Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio ukweli huoDuuuh
ivi kati ya dini ya muarabu na ya jadi ipi inaua watu??Mimi naona bora dini za kiarabu kuliko za jadi.
Za jadi zilikuwa na mambo ya ajabu ajabu, kafara na kadhalika
dini za jadiivi kati ya dini ya muarabu na ya jadi ipi inaua watu??
ipi inakafara??
ipi ina sanamu nyingi?
umezingTia nn mkuudini za jadi
sanaHatari
Kiafrika hazikuwa na mambo ya ajabu ajabu kwa umri wangu nimekua nikishuhudia babu zangu wakifanya rituals mbalimbali hazikushirikisha uvunjifu wa haki za watu.Mimi naona bora dini za kiarabu kuliko za jadi.
Za jadi zilikuwa na mambo ya ajabu ajabu, kafara na kadhalika
huwezi kuta kuna ugaidi wa kuua watu wengineKiafrika hazikuwa na mambo ya ajabu ajabu kwa umri wangu nimekua nikishuhudia babu zangu wakifanya rituals mbalimbali hazikushirikisha uvunjifu wa haki za watu.
Matambiko mengi ya Kiafrika especially Tanzania hayahusishi ukatili kwa binadamu,bahati mbaya sana kizazi chetu hakijarithishwa mambo ya mila za Kiafrika tumerithi dini za wageni.
Za jadi jau mzee, wazee wetu waliishi kwa tabu sana kufata mila za jadi.Mimi naona bora dini za kiarabu kuliko za jadi.
Za jadi zilikuwa na mambo ya ajabu ajabu, kafara na kadhalika
NdioKuna jamaa mtandaoni sijui anaitwa nani anasema RC wanaabudu mfuko wa saruji
unachoongelea hata hukijuiZa jadi jau mzee, wazee wetu waliishi kwa tabu sana kufata mila za jadi.
Wafalme na uzao wao walikua miungo watu.
Endelea kuamini midoli ya wazungu ndo maana nchi yako bado masikiniRoho wa mpinga KRISTO kashamiminwa
Wateule muwe macho sana
Ni kweli. Japo mi naona bora za kizungu. Za kiarabu zina ukatili.Mimi naona bora dini za kiarabu kuliko za jadi.
Za jadi zilikuwa na mambo ya ajabu ajabu, kafara na kadhalika
Ana maanisha nini ? 😂😂😂Kuna jamaa mtandaoni sijui anaitwa nani anasema RC wanaabudu mfuko wa saruji
Materials zinazotengeneza sanamu mkuu!Ana maanisha nini ? 😂😂😂