Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
Kujibizana nawe ni kujidharirisha.Endelea kuosha makalio ya waarabu na wazungu !
Utafanyaje na walishakuwai Upstairs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujibizana nawe ni kujidharirisha.Endelea kuosha makalio ya waarabu na wazungu !
Utafanyaje na walishakuwai Upstairs
Kwamba dini ya mudi pedophile hawatoi kafara?bora dini za asili zilikua na majibu kuliko huu upuuzi wa dini za weupeMimi naona bora dini za kiarabu kuliko za jadi.
Za jadi zilikuwa na mambo ya ajabu ajabu, kafara na kadhalika
We ndo umechemka mzee.... Hivi unadhani dini ni kwenda kanisani au msikitini pekee!!!Unahusianisha Dini na Science hapa umechemka
Science haina dini babu
China ndo nchi inayoongoza kwa upagani lakini ndio inaongoza kwa science na technologia
Mimi naona bora dini za kiarabu kuliko za jadi.
Za jadi zilikuwa na mambo ya ajabu ajabu, kafara na kadhalika
Matambiko ya kutoa kafara watoto, ni sawa ?unachoongelea hata hukijui
mbona hakuna uhusiano kati ya matambiko na kuishi kwa tabu
Yaani mkuu, hakuna utumwa mbaya kama WA hizi dini zilizoletwa kwenye majahazi.Nimeona hii picha imenisikitisha
Hizo za kiarabu nenda Tu hapo msumbiji uone wanavyochinja watu kama kuku eti kwa jina la Allah!! Hamna kitu.Mimi naona bora dini za kiarabu kuliko za jadi.
Za jadi zilikuwa na mambo ya ajabu ajabu, kafara na kadhalika
Mnapenda Kweli kulinganisha Uisilamu na kila kitu kinachofanywa na wakristo,Nimeona hii picha imenisikitisha
sasa kama ni ottoman mnaiweka kwene misikito ya nn??Mnapenda Kweli kulinganisha Uisilamu na kila kitu kinachofanywa na wakristo,
Uisilamu hauna mahusiano yoyote na symbol ya nyota na mwezi bali ni Symbol tu ya Taifa La Ottoman, Si Quran wala si hadithi zinataka hizo symbol kuwa part ya Imani.
Hii ni revisionism tu, huyo babu yako tayari alishaathirika na Mila za Dini kwa maelfu ya miaka.Kiafrika hazikuwa na mambo ya ajabu ajabu kwa umri wangu nimekua nikishuhudia babu zangu wakifanya rituals mbalimbali hazikushirikisha uvunjifu wa haki za watu.
Matambiko mengi ya Kiafrika especially Tanzania hayahusishi ukatili kwa binadamu,bahati mbaya sana kizazi chetu hakijarithishwa mambo ya mila za Kiafrika tumerithi dini za wageni.
Kuna misikiti wanaweka kuna misikiti hamna ni optional na huswali kuelekea Nyota ama mwezi.sasa kama ni ottoman mnaiweka kwene misikito ya nn??
Na mnavoendaga kubusu kimondo?? si ndo kuabudu jiwe
Labda hakukuwa na kafara, sijui, sina uhakika.Kiafrika hazikuwa na mambo ya ajabu ajabu kwa umri wangu nimekua nikishuhudia babu zangu wakifanya rituals mbalimbali hazikushirikisha uvunjifu wa haki za watu.
Matambiko mengi ya Kiafrika especially Tanzania hayahusishi ukatili kwa binadamu,bahati mbaya sana kizazi chetu hakijarithishwa mambo ya mila za Kiafrika tumerithi dini za wageni.
Ukristo na uislamu, dini zilizochimbukia mashariki ya kati."Dini za Kiarabu" ndiyo zipi hizo? Na "za jadi" ndiyo zipi hizo?
Islamic state hao, magaidi wanaotumia dini kuchochea uhalifu, wanaua hadi waislamu wenzao.Hizo za kiarabu nenda Tu hapo msumbiji uone wanavyochinja watu kama kuku eti kwa jina la Allah!! Hamna kitu.
hawatoi kafara, wewe unazungumzia magaidi.Kwamba dini ya mudi pedophile hawatoi kafara?bora dini za asili zilikua na majibu kuliko huu upuuzi wa dini za weupe
dini
Tutajie dini hizo zilizopo ambazo hatuzioni
Hamnaga swali la kijinga
Nimezaliwa maeneo ambayo mpaka miaka ya 90-2000 walikua wana mambo ya uchifu, ilikua tabu kwa wakazi wa pale hasa wafanyabiashara, kulikua na imani za ajabu ajabu kuwafavour hao machifu na kuwatisha raia.unachoongelea hata hukijui
mbona hakuna uhusiano kati ya matambiko na kuishi kwa tabu