Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaposema waarabu ni wengi, huyo kocha amebaguliwa na mtu mmoja toka bench la ufundi la timu pinzani na uwanja mzima na bench lake la ufundi Waka rally nyuma yake, je uwanja wenye watu zaidi ya 10,000 wanakusuport wewe na mtu mmoja amekubagua is that definition of Waarabu ni wabaguzi?We
unaona ubaguzi ulofanywa na warabu sawa ila alifanya mzungu ndo ungelalama
Unasema mara kafanya mmoja Sasa ndo sio ubaguzi
Alianzisha hiyo coach ila wote pale walimbagua sana tu, acha ubishiUnaposema waarabu ni wengi, huyo kocha amebaguliwa na mtu mmoja toka bench la ufundi la timu pinzani na uwanja mzima na bench lake la ufundi Waka rally nyuma yake, je uwanja wenye watu zaidi ya 10,000 wanakusuport wewe na mtu mmoja amekubagua is that definition of Waarabu ni wabaguzi?
Bosi ushahidi upo wapi? Yani unatunga maneno yako mwenyewe, nimekuwekea hotuba nzima ya aliyebaguliwa ila bado unatoa opinion yako kama fact? Hebu tuwekee ushahidi wa Video ama maneno yake mwenyewe kocha akisema hivyo.Alianzisha hiyo coach ila wote pale walimbagua sana tu, acha ubishi
Hivi wewe unaujua ushenzi wa warabu kweli
Kwaiyo wewe unasemajeBosi ushahidi upo wapi? Yani unatunga maneno yako mwenyewe, nimekuwekea hotuba nzima ya aliyebaguliwa ila bado unatoa opinion yako kama fact? Hebu tuwekee ushahidi wa Video ama maneno yake mwenyewe kocha akisema hivyo.
Na hao unaowaita wabaguzi ndio Jamii pekee ambayo haina Systematic racism kwa wa Africa.
Boss hio mipasho na maswali ya kitoto endelea tu kuongea na wenzako.Kwaiyo wewe unasemaje
Alibaguliwa au hakubaguliwa?
Waarabu fikra zao na akili zao wengi wao bado zimebakia zama za mawe......ni ngumu kumkuta mwarabu aliyestaarabika.......
Na bado wakenya wanagombea nafasi za kazi SaudiaAmeendaje kufanya kazi Uarabuni? Kama sio Muislam ataitwa KAFIR na waarabu siku zote za maisha yake huko
Bado wataanza kumkojolea, kumnyea na kumuita Najis, hajaona WaSaudi Arabia wanavyowafanyia Mabinti wa kazi weusi kutoka Kenya na Somalia?
Uafrika siyo rangi nyeusi ya ngozi,mwafrika ni mtu wa bara la afrika,wewe ni mwafrika mweusi tofauti na mo Salah,aboutreka na mustapha hadjiKwa Nini watu Huwa wanawaita waarabu wa Libya,morocco,Tunisia au Algeria kuwa ni waafrika wenzetu?waafrika m apenda kujikomba Kwa waarabu.
Hili liwe funzo lingine kwa weusi wanaokimbilia Nchi za Kiarabu...Kwa kumbagua Mwafrica mwenzao Kwa kumwita Kaffir, yaani mtu mweusi mchafu na anayenuka kama mzoga..!
Na wanagombea,kila siku wanaenda na kuishi vizuri,kiwango Cha watu toka marekani na ulaya kuhamia Dubai ni kikubwa,na itazidiHili liwe funzo lingine kwa weusi wanaokimbilia Nchi za Kiarabu
Mtetezi wa waarabu amefika sasaUlikuwepo kwenye hilo "benchi la ufundi"?
umeshindwa kuniambia yesu ninani kwakoTulia nenda katawaze
Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.Mtetezi wa waarabu amefika sasa
Wakati wa Yesu hakuna kitu kilichowahi kuitwa PALESTINE. Ila izrael imeandikwa kwenye vitabu vyote. Hicho kinachoitwa Palestine Leo ni kusanyiko la waarabu kutoka s hemu mbalimbali.Ushungi kama wa mamake Issa. wa Kipalestina.