NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Ni well informed person sio lazima awe kitengo!!Jamaa alileta mada ya tetesi kuhusu hao dubai port toka mwaka jana na leo yametimia.
Huenda ni mtu wa ndani kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni well informed person sio lazima awe kitengo!!Jamaa alileta mada ya tetesi kuhusu hao dubai port toka mwaka jana na leo yametimia.
Huenda ni mtu wa ndani kabisa
Ni well informed person sio lazima awe kitengo!!Jamaa alileta mada ya tetesi kuhusu hao dubai port toka mwaka jana na leo yametimia.
Huenda ni mtu wa ndani kabisa
wacha kuzungukazunguka jibuNi kwa nn anaposemwa mwarabu huwa mnahusisha dini? Kipindi cha JK kulikuwa na story za Marekani kutaka kupewa kigamboni, mbona sikuona mtu/watu wakihusisha dini? Bali nilichoona ni kuhusisha mambo ya kijeshi na unyang'anyi?
Hata sasa kumeibuka story ya Marekani kutaka kupewa bandari ya Bagamoyo, sijaona mtu akihusisha dini bali inahusishwa military base na unyang'anyi mwingine.
China pia hivyohivyo akitaka kupewa sehemu kuendesha watu hukosoa sana, Ila sioni wakihusisha dini.
Kwa nn wakisemwa waarabu mnakimbilia dini?
Suzy nimekukubali,yametimia hatimayeView attachment 2338074
Ni wazi Ticts hana chake tena bandarini na hii ni baada ya kampuni ya waarabu wa Dubai Port kufanikiwa kuwashawishi watawala ili wawape Mkataba wa kushusha na kupakia makasha shughuli ambayo Ticts walikuwa wanaifanya hapo awali.
NB: Ile picha ya mama pale Burj inaendelea kulipa.
Binafsi nimemwogopa rasmiSuzy nimekukubali,yametimia hatimaye
AahaaaaMi naona hata bandari waiuze poa tu.
Huyu muache aendelee kuoza tu huko aliko RIP. Maana aliponda Bagamoyo Port halafu akaenda kujenga Airport kijijini kwao Chato kwa Billions zaidi ya Tsh 50R.I.P JPM
Suzzy Elias ni KalemaniSuzy nimekukubali,yametimia hatimaye
Huyu muache aendelee kuoza tu huko aliko RIP. Maana aliponda Bagamoyo Port halafu akaenda kujenga Airport kijijini kwao Chato kwa Billions zaidi ya Tsh 50
Vipi mkuu bado hutegemei 😆Sitegemei Mwarabu kupewa kitu muhimu hicho kwa Nchi daah...
Ni inteljensia wetu JF.