yameiva tayari"
Unachohitaji wewe ni kuelimishwa tuu IGA ni nini na ni ya kazi gani Mwenye dada hakosi shemeji, IGA ni posa tu. Je, tuendelee kupiga kelele kuzozania posa, au tutulie tupange Mahari ya maana kwenye HGA?Hiyo DPW ishaleta sintofahamu kama mkataba wenyewe haujaja mbona serikali inapata kigugumizi cha kujitoa.Halafu watu wanaposema ile ni IGA Mimi nacheka kimya kimya uliona wapi IGA ikawa na specific project? IGA ikawa na Dispute settlement clause? IGA ikawa na first priority Clause? Hii IGA ni very special
Kwanini Yanga wakishinda hushangilia?!!!!Kuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?
Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika kwa warabu wa DP world ya Dubai alafu tena waonekane warabu wakishangilia kama wamechukua kombe kwa nini?
Kweli viongozi wetu hawaoni hili?View attachment 2741665
But why ???????????????????????????????????Kuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?
Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika kwa warabu wa DP world ya Dubai alafu tena waonekane warabu wakishangilia kama wamechukua kombe kwa nini?
Kweli viongozi wetu hawaoni hili?View attachment 2741665
Huwa naandika mara nyingi sana kuwa adui mkubwa wa Watanzania ni ujinga, wewe umeendelea kudhihirisha hilo, wajinga wenzako wengi watafata ujinga wako.Kuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?
Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika kwa warabu wa DP world ya Dubai alafu tena waonekane warabu wakishangilia kama wamechukua kombe kwa nini?
Kweli viongozi wetu hawaoni hili?
Kitambo, huoni kila baada ya mda flan anasubmit report anatua Kwanza anaacha ndege yake pale anachukua nyngn kuelekea ujombaniKwamba waarabu wamefanikisha jambo lao?