Waarabu na wazungu waliondoa dini zetu za asili ili tuabudu Nyota/Mwezi na Sanamu za bikra maria

Waarabu na wazungu waliondoa dini zetu za asili ili tuabudu Nyota/Mwezi na Sanamu za bikra maria

Technophilic Pool

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2024
Posts
2,597
Reaction score
3,965
Nimeona hii picha imenisikitisha
 

Attachments

  • D8BC7CF9-8D3C-410D-A349-F117EBE3B5DB.jpeg
    D8BC7CF9-8D3C-410D-A349-F117EBE3B5DB.jpeg
    87.2 KB · Views: 6
Mimi naona bora dini za kiarabu kuliko za jadi.

Za jadi zilikuwa na mambo ya ajabu ajabu, kafara na kadhalika
Kiafrika hazikuwa na mambo ya ajabu ajabu kwa umri wangu nimekua nikishuhudia babu zangu wakifanya rituals mbalimbali hazikushirikisha uvunjifu wa haki za watu.

Matambiko mengi ya Kiafrika especially Tanzania hayahusishi ukatili kwa binadamu,bahati mbaya sana kizazi chetu hakijarithishwa mambo ya mila za Kiafrika tumerithi dini za wageni.
 
Kiafrika hazikuwa na mambo ya ajabu ajabu kwa umri wangu nimekua nikishuhudia babu zangu wakifanya rituals mbalimbali hazikushirikisha uvunjifu wa haki za watu.

Matambiko mengi ya Kiafrika especially Tanzania hayahusishi ukatili kwa binadamu,bahati mbaya sana kizazi chetu hakijarithishwa mambo ya mila za Kiafrika tumerithi dini za wageni.
huwezi kuta kuna ugaidi wa kuua watu wengine
au kujilipua
 
Back
Top Bottom